marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,092
- 1,917
Watajua wenyewe kwenye jamii yako ukiona wanakupenda Sana ujue hauna cha spesho we gadamn big hakuna namna watatupenda hakuna team EPL hawanyanyasiki na Manchester UnitedNdo mana hawatupendi![]()
Watajua wenyewe kwenye jamii yako ukiona wanakupenda Sana ujue hauna cha spesho we gadamn big hakuna namna watatupenda hakuna team EPL hawanyanyasiki na Manchester UnitedNdo mana hawatupendi![]()
Bado Man U ni mbovu tu na ni swala la muda tu, hivi utaweza kuifananisha na Man U ya akina Olesendeka iliyomgaga Buyern 2-1 miaka ya 1999? itaifikia hata theluthi tu kwa ubora?Man United sio timu mbovu kwa sasa..Tokea January hatukamatiki..Your have to put some respect man
Tulianza msimu vibaya na injuries za wachezaji wetu wa muhimu..Chelsea hii kamwe usingekaa juu yetu
Mkuu sasa Man United ile ya 99 unaifananisha na hii?? Ile ingekuwa imetangaza ubingwa kabla ya Corona kujitangaza China.Bado Man U ni mbovu tu na ni swala la muda tu, hivi utaweza kuifananisha na Man U ya akina Olesendeka iliyomgaga Buyern 2-1 miaka ya 1999? itaifikia hata theluthi tu kwa ubora?
Sababu naheshimu mawazo yako na mawazo yangu siyo sheria, basi ngoja nikuache tu Mkuu.Mkuu sasa Man United ile ya 99 unaifananisha na hii?? Ile ingekuwa imetangaza ubingwa kabla ya Corona kujitangaza China.
Ila kwa sasa hii ni Bora ukilinganisha na waliopo sasa.
Aliyekuambia mpira uko hivo ni nani?..kwani ni lazima tuwe kama wale wa 98/99 ndo tuseme timu yetu nzuri??..how about 2007/2008?Bado Man U ni mbovu tu na ni swala la muda tu, hivi utaweza kuifananisha na Man U ya akina Olesendeka iliyomgaga Buyern 2-1 miaka ya 1999? itaifikia hata theluthi tu kwa ubora?
Sawaa dampo! Naomba utuvumilie tu na huo mvuke unaoku-block buster!.Nyumbu FC naona mmetulia tu takataka nyie
Siyo kweli, sisi pia tunachabanga kila timu inayojitokeza mbele yetu.Mmebakiza kutegemea matokeo ya klabu nyingine Nyumbu nyie
Hili ni jukwaa la MAN-CHESTER-UNITEDSawa Amba ruti


. Hatu-support ujinga wako humu. We kiazi huna team jiandae na goli 5 FANyumbu FC naona mmetulia tu takataka nyie



Wacha washinde watapoteza tu mbele hawa mandundule fc au cheltako ni wa Europe league tuDuh Leicester washafunga goli


Bila historia hata huo mpira unaoushabikia leo hii usingekuwepo, so acha kujitekenya na kucheka mwenyewe wewe.Aliyekuambia mpira uko hivo ni nani?..kwani ni lazima tuwe kama wale wa 98/99 ndo tuseme timu yetu nzuri??..how about 2007/2008?
Ongelea muda uliopo na sio mambo ya historia..dunia haiendi hivyo...Eti wali wa zamani ulikuwa unanukia kuliko wa sasa!!..
Kwa akili zako huchelewi kusema baada ya Messi na Ronaldo kustaafu basi na tuzo za Ballon d'or zifutwe maana hakuna wachezaji waliocheza kufikia level zao..Bila historia hata huo mpira unaoushabikia leo hii usingekuwepo, so acha kujitekenya na kucheka mwenyewe wewe.
Haha haha, wanaofungwa wengine na wanaoumia wengine daaah! hii dunia haiishiwi vituko kamwe!Sasa ww unaumia Leicester kupata goli ulitaka wasipate yaani nyumbu ni Nyumbu tu takataka nyie mnao tegemea matokeo ya timu nyingine
1-1Wacha washinde watapoteza tu mbele hawa mandundule fc au cheltako ni wa Europe league tu![]()