Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man United sio timu mbovu kwa sasa..Tokea January hatukamatiki..Your have to put some respect man

Tulianza msimu vibaya na injuries za wachezaji wetu wa muhimu..Chelsea hii kamwe usingekaa juu yetu
Bado Man U ni mbovu tu na ni swala la muda tu, hivi utaweza kuifananisha na Man U ya akina Olesendeka iliyomgaga Buyern 2-1 miaka ya 1999? itaifikia hata theluthi tu kwa ubora?
 
Bado Man U ni mbovu tu na ni swala la muda tu, hivi utaweza kuifananisha na Man U ya akina Olesendeka iliyomgaga Buyern 2-1 miaka ya 1999? itaifikia hata theluthi tu kwa ubora?
Mkuu sasa Man United ile ya 99 unaifananisha na hii?? Ile ingekuwa imetangaza ubingwa kabla ya Corona kujitangaza China.
Ila kwa sasa hii ni Bora ukilinganisha na waliopo sasa.
 
Mkuu sasa Man United ile ya 99 unaifananisha na hii?? Ile ingekuwa imetangaza ubingwa kabla ya Corona kujitangaza China.
Ila kwa sasa hii ni Bora ukilinganisha na waliopo sasa.
Sababu naheshimu mawazo yako na mawazo yangu siyo sheria, basi ngoja nikuache tu Mkuu.
 
Bado Man U ni mbovu tu na ni swala la muda tu, hivi utaweza kuifananisha na Man U ya akina Olesendeka iliyomgaga Buyern 2-1 miaka ya 1999? itaifikia hata theluthi tu kwa ubora?
Aliyekuambia mpira uko hivo ni nani?..kwani ni lazima tuwe kama wale wa 98/99 ndo tuseme timu yetu nzuri??..how about 2007/2008?

Ongelea muda uliopo na sio mambo ya historia..dunia haiendi hivyo...Eti wali wa zamani ulikuwa unanukia kuliko wa sasa!!..
 
Aliyekuambia mpira uko hivo ni nani?..kwani ni lazima tuwe kama wale wa 98/99 ndo tuseme timu yetu nzuri??..how about 2007/2008?

Ongelea muda uliopo na sio mambo ya historia..dunia haiendi hivyo...Eti wali wa zamani ulikuwa unanukia kuliko wa sasa!!..
Bila historia hata huo mpira unaoushabikia leo hii usingekuwepo, so acha kujitekenya na kucheka mwenyewe wewe.
 
Interlacustrine Region,
Bado Man U ni mbovu tu na ni swala la muda tu, hivi utaweza kuifananisha na Man U ya akina Olesendeka iliyomgaga Buyern 2-1 miaka ya 1999? itaifikia hata theluthi tu kwa ubora?


You serious? Haujengi timu kwa kulinganisha na zama za nyuma sana, bali timu hujengwa kulingana na malengo yenu ya sasa, uwezo wa kifedha mlionao pamoja na aina ya ushindani mlionao kwa sasa mf. hauwezi kutumia mabomu ya nyuklia wakati unapambana na adui anayetumia mishale hapa unakuwa unapoteza rasilimali fedha, zamani tulitumia zana nzito nzito kwa ssb wapinzani wetu pia walitumia zana nzito, so it was a prudent decision by then.

Pia kuna variables nyingi sana zinazofanya timu kubwa kama Manchester United kusua sua japokuwa we have all the weapons at our arsenal, hatuna tatizo la kifedha wala nini. Bali tatizo letu kubwa ni football executive wetu alilalamikiwa sana na almost makocha wote waliondoka haleti wachezaji kwa wakati kwa mf. Mourinho alimuhitaji Harry Maguire lakini Ed alimleta miezi 6 baadae baada ya yeye kuondoka. Hata Bruno alihitajika kabla ya msimu kuanza ila akamleta kati kati msimu baada ya maandamano ya mashabiki.
 
Safi sana Chifu kwa mtizamo mzuri kimawazo wala si kuwa mfia klabu kama ndugu zangu wanaoendeshwa na mahaba(moyo) kudadavua mpira wala si akili(ubongo).
 
Washakandwa huko namba 3 ni yetu tu
Screenshot_20200712-222927.jpg
 
Back
Top Bottom