Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ndivyo tunavyoombea,
la muhimu zaidi kwa kipindi hiki OGS hapaswi kubadilisha kikosi bila ya sababu za msingi kama anavyofanya super frank 8.
Lakini na sisi hatupaswi kujipa matumaini makubwa sana maana fixture yetu bado siyo rafiki pia.

Wasi wasi wangu ni Southampton huwa wanatusurprise mara kwa mara kwa kuanza kutufunga kisha tunaanza kupambana kutafuta goli.

Crystal palace na wenyewe siyo wepesi sana tukumbuke game ya kwanza walitufunga OT tunapaswa kwenda na tahadhari kubwa sana na tusiwaruhusu washambulie hasa kwenye flank ya John Van aanholt.

Leceister ni easy prey wa Man united toka wapande Ligi hivyo sina wasi wasi nao hawa tutawafunga tu na hata wakijitahidi sana watatoa sare.

Nina wasi wasi na Soton au Crystal Palace.
 
Lakini na sisi hatupaswi kujipa matumaini makubwa sana maana fixture yetu bado siyo rafiki pia.

Wasi wasi wangu ni Southampton huwa wanatusurprise mara kwa mara kwa kuanza kutufunga kisha tunaanza kupambana kutafuta goli.

Crystal palace na wenyewe siyo wepesi sana tukumbuke game ya kwanza walitufunga OT tunapaswa kwenda na tahadhari kubwa sana na tusiwaruhusu washambulie hasa kwenye flank ya John Van aanholt.

Leceister ni easy prey wa Man united toka wapande Ligi hivyo sina wasi wasi nao hawa tutawafunga tu na hata wakijitahidi sana watatoa sare.

Nina wasi wasi na Soton au Crystal Palace.
Tukifungwa na hivyo vi timu Ni uzembe wetu... No excuse ni uzembe. Huwezi kujiita giant team unaiwazia Southampton au Crystal palace
 
*Mipango kazi ya united*

Zilibaki point tano tukamtuma kocha wetu wa zamani David Moyes akawalamba tatu Kama jezi Yao ilivyoandikwa3
Zikabaki point 2 tukamtuma Wilfred zaha kijana wa nyumbani alielelewa katika mikono salama ya babu Alex Fergie akafanya kazi yake Ila kipa hakua vizur akaruhu goli tatu wakatoka na ushindi wa goli 3 kwa mbili tukamuuliza zaha vp kijana wetu ? Akasema "Mimi nimefanya kazi mlionituma"nimemtungua kepa Alizabuliwaga shida kipa wetu ndio karuhusu wao kufunga "

Tukasema kumbe tatizo kipa?

tukamcheki kijana wetu Dean hunderson tukamwambia "Dean umekula Sana ugali wetu na kukomba masufuria ya ukoko hapa OT Sasa hakikisha wale wajinga hawakufungi hata goli moja akasema sawa wakuu mi nitafanya kazi yangu hawatogusa nyavu na kazi iliyobaki nitamuachia "kipara"UCHEBE" atamaliza
Basi jezi Yao ikajibu maombi wakala 3 bila

*NB .namalizia ukitaka kuifunga Chelsea kirahisi wewe weka neno united kwenye jina la timu yako ,west ham united , sheffield united ,Newcastle united wanaiogopa*
 
kuna uvumi usio rasmi uliovumishwa na mpuuzi fulani unadai ya kwamba man city wameepukana na adhabu
ngoja tusubirie tangazo rasmi hapo kesho (13/7/2020)
Ni vizuri..hatupaswi kungangania Ban ya City ili tuende UEFA..tunapaswa kumaliza wa tatu.
 
Lakini na sisi hatupaswi kujipa matumaini makubwa sana maana fixture yetu bado siyo rafiki pia.

Wasi wasi wangu ni Southampton huwa wanatusurprise mara kwa mara kwa kuanza kutufunga kisha tunaanza kupambana kutafuta goli.

Crystal palace na wenyewe siyo wepesi sana tukumbuke game ya kwanza walitufunga OT tunapaswa kwenda na tahadhari kubwa sana na tusiwaruhusu washambulie hasa kwenye flank ya John Van aanholt.

Leceister ni easy prey wa Man united toka wapande Ligi hivyo sina wasi wasi nao hawa tutawafunga tu na hata wakijitahidi sana watatoa sare.

Nina wasi wasi na Soton au Crystal Palace.
Kama tumewafunga Sheffield,Brighton,Aston Villa,Bournemouth ambao karibia wote hawa first round tulishindwa kupata point tatu,sioni sana cha kutufanya tupoteze point kwenye gemu hizo mbili..

Mpira unadunda lakini kwa form yetu ya sasa kuwaogopa Soton na Crystal ni kuonyesha bado tupo kwenye hali yetu ileile ya september to december last year,kitu ambacho sio kweli
 
Upo sahihi kabisa

Inawezekana ametonywa hizo mechi Lingardinho atakipiga pale namba 10 huku Pereira akikabidhiwa jukumu pale namba 8,halafu mkoba amalizie wa kuitwa Phil Jones kisiki
Kama tumewafunga Sheffield,Brighton,Aston Villa,Bournemouth ambao karibia wote hawa first round tulishindwa kupata point tatu,sioni sana cha kutufanya tupoteze point kwenye gemu hizo mbili..

Mpira unadunda lakini kwa form yetu ya sasa kuwaogopa Soton na Crystal ni kuonyesha bado tupo kwenye hali yetu ileile ya september to december last year,kitu ambacho sio kweli
 
Lakini na sisi hatupaswi kujipa matumaini makubwa sana maana fixture yetu bado siyo rafiki pia.

Wasi wasi wangu ni Southampton huwa wanatusurprise mara kwa mara kwa kuanza kutufunga kisha tunaanza kupambana kutafuta goli.

Crystal palace na wenyewe siyo wepesi sana tukumbuke game ya kwanza walitufunga OT tunapaswa kwenda na tahadhari kubwa sana na tusiwaruhusu washambulie hasa kwenye flank ya John Van aanholt.

Leceister ni easy prey wa Man united toka wapande Ligi hivyo sina wasi wasi nao hawa tutawafunga tu na hata wakijitahidi sana watatoa sare.

Nina wasi wasi na Soton au Crystal Palace.
Soton kuna yule jamaa James Ward-Prowse, ni wakumchunga sana na mipira iliyokufa.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Kusema ukweli bila mahaba kwa sasa tupo vizuri sana tokea mwanzoni mwa mwaka huu kuliko timu yoyote ile pale Uingereza. Kama tukipindua msimu ujao bila majeraha na hiki hiki kikosi cha kwanza kilichocheza mechi nne mfululizo tuna uwezo wa kubeba ubingwa bila hata kuongeza mtu. (fingers crossed, as long as no serious injuries)

Kama Pogba, Bruno, Greenwood, Martial na Rashford wakacheza pamoja kama sasa mechi zisizopungua 30 za ligi kuu, msimu ujao tunabeba ubingwa. Mara nyingi timu inayobeba makombe ikivuka mstari wa kati mtu yeyote yule anakufunga, wanakuwa na probability kubwa ya kupata goli dakika yoyote ile. Hiki tulikikosa kwa muda mrefu sana.

Bruno kabadilisha sana timu. Apart from being very creative pia ana kitu cha ziada anajua kutengeneza nafasi za magoli na kufunga pia. Binafsi nilikuwa namuona Pobga ndiye aliyekuwa na kipaji kikubwa pale kikosini lakini alikuwa anakosa support ya kipaji kingine cha ziada. Mf. msimu uliopita Pobga alikuwa top goalscorer kikosini alifunga goli 13 za ligi kuu na kutoa assists 9. Just imagine angeunganishwa na Bruno tokea msimu uliopita wangefanya makubwa sana.

Huwa nina imani kubwa sana na Pogba ndani ya uwanja. Japokuwa nje ya uwanja ana behavioral inconsistency labda ssb ya yule wakala wake mwenye tamaa ya pesa Mino Raiola. Niliamini muda mrefu sana Pogba alihitaji kuongezewa mtu mwenye kipaji sawa na yeye au kumzidi ili turudi ktk kiwango cha ushindani wa kweli.
Pogba anahitaji vipaji size yake kama vinne kuleta impact tunayoifikiria.
 
Swala la Man Utd ni zaidi ya football mbona hilo wanalifahamu ila hawawezi kukiri adharani

Kwa mfano yale magoli anayofungwa kipa wa Chelsea (Keppa) ndio angekua anafungwa De Gea ingekua bonge la story ktk media zote duniani, yaani pressure kwa De Gea ingekua kubwa sana
Kabisa yani au ukame alio nao filimimeno angekua nao martial daah wangetokwa na mapovu

Greenwood 9 goals >filimimeno 8 goals
 
Back
Top Bottom