Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,319
Naungana na wee mzee, me mwenyewe Grealish simu elewi kabisa.
Grealish atamuweka nani benchi?
Labda aje akitokea benchi.
Grealish atamuweka nani benchi?
Labda aje akitokea benchi.
Naona wewe ulishapambana jana.Ndio ww ni Nyumbu FC. Sasa ww matokeo ya Leicester yanakuhusu nn? Pambana na hali yako nyumbu ww
Ofcourse anakua back up, we need to have a huge and quality options kama man city.Grealish atamuweka nani benchi?
Labda aje akitokea benchi.
★
Wanangu leo Spurs anampiga arsenal siyo chini ya goli 2 alafu Leicester anapoteza kwa kizembe![]()

anatka kutumia jukwaa la Manchester United ku advertise Sana yake ya kipuuzi cha ajabu hatuli viboga humu
★
Hili ni jukwaa la MAN-CHESTER-UNITED. Hatu-support ujinga wako humu.
#Nenda kaliwe ki-masihara huko, na ondoa tangazo lako humu.
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Punguza ukali wa maneno★anatka kutumia jukwaa la Manchester United ku advertise Sana yake ya kipuuzi cha ajabu hatuli viboga humu
★
Punguza ukali wa maneno
Sanaa yake yakipuuzi(niambie sanaa gani uliyomaanisha)....hatuli viboga(nitafsirie kauli hii)★Nionyeshe ukali ulio uona hapo Mkuu??? afu chunguza nilicho ki attach kinatakiwa kijibiwe vipi na nimejibu vP!!! ★
Sanaa yake yakipuuzi(niambie sanaa gani uliyomaanisha)....hatuli viboga(nitafsirie kauli hii)
Umemtukana jamaa inabidi umuombe msamaha★Njoo PM nikueleweshe maana nazani umeelewa kabisa ila kiburi tu kuwa nimetumia:-
Sanaa=...........
Kiboga=..........
Au wewe ulitaka nitumie maneno gani mbadala wa hayo???★
Umemtukana jamaa inabidi umuombe msamaha
Grealish atamuweka nani benchi?
Labda aje akitokea benchi.
Wewe James delicious unalipenda sana jukwaa hiliNyumbu Football Club
Nakushauri mtu km huyo usimkwotiWewe James delicious unalipenda sana jukwaa hili