Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chelsea lost by 3 goals to Sheffield .Win on Monday and we overtake Chelsea by a point, who still have to travel to Anfield and also face Wolves.

Leicester still have to play Sheffield United.

This result is HUGE for #mufc.
Most of the cards appears to be playing in ManUtd's favor.
 
Hawa chelsea likely leo walikuwa wanacheza huku wanafikiria the near zero arguably +ve gap they were enjoying against man utd, the -ve goal difference gap between them, their future difficulty fixtures, and utd's resurrected form.

hayo mambo yote ni ngumu kuyabalansisha kichwani na ukaendelea kuwa objective and focused.
 
Chelsea wameingia cha kike..Kazi kwetu sasa

Tusipomaliza nafasi ya tatu utakuwa ni udhulumati kabisa..We are by far the best team kuzishinda Leicester na Chelsea

GGMU
Kitu tusichojua mashabiki wa Chelse ni kuwa mbali na kuwa Man U inajikongoja kwa kuwa ni timu ya mbovu lakini Chelsea ni mbovu zaidi maana Chelsea ishakutana na kipigo kwa Man U mara 4 mfululizo, pia Chelsea ilishaiacha Man U zaidi ya pointi 10 nyuma, zimepunguaje hadi sasa kubakiwa na point 2 tu?
 
tapatalk_1594496305833.jpeg
 
Kitu tusichojua mashabiki wa Chelse ni kuwa mbali na kuwa Man U inajikongoja kwa kuwa ni timu ya mbovu lakini Chelsea ni mbovu zaidi maana Chelsea ishakutana na kipigo kwa Man U mara 4 mfululizo, pia Chelsea ilishaiacha Man U zaidi ya pointi 10 nyuma, zimepunguaje hadi sasa kubakiwa na point 2 tu?
Man United sio timu mbovu kwa sasa..Tokea January hatukamatiki..Your have to put some respect man

Tulianza msimu vibaya na injuries za wachezaji wetu wa muhimu..Chelsea hii kamwe usingekaa juu yetu
 
#mufc know Jadon Sancho has a strong desire to play for them. Sources say agent fees need to be considered in any deal. Greenwood's form has not deterred the club's pursuit of Sancho #mulive [br]
 
#mufc know Jadon Sancho has a strong desire to play for them. Sources say agent fees need to be considered in any deal. Greenwood's form has not deterred the club's pursuit of Sancho #mulive [br]
 
Kusema ukweli bila mahaba kwa sasa tupo vizuri sana tokea mwanzoni mwa mwaka huu kuliko timu yoyote ile pale Uingereza. Kama tukipindua msimu ujao bila majeraha na hiki hiki kikosi cha kwanza kilichocheza mechi nne mfululizo tuna uwezo wa kubeba ubingwa bila hata kuongeza mtu. (fingers crossed, as long as no serious injuries)

Kama Pogba, Bruno, Greenwood, Martial na Rashford wakacheza pamoja kama sasa mechi zisizopungua 30 za ligi kuu, msimu ujao tunabeba ubingwa. Mara nyingi timu inayobeba makombe ikivuka mstari wa kati mtu yeyote yule anakufunga, wanakuwa na probability kubwa ya kupata goli dakika yoyote ile. Hiki tulikikosa kwa muda mrefu sana.

Bruno kabadilisha sana timu. Apart from being very creative pia ana kitu cha ziada anajua kutengeneza nafasi za magoli na kufunga pia. Binafsi nilikuwa namuona Pobga ndiye aliyekuwa na kipaji kikubwa pale kikosini lakini alikuwa anakosa support ya kipaji kingine cha ziada. Mf. msimu uliopita Pobga alikuwa top goalscorer kikosini alifunga goli 13 za ligi kuu na kutoa assists 9. Just imagine angeunganishwa na Bruno tokea msimu uliopita wangefanya makubwa sana.

Huwa nina imani kubwa sana na Pogba ndani ya uwanja. Japokuwa nje ya uwanja ana behavioral inconsistency labda ssb ya yule wakala wake mwenye tamaa ya pesa Mino Raiola. Niliamini muda mrefu sana Pogba alihitaji kuongezewa mtu mwenye kipaji sawa na yeye au kumzidi ili turudi ktk kiwango cha ushindani wa kweli.
 
Unapoongelea man u basi unangelea tm yny presha kubwa kuliko tm zote duniani kwasababu ndiyo tm yny mashabiki wengi zaidi duniani.
Mkuu sio kwa hayo tu wafanya biashara za mitandaoni, nk wanatumia Man Utd Session kuingiza kipato. Mkuu atakaye fungua youtube channel itakayokuwana video xza mau utd mechi zake za wakati wote ni fursa nzur sana. .

Niliingia bar bar moja washabiki wa man walipoona wafanyakazi wanashadadi aasrnal na tim zingone, sikuwaona tena. wasijue meci zinazoangaliwa sana na washabiki wote moja wapo ni man utd.

ni klabu kubwa sana duniani. Sijui kuhusu madridna baselona, lkn kibiashara pamoja na timu hizo man utd iko high sana.
 
•••••MANCHESTER UNITED Inavyojadiliwa kwa sasa unaweza kusema

imebeba
EPL
SERIA A
LA LIGA
UEFA
COPA AMERICA


kumbe tunaomba Leicester na chelsea wapoteze game zote zilizobaki angarau tupate kanafasi ka kushiriki UEFA

ila yote kwa yote Manchester united ni kubwa kuliko FOOTBALL
ndio maaana hata chelsea wamesahau kua kipa wao karuhusu magoli mangapi hadi sasa ila wanajua asisst na magoli ya BRUNO na GREENWOOD

MANCHESTER UTD ni kubwa jamani
Kwanza;kufurahia timu ikifanya vizuri sio kosa

Pili; ni kwamba sisi tukishinda mechi zetu zote tunaingia top 4 bila kujali wengine matokeo yao

Tatu;let us enjoy our team while we can
 
Back
Top Bottom