Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bruno is a goal scorer, Bruno is a chance creator, Bruno is a defender, Bruno is a leader.
Kusema ukweli bila mahaba kwa sasa tupo vizuri sana tokea mwanzoni mwa mwaka huu kuliko timu yoyote ile pale Uingereza. Kama tukipindua msimu ujao bila majeraha na hiki hiki kikosi cha kwanza kilichocheza mechi nne mfululizo tuna uwezo wa kubeba ubingwa bila hata kuongeza mtu. (fingers crossed, as long as no serious injuries)

Kama Pogba, Bruno, Greenwood, Martial na Rashford wakacheza pamoja kama sasa mechi zisizopungua 30 za ligi kuu, msimu ujao tunabeba ubingwa. Mara nyingi timu inayobeba makombe ikivuka mstari wa kati mtu yeyote yule anakufunga, wanakuwa na probability kubwa ya kupata goli dakika yoyote ile. Hiki tulikikosa kwa muda mrefu sana.

Bruno kabadilisha sana timu. Apart from being very creative pia ana kitu cha ziada anajua kutengeneza nafasi za magoli na kufunga pia. Binafsi nilikuwa namuona Pobga ndiye aliyekuwa na kipaji kikubwa pale kikosini lakini alikuwa anakosa support ya kipaji kingine cha ziada. Mf. msimu uliopita Pobga alikuwa top goalscorer kikosini alifunga goli 13 za ligi kuu na kutoa assists 9. Just imagine angeunganishwa na Bruno tokea msimu uliopita wangefanya makubwa sana.

Huwa nina imani kubwa sana na Pogba ndani ya uwanja. Japokuwa nje ya uwanja ana behavioral inconsistency labda ssb ya yule wakala wake mwenye tamaa ya pesa Mino Raiola. Niliamini muda mrefu sana Pogba alihitaji kuongezewa mtu mwenye kipaji sawa na yeye au kumzidi ili turudi ktk kiwango cha ushindani wa kweli.
 
Wakuu kwa uchezaji huu wa Maguire siku hizi anazingua kama captain, me naona kocha afikirie kumpa ucaptain Matic au Bruno.

Hata hivyo nafurahi sana kuona tuna viongozi 4 dimbani, Maguire, Matic, pogba na Bruno kila mtu anahamasisha na kuwapanga wenzake.

Bruno amesaidia kuwavamia mabeki wa timu pinzani wanaocheza back pass kwa maelekezo yake. Now inakuwa ngumu kwa timu pinzani kukaa na mpira. Kupiga krosi, kudribble yaani taabu.

Bruno ni zawadi tosha. Imagine tupate forward mfia timu kama Bruno na beki moja la kati mwenye roho ya vidic.

Come on Ole.
 
Kusema ukweli bila mahaba kwa sasa tupo vizuri sana tokea mwanzoni mwa mwaka huu kuliko timu yoyote ile pale Uingereza. Kama tukipindua msimu ujao bila majeraha na hiki hiki kikosi cha kwanza kilichocheza mechi nne mfululizo tuna uwezo wa kubeba ubingwa bila hata kuongeza mtu. (fingers crossed, as long as no serious injuries)

Kama Pogba, Bruno, Greenwood, Martial na Rashford wakacheza pamoja kama sasa mechi zisizopungua 30 za ligi kuu, msimu ujao tunabeba ubingwa. Mara nyingi timu inayobeba makombe ikivuka mstari wa kati mtu yeyote yule anakufunga, wanakuwa na probability kubwa ya kupata goli dakika yoyote ile. Hiki tulikikosa kwa muda mrefu sana.

Bruno kabadilisha sana timu. Apart from being very creative pia ana kitu cha ziada anajua kutengeneza nafasi za magoli na kufunga pia. Binafsi nilikuwa namuona Pobga ndiye aliyekuwa na kipaji kikubwa pale kikosini lakini alikuwa anakosa support ya kipaji kingine cha ziada. Mf. msimu uliopita Pobga alikuwa top goalscorer kikosini alifunga goli 13 za ligi kuu na kutoa assists 9. Just imagine angeunganishwa na Bruno tokea msimu uliopita wangefanya makubwa sana.

Huwa nina imani kubwa sana na Pogba ndani ya uwanja. Japokuwa nje ya uwanja ana behavioral inconsistency labda ssb ya yule wakala wake mwenye tamaa ya pesa Mino Raiola. Niliamini muda mrefu sana Pogba alihitaji kuongezewa mtu mwenye kipaji sawa na yeye au kumzidi ili turudi ktk kiwango cha ushindani wa kweli.
Bruno is a goal scorer, Bruno is a chance creator, Bruno is a defender, Bruno is a leader.
Sure, Pogba anatakiwa kujirekebisha pakubwa sana kwenye field professionalism, mimi ninaujasiri wa kusema kwamba MPAKA SASA, Greenwood anaweza kuwa ameishampita Pogba kwenye field professionalism.

Mechi ya juzi na vila watu wamefanya blunders kubwa ni wawili rashford (mbili) and pogba (mbili).
Wote wawili, wali cancel opportunities za kufunga kwa upumbavu wa kutokutoka offside zones kwa haraka. wakabaki wanajivuta vuta kitoto.

Rashford akijua kabisa Pogba yuko kwenye pace ambayo ni lazima apelekewe mpira, akajichelewesha kisha akapiga golini hopelessly, goli likaingia lakini likawa ruled out obviously.

Pogba, alifanya mbwembwe akany'ang'anywa mpira na kuwapa vila nafasi ya ya wazi kufunga, wakachemsha wenyewe, na hakujali kiivyo.

Pogba akumbuke, kabla hajatoka majeruhi, na kabla ya lockdown, bruno had helped to elevate the team's winning mentality all alone. yeye alipaswa kufanya hivyo toka 2018 akashindwa.

I like his partnership with bruno though.
 
Kusema ukweli bila mahaba kwa sasa tupo vizuri sana tokea mwanzoni mwa mwaka huu kuliko timu yoyote ile pale Uingereza. Kama tukipindua msimu ujao bila majeraha na hiki hiki kikosi cha kwanza kilichocheza mechi nne mfululizo tuna uwezo wa kubeba ubingwa bila hata kuongeza mtu. (fingers crossed, as long as no serious injuries)

Kama Pogba, Bruno, Greenwood, Martial na Rashford wakacheza pamoja kama sasa mechi zisizopungua 30 za ligi kuu, msimu ujao tunabeba ubingwa. Mara nyingi timu inayobeba makombe ikivuka mstari wa kati mtu yeyote yule anakufunga, wanakuwa na probability kubwa ya kupata goli dakika yoyote ile. Hiki tulikikosa kwa muda mrefu sana.

Bruno kabadilisha sana timu. Apart from being very creative pia ana kitu cha ziada anajua kutengeneza nafasi za magoli na kufunga pia. Binafsi nilikuwa namuona Pobga ndiye aliyekuwa na kipaji kikubwa pale kikosini lakini alikuwa anakosa support ya kipaji kingine cha ziada. Mf. msimu uliopita Pobga alikuwa top goalscorer kikosini alifunga goli 13 za ligi kuu na kutoa assists 9. Just imagine angeunganishwa na Bruno tokea msimu uliopita wangefanya makubwa sana.

Huwa nina imani kubwa sana na Pogba ndani ya uwanja. Japokuwa nje ya uwanja ana behavioral inconsistency labda ssb ya yule wakala wake mwenye tamaa ya pesa Mino Raiola. Niliamini muda mrefu sana Pogba alihitaji kuongezewa mtu mwenye kipaji sawa na yeye au kumzidi ili turudi ktk kiwango cha ushindani wa kweli.
Tusidanganyane, mashabiki wa United,
Hatuwezi kubeba ubingwa kwa kikosi hiki.




Kwanza huwezi kucheza mechi 30, bila wachezaji wako kupata injuries. Sote tunamjua Martial, huwa anapata injuries.
Luke shaw, Pogba mwenyewe. Hawa ni key players.
Wakipata injuries Timu haitocheza kama inavyocheza sasa hivi.

Pili, kuna viwango kushuka. Kuna suspensions.
Tunahitaji kusajiri,kusajiri wachezaji( 1st eleven na backups za uwakika)

Binafsi sifikiri ubingwa msimu ujao(2020/2021), msimu wa 2021/2022 sawa.
 
Bruno amejaliwa Kipaji ambacho wachezaji wengi hawana. Yaani kaikuta timu ina presha kubwa ila mziki wake uwanjani anaoufanya utafikiri ana uzoefu wa miaka kumi Premier League. Kama Solskajer angemleta James Madisson asingeweza kufanya hicho anachofanya bruno.
 
Tusidanganyane, mashabiki wa United,
Hatuwezi kubeba ubingwa kwa kikosi hiki.




Kwanza huwezi kucheza mechi 30, bila wachezaji wako kupata injuries. Sote tunamjua Martial, huwa anapata injuries.
Luke shaw, Pogba mwenyewe. Hawa ni key players.
Wakipata injuries Timu haitocheza kama inavyocheza sasa hivi.

Pili, kuna viwango kushuka. Kuna suspensions.
Tunahitaji kusajiri,kusajiri wachezaji( 1st eleven na backups za uwakika)

Binafsi sifikiri ubingwa msimu ujao(2020/2021), msimu wa 2021/2022 sawa.
Vipi Mourinho ameshatwaa ubingwa huko aliko?
 
Mkuu sio kwa hayo tu wafanya biashara za mitandaoni, nk wanatumia Man Utd Session kuingiza kipato. Mkuu atakaye fungua youtube channel itakayokuwana video xza mau utd mechi zake za wakati wote ni fursa nzur sana. .

Niliingia bar bar moja washabiki wa man walipoona wafanyakazi wanashadadi aasrnal na tim zingone, sikuwaona tena. wasijue meci zinazoangaliwa sana na washabiki wote moja wapo ni man utd.

ni klabu kubwa sana duniani. Sijui kuhusu madridna baselona, lkn kibiashara pamoja na timu hizo man utd iko high sana.
Man U ina mashabiki wengi sana.
Yaani hata ukimuona masai ukimuuliza unashabikia timu gani?
Jibu ni MANCHESTER UNITED
 
Back
Top Bottom