Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Michezo 16 mfulilizo hatujapoteza, tuna wastan wa kufunga goli 2.7 per match.. kama ni hesabu za lukadiria hizo ni sawa n goli 3 kwa mechi

hakuna utopolo yeyote alieko Europa mwenye kutusumbua hata mmoja , huko hata hatuna wasiwasi, tunataka nafasi ya 3 hapa kwa malkia, leo hata iweje n letu
Mkuu wewe endelea kukazakaza piga porojo zote utapata huku JF hiyo nafasi ya 3, kule EPL zina wenyewe babalao.
 
IMG_8357.jpg
 
Mkuu wewe endelea kukazakaza piga porojo zote utapata huku JF hiyo nafasi ya 3, kule EPL zina wenyewe babalao.
Mkuu hujawazoea tu? Wakishashinda tu mechi tuwili tutatu wanajisahau kabisa na vile ole keshawajulia basi anawaendesha anavyotaka..

Ingekuwa liverpool ajabeba ubingwa wangeanza piga hesabu za ubingwa..hahaha angalia saiv wanapiga esabu za nafasi ya tatu utadhani mpira wanacheza wao tu ..

Enewei Hili timu na mashabiki zake wanajijua wenyewe..
 
Mkuu hujawazoea tu? Wakishashinda tu mechi tuwili tutatu wanajisahau kabisa na vile ole keshawajulia basi anawaendesha anavyotaka..

Ingekuwa liverpool ajabeba ubingwa wangeanza piga hesabu za ubingwa..hahaha angalia saiv wanapiga esabu za nafasi ya tatu utadhani mpira wanacheza wao tu ..

Enewei Hili timu na mashabiki zake wanajijua wenyewe..
Naona ulivyopanik, relax mkuu huu mchezo hauhitaji hasira.

Wewe endelea kushikilia hiyo nafasi ya nne sisi tunataka nafasi ya tatu. Tusipoipata kupitia timu zingine tutaipata kupitia kwa Leceister.

We endelea kubaki hapo uswahilini sisi hatupahitaji.
 
Back
Top Bottom