Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,747
- 9,012
Nani wa kututisha pale ? liko mkonon mwetu kwa ziad ya 60%, hizo 40 wagawane wengine woteHiyo Europ League si ndio mpaka mshinde
Nani wa kututisha pale ? liko mkonon mwetu kwa ziad ya 60%, hizo 40 wagawane wengine woteHiyo Europ League si ndio mpaka mshinde
Msimu uliopita mwishoni mwa Ligi, walipoteza mechi karibia zote.
Msimu 2017/18, matokeo mchanganyiko
Hata 2016/17, napo ililuwa hivyo, Mou aliamishia nguvu zote kwenye Europa league.
Sa sijajua hicho kitu ulikiona wapi?
Umeandika kana kwamba ilishazoeleka Man u ,mwishoni mwa ligi wanakuwa wazuri.
Huwezi kukaa uswahili na wakati sasq ivi unaishi uswahiliniSisi tunapigania nafasi ya tatu nyie endeleenii kubaki hapo mlipo sisi hatuwezi kukaa uswahilini.



U're a real Man United fan. This are ur characteristicsNani wa kututisha pale ? liko mkonon mwetu kwa ziad ya 60%, hizo 40 wagawane wengine wote
nakupenya kati kati ya walinzi wa timu Pinzani kwa kasi ya ajabu na Umaridadi wa hali ya Juu kuzidia Umri wake.
we ulitaka tumrambe miguu nani Victor Lindelof???? we ni mkubwa sana Sasa Ntashangaa kujikuta huoni Pongezi zinatakiwa kwenda kwa Nani !! au ndio kujikuta huoni kinacho onekana 
★
Umeona namtaja au tunamtaja japo ndo captain aliyeongoza timu kubeba EPL? ... mtu akicheza vimechi vitatu tu hypes kama zote. Saa hii naona mshaanza mlamba nyayo Greenwood mliyekuwa mnamsema ni mtoto nyoronyoro. Akienda vimechi vitatu mtasema the best wonderkid![]()
kwa timu yenu, absolutely yes
Huyu bwana , ni wasiwasi ameshawahi kumuona Greenwood hata kwa mechi tatu.★Mwenye chake Mpe mkuu kwani unataka kusema hauioni kazi yake Bwana mdogo na Umaridadi wake wakusakata kabumbunakupenya kati kati ya walinzi wa timu Pinzani kwa kasi ya ajabu na Umaridadi wa hali ya Juu kuzidia Umri wake.
Bicycle kick zakutosha yani ukiona Bicycle kick ujue mtu kaishawe ulitaka tumrambe miguu nani Victor Lindelof???? we ni mkubwa sana Sasa Ntashangaa kujikuta huoni Pongezi zinatakiwa kwenda kwa Nani !! au ndio kujikuta huoni kinacho onekana
★
Huyu bwana , ni wasiwasi ameshawahi kumuona Greenwood hata kwa mechi tatu.
Mkuu unamaanisha bicycle kick ni tik tak au?★Mwenye chake Mpe mkuu kwani unataka kusema hauioni kazi yake Bwana mdogo na Umaridadi wake wakusakata kabumbunakupenya kati kati ya walinzi wa timu Pinzani kwa kasi ya ajabu na Umaridadi wa hali ya Juu kuzidia Umri wake.
Bicycle kick zakutosha yani ukiona Bicycle kick ujue mtu kaishawe ulitaka tumrambe miguu nani Victor Lindelof???? we ni mkubwa sana Sasa Ntashangaa kujikuta huoni Pongezi zinatakiwa kwenda kwa Nani !! au ndio kujikuta huoni kinacho onekana
★
Wakuu kuna kutoboa hapa kweli? Au ndio mtaenda kupitia mgongo wa Man City ban
Leicester City: 58 pts
Arsenal
Bournemouth
Sheffield United
Tottenham
Man United
Chelsea: 57 pts
Crystal Palace
Sheffield United
Norwich City
Liverpool
Wolves
Man United: 55 pts
Aston Villa
Southampton
Crystal Palace
West Ham
Leicester City
★
Mkuu unamaanisha bicycle kick ni tik tak au?
★Hapana mkuu nimekosea katika uandishi Nimeongeza *KICK* Hapo lakini nilikuwa namaanisha BICYCLE ile chenga yakuchanganya miguu Huku unauzunguka Mpira★

Wewe endelea kuisaka bila kujua ishachukuliwa tayari. KazakazaHilo swali uliza kwenu huko, hapa ni irrelevant
Tunasaka nafasi ya 3
Wewe endelea kuisaka bila kujua ishachukuliwa tayari. Kazakaza
Are you serious? or you're just trolling? Tumewafunga Chelsea na Manchester City nje ndani na wote hawa wapo juu yetu kimsimamo.Manchesta bhana, kubalini zamanzenu zimepita. Mnashinda dhidi za timu bottom half mnaona mmerudi...
Michezo 16 mfulilizo hatujapoteza, tuna wastan wa kufunga goli 2.7 per match.. kama ni hesabu za lukadiria hizo ni sawa n goli 3 kwa mechiU're a real Man United fan. This are ur characteristics
Mkuu anafuatilia EPL kweli? au ushabiki tu.Manchesta bhana, kubalini zamanzenu zimepita. Mnashinda dhidi za timu bottom half mnaona mmerudi...
Ok...Tulimpiga Chelsea 3 times tukampiga mancity 3 times tukampiga tottenham once, tukampiga Leceister 1 once. are they in the bottom half ?