Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,328
- 7,804
Mkuu nakukumbusha tu Rashford ana goli 20. Usijisahaulishe.Mkuu hujawazoea tu? Wakishashinda tu mechi tuwili tutatu wanajisahau kabisa na vile ole keshawajulia basi anawaendesha anavyotaka..
Ingekuwa liverpool ajabeba ubingwa wangeanza piga hesabu za ubingwa..hahaha angalia saiv wanapiga esabu za nafasi ya tatu utadhani mpira wanacheza wao tu ..
Enewei Hili timu na mashabiki zake wanajijua wenyewe..
.