Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
OutKWA NAMNA MSIMU ULIPOFIKIA
Ww kama mshabiki wa Manchester United ebu pendekeza wachezaji wa tatu wa kuwaondoa katika kikosi
Na pendekeza wachezaji wawili wa kuwaongeza(kusajiliwa) katika kikosi
Toa na sababu ya kumuondoa mchezaji huyo na kumsajili mchezaji huyo
Mm binafsi wakuwaondoa Jesse lingard ,Alex sanchez, na Paul pogba....lingard na Alex haina haja ya kuwaelezea maana wanakiwango kibovu sana
Ila Paul pogba ni mchezaj mzuri kiungo bora bila ubishi na amedhihirisha hilo kwa kipindi chote ndan ya Manchester lakn anaonekana kama hana mapenz na timu maana alidirik wazi kusema anataka kuondoka hvy sion sababu ya kulazimisha yy kuendelea kubaki katika viunga vya jiji la Manchester
Wachezaji wa kuwasajili Jack Grealish, Ivan Rakitic(kama mrithi wa pogba kwa muda) na Jordan Sancho(japo sio muhimu sana kutokana na gharama yak)
Nini mtazamo wako ndan ya Manchester United?
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda alete vikombe vya chaiEd anasema hategemei kuspend 100+ kwa msimu huu kutokana na COVID 19 impact.
Nafikiri inawezekana akaja huyo jamaa maana anaonekana ni bei chee,by the way Solskjaer ni mzuri kwenye usajili alichobakiza ni kufanya capacity development kwa aliowasajili waweze kuleta vikombe.
**Mbappe is real deal**
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunahitaji replacements za Wachezaji ambao wana zaidi ya 75% kuondoka Msimu huu
1.Rojo
2.Smalling
3.Jones
4.Mata
5.Lingard-less likely
Kumbuka pia tuna deni la striker na midfield mmoja cuz
Herrera na Fellaini waliondoka na Bruno pekee ndo amekuja ku replace.
Tunahitaji timu yenye squad depth ya kutosha
1.Rw-sancho
2.CM wawili- glearish + milko savic au ndindi/Saul
3.CB yeyote mzuri. Umtiti is for sale guys..i think is the best option..
Sent using Jamii Forums mobile app
Juan Mata tutakuwa naye next season ataongezewa mkataba timu haitaweza kufanya usajili mkubwa kupita kiasi wakati hali ya uchumi siyo rafiki.Tunahitaji replacements za Wachezaji ambao wana zaidi ya 75% kuondoka Msimu huu
1.Rojo
2.Smalling
3.Jones
4.Mata
5.Lingard-less likely
Kumbuka pia tuna deni la striker na midfield mmoja cuz
Herrera na Fellaini waliondoka na Bruno pekee ndo amekuja ku replace.
Tunahitaji timu yenye squad depth ya kutosha
1.Rw-sancho
2.CM wawili- glearish + milko savic au ndindi/Saul
3.CB yeyote mzuri. Umtiti is for sale guys..i think is the best option..
Sent using Jamii Forums mobile app