Aingie kwenye timu of the season ?To discuss hii,
Hata robo ya msimu hajamaliza and kawapiga chini Kina Wij, Fab, Grealish, Madiaaon etc.
What a talent.View attachment 1443694
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lake anafungwa na makocha wachanga kwanini?View attachment 1443977
FUN FACT :Ole Gunnar Solskjaer has faced Pep Guardiola, Mauricio Pochettino, Jose Mourninho, Frank Lampard and Maurizio Sarri a total number of 14 times altogether
Won : 11
Drawn :1
Lost :2
*Underrated Genius*
Sent using Jamii Forums mobile app
Bruno ni mchezaji mwenye uwezo MKUBWA,hao wengine wana uwezo MZURI.To discuss hii,
Hata robo ya msimu hajamaliza and kawapiga chini Kina Wij, Fab, Grealish, Madiaaon etc.
What a talent.View attachment 1443694
Sent using Jamii Forums mobile app
Lindelof out Mohamed Salisu inKWA NAMNA MSIMU ULIPOFIKIA
Ww kama mshabiki wa Manchester United ebu pendekeza wachezaji wa tatu wa kuwaondoa katika kikosi
Na pendekeza wachezaji wawili wa kuwaongeza(kusajiliwa) katika kikosi
Toa na sababu ya kumuondoa mchezaji huyo na kumsajili mchezaji huyo
Mm binafsi wakuwaondoa Jesse lingard ,Alex sanchez, na Paul pogba....lingard na Alex haina haja ya kuwaelezea maana wanakiwango kibovu sana
Ila Paul pogba ni mchezaj mzuri kiungo bora bila ubishi na amedhihirisha hilo kwa kipindi chote ndan ya Manchester lakn anaonekana kama hana mapenz na timu maana alidirik wazi kusema anataka kuondoka hvy sion sababu ya kulazimisha yy kuendelea kubaki katika viunga vya jiji la Manchester
Wachezaji wa kuwasajili Jack Grealish, Ivan Rakitic(kama mrithi wa pogba kwa muda) na Jordan Sancho(japo sio muhimu sana kutokana na gharama yak)
Nini mtazamo wako ndan ya Manchester United?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hvy man u inahitaji bek wa kati maana ili muondoa Rojo bila kuwa na mbadala wake
Atoke pogba na lingard aje T. Werner na sanchoKWA NAMNA MSIMU ULIPOFIKIA
Ww kama mshabiki wa Manchester United ebu pendekeza wachezaji wa tatu wa kuwaondoa katika kikosi
Na pendekeza wachezaji wawili wa kuwaongeza(kusajiliwa) katika kikosi
Toa na sababu ya kumuondoa mchezaji huyo na kumsajili mchezaji huyo
Mm binafsi wakuwaondoa Jesse lingard ,Alex sanchez, na Paul pogba....lingard na Alex haina haja ya kuwaelezea maana wanakiwango kibovu sana
Ila Paul pogba ni mchezaj mzuri kiungo bora bila ubishi na amedhihirisha hilo kwa kipindi chote ndan ya Manchester lakn anaonekana kama hana mapenz na timu maana alidirik wazi kusema anataka kuondoka hvy sion sababu ya kulazimisha yy kuendelea kubaki katika viunga vya jiji la Manchester
Wachezaji wa kuwasajili Jack Grealish, Ivan Rakitic(kama mrithi wa pogba kwa muda) na Jordan Sancho(japo sio muhimu sana kutokana na gharama yak)
Nini mtazamo wako ndan ya Manchester United?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mohamed Salisu ni right centre backHata hvy man u inahitaji bek wa kati maana ili muondoa Rojo bila kuwa na mbadala wake
Sent using Jamii Forums mobile app