Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunaye mtu tayari wa kuifanya hii kazi
images-9.jpg
images-8.jpg
images-3.jpg
images-4.jpg
images-7.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dogo alifanikiwa kumtia kapuni Adama Traore, game nyingine akamweka uvunguni Mohamed Salah.

Naamini msimu ujao atakuwa bora zaidi ya alichotuonyesha msimu huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Brandon Williams akiendelea kukuzwa vizuri kwa kupewa aspect nyingi nyingi za kudefend basi tutakuwa na beki tatu kitasa kabisa
 
Brandon Williams akiendelea kukuzwa vizuri kwa kupewa aspect nyingi nyingi za kudefend basi tutakuwa na beki tatu kitasa kabisa
Tunakila sababu ya kuendelea kumwamini huyu dogo,

Ni kama Denis Irwin kazaliwa upya kwenye defence yuko vizuri anatakiwa aongeze passing accuracy hasa akiwa kwenye final third pamoja na crossing.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom