Co tu hakijacheza fainali yyte bali pia ni kikosi kilichokuwa kinacheza soka bovu na la kubahatisha mno cz kila mtu alikuwa anajiona star anaetakiwa kuibeba timu ukiacha u star wa nje ya uwanja, unajua ktk mpira unaweza kuwa na kikosi kizuri mno lkn kisipate mafanikio unajua ni kwnn? Ni kwasababu lazima kuwepo kiunganishi cha wachezaji mfano CR7 pale utd, Kaka Ac Milan, Ronaldinho Barca, Henry Arsenal, Drogba Chelsea, KDB City, Messi Barca, CR7 Madrid, Iniesta Spain, Zidane France, Mbappe France, CR7 ureno, Hazard Chelsea, Sarah Liverpool (japo wengi wanadhani ni Mane lkn amini nakwambia Sarah akiondoka tm itapoteza kitu kikubwa sana cz kiunganishi co tu kiwango bali pia bahati), and the likes of that, pia man u kwa ss naona kama imeshapata mchezaj wa kariba hiyo.