Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
So wakati CR7 anacheza United alikuwa haipiganii timu??Naamini hivyo kwa sababu yeye alikulia pale na alikuwa anaipenda sana timu ila hitilafu na mwalimu ikafanya mwalimu asihitaji tena kuendelea nae. Ila hata baada ya kuondoka na kustaafu mpira bado Becks anaipenda sana timu. Becks ni kama Roy Kean tu,ni watu walokuwa wakiipenda timu na wanafia timu haswa ila mwisho wa siku Ferg nae alikuwa na ubinadamu wake
Tafuta interview za Evra,Ferdinand,Giggs,Wazza,Scholes GNeville,SAF,Nani wakimzungumzia Ronaldo
Sent using Jamii Forums mobile app
