Kisalilo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 1,880
- 2,111
Neymar kwa sasa ni mzuri ktk uuza jersey labda.binafsi siamini sana ktk mbape angalia takwimu za neymar na ule utoto wake kisha uje unieleweshe vizur mkuu
Utoto wa naymar ni timu anayochezea psg zile mambo hawez kuleta barcelona,madrid,manchster united au liverpool maana hizo timu kuna watu wamepita zaidi yake na wamechukua uchezaj bora kapita barcelona kawah leta utoto?
Attacking force kwa nini msimchukue kane? Perfect!Neymar mimi siafiki kabisa mpaka sasa PSG iko kwenye mabega ya Mbappe na siyo Neymar tena.
Halafu Neymar ni left wing nafasi ambayo tayari na Marcus Rashford anayeweza kutupa kila tunachokitaka upande wa kushoto.
Kama ni kitu tunatakiwa kuwa makini katika signing za attacking force yetu.
Tusije kutumia pesa bila kuzingatia mahitaji ya timu yetu sidhani kama Man united inamhitaji Neymar katika uhitaji wa timu na kibiashara.
Timu yetu inahitaji watu ndiyo lakini siyo wa calibre ya Neymar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningekuelewa ungesema tumsajili Kylian Mabappe lakini Neymar ni kuongeza mtu mzima anayeishi katika utoto wake.
Mimi ukiniambia ukiniambia kumchagua Nyemar na Deloufe nitamchagua Deloufe.
Sent using Jamii Forums mobile app

Hata kwa Jersey sidhani ana skendo nyingi sana halafu siyo fan favourite kihivyo.Neymar kwa sasa ni mzuri ktk uuza jersey labda.
Hii corona iishe tu turudi kwenye maisha yetu ya kawaida.Yaani hii ndo thread ya michezo ambayo inaongoza kwa updates msimu huu wa corona.
Hongereni sana mabingwa wa kihistoria.
But mpaka kufika mwezi may huenda ikawa imepungua sana huko majuuNdiyo kwanza imeanza.
Hapa kunahitahika Godly intervention.
But mpaka kufika mwezi may huenda ikawa imepungua sana huko majuu
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu daniel james mchezaj mzur sana tena sana dogo anacheza kwa presha katupa kitu muhimu sana hatuna wale wachezaj wakomavu wa kumpunzisha fikiria anatokw james anaingia lingard au pereira so tuangalie wakomavu hizi mech ambazo pereira na mwenzie lingard walikuwa nje timu imecheza vizur sana
Ukija eneo la kiungo matic mzoef kacheza vizur sana fred had goli za kufungwa zimekuwa chache mech 14 za matic hatujaruhusu goli scott mchezaj mzur sana ila tunaruhusu sana goli napenda sana wachezaj wazoef ukiangalia kiungo cha liverpool wote wazoefu wakina Georginio Wijnaldum na genge lake wabish sana
Kiungo cha matic na fred tayar kimeanza kukaa sasa hata kocha kaona hilo scott anaanzia bench mech ya everton dogo alianza angalia tulivyohangaika mech ya city alinzia bench kiungo kilikuwa poa sana ni hayo tu
Kuna waarabu wale waliohusishwa kuinunua utd wameinunua Newcastle paundi mill 600 kutoka kwa mmiliki ashleyHivi New Castle wameibukia wapi mana naona habari zao za kutisha. Ni kama msimu ujao tutarajie new castle Wa kusumbuana kwenye top 4 hivi! Wamepata ma don Wa kutisha nini? Mana nilipita kwenye social network flani nikakuta kuna washabiki wao wanasema ikiwezekana msimu ujao wamchukue harry Kane ili akatafute kuvunja rekodi ya Alan Shearer, nikapigwa na butwaa!
Napenda kukukumbusha kuwa Ukitaka kuja humU MANCHESTER UNITED FANS THREAD uwe kama Mtu Mwenye akili Timamu kutuletea mawazo kama Jitu lilikufa Likafufuka ndo linatoa wazo Uache basi
.
tobaaaaaaaaaaaaKuna waarabu wale waliohusishwa kuinunua utd wameinunua Newcastle paundi mill 600 kutoka kwa mmiliki ashley
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu!Kuna waarabu wale waliohusishwa kuinunua utd wameinunua Newcastle paundi mill 600 kutoka kwa mmiliki ashley
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili kuwa title contenders itawachukua 3 - 4 yearsKuna waarabu wale waliohusishwa kuinunua utd wameinunua Newcastle paundi mill 600 kutoka kwa mmiliki ashley
Sent using Jamii Forums mobile app