OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Uyo ni mnigga ivyo vimagonjwa waachie wachinaJamaa asije akatuletea CORONA bure
#CFC


Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo ni mnigga ivyo vimagonjwa waachie wachinaJamaa asije akatuletea CORONA bure


Mc cane nashauri uufunge huo mjadala, ni league tu isiyoisha na isiyo na tija yoyote.Kwani bado yupo West brom, au Everton si alishaondoka (mpito, mpito, mpito)
Na kilichopo ni kwamba pembeni alichezeshwa occasionally, haikuwa kwamba sasa yeye ndio atawapisha wengine halafu awe anatokea kushoto. Lukaku ana ego, kumpisha Rashford au Martial ili yeye acheze pembeni ni kama matusi kwake
After all hakuwa established player, kwa hiyo alikuwa tayari kujifunza (malengo ya loan) kwa kuwa deployed kwenye namba tofauti tofauti. Kuna umri wa kurushwa namba kwa kuwa unajua ukifika muda wako utacheza namba yako, sasa yeye yupo 26 years halafu ghafla anaambiwa atokee pembeni (sio kwa mechi moja au mbili, yaani kocha ndio kaamua)
Ni sawa na sasa anavyochezeshwa Greenwood pembeni, usitegemee akiwa na miaka 25 atakubali kuwekwa pembeni
Nifukulie na mechi za Ubelgiji tuone ngapi (ukiacha ya Brazil) alichezeshwa pembeni na ngapi alicheza katikati ili tujue kwamba kweli Martinez huwa anachezeshwa Rom pembeni kama unavyotueleza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Kua Wana hela nyingi za Kununulia Vinywaji hivyo.Hivi kwa nini ma fans wengi wa Man u ni walevi tena kupindukia?? Nauliza tu....
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app


View attachment 1342337
kama anamwambia vile sasa nimekuja ushindwe mwenyewe kufunga kwa mapande nitakayo kupa
Uyu martial takataka??? Akitoka apo man u awezi pata naomba ata QPR au Bolton ...ni mojawapo ya mchezaji mzembe kuwahi kutokea...
Kama unabisha lete stats na mimi nilete za kwangu
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichokigundua we jamaa ukipewa Martial na jiwe, utachagua jiwe.KWELI MKUU LETA STATS, NA IGHALO ATAKAPOANZA KUCHEZA NDIO ITAJULIKANA TULIPOTEZA MUDA SANA KWA HUYU BISHOO. IGHALO NI MPAMBANAJI KWELI KWELI.NDIO WALE WACHEZAJI WAKO RADHI KUVUNJIKA PUA KULIKO KUUKOSA MPIRA WA JUU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe ungelewa tuHivi kwa nini ma fans wengi wa Man u ni walevi tena kupindukia?? Nauliza tu....
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Unawananga washabiki wa United walevi wakati wewe huwezi ingia JF bila kula bange kwanza upate ganzi maana chelsick ni pasua kichwaVip kuhusu dada Leno pale arsenal, kazi kutingisha kijambio tu langoni..
Sent using Jamii Forums mobile app
Beggar has no choice.Loan deal ya Ighalo.
Sio mbaya, timu ilihitaji Mtu yeyote anaeitwa striker.
Naona baada ya kumkosa Haaland, waliishiwa option.
Beggars are not choosers
Para ya mwisho kabisa umenichefua sana.Odion Ighalo
Mchezaji wa ki Nigeria mwenye experience ya kucheza ligi za nchi kama ya Norway, Spain, Uingereza na China
Ana uzoefu wa kucheza ligi kuu ya Uingereza kwa Misimu 2 ambapo alikipiga klabu ya Watford
Ighalo ambaye mwaka 2016 alikiri kuwa yeye utotoni alikuwa ni shabiki wa United, ana jumla ya magoli 131 kati ya mechi 322 alizocheza katika carrier yake
Msimu uliopita Odion Ighalo alikuwa mfungaji bora wa pili katika Ligi Kuu ya soka nchini China baada ya kufunga magoli 21. Katika mechi 72 alizocheza, akiwa China ameweza kufunga magoli 46. Katika ligi ya Mabingwa amefunga magoli 10 katika mechi 17.
Msimu uliopita klabu ya Barcelona walitaka kumsajili majira kama haya, lakini Ighalo alikataa kwa kusema huo ulikuwa ni uamuzi rahisi kwake, pia aliona ni fedheha kwa mfungaji bora namba 2 kwenye ligi ya China kwenda kuwa back up striker pale Barca
Ighalo mwenye miaka 30 amesajiliwa kwa ajili ya nusu msimu (kwa kiasi kinachotajwa kuwa £4m) uliobaki na hakuna option ya kumnunua. United watalipa kiasi kinachokadiriwa kuwa £150,000 kwa wiki kama sehemu ya mshahara wake ambao ni £300,000 kwa wiki
Usajili wa Ighalo ni usaji wa "Afadhali" kwetu, sio usajili wa kutufanya mashabiki wa United kuwa na mshawasha mkubwa, lakini ni usajili utakaongeza namba ya ma striker na kitu tofauti pale ukilinganisha na aina ya ma striker waliopo
Ukweli ni kwamba, tumemsajili Ighalo kutokana na kukosa muda wa kufanya usajili mzuri zaidi, na hii imesababishwa na kuchukua muda mrefu kwenye dili la Bruno kuliko ilivyopaswa, tunarudi kule kule kwa bodi na Ed
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara zote pogba ameingia kikosi bora cha uingereza unasemaje hayupo top 5? Hichi ni kikosi bora cha ligi ya uingereza msimu uliopitaKwani Pogba ana nini cha ziada kiasi useme hakuna kiungo duniani aina ya Pogba
Sidhani kama anaingia hata top 5 ya viungo bora pale uingereza
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaa unampenda sana pogba asee. Siyo mbaya ila huyo mchezaji hatakiwi kabisa kuendelea kuwepo Man U,ataibomoa sana timuWatu Pogba mnamchukulia poa sana. Hakuna kiungo aina ya Pogba duniani kwa sasa. Timu ni muhimu iwe na players wenye talent na entertainers hata km work late yao ni ndogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kipindi cha fergie tuliunga unga 2006 kaondoka RVN, ronaldo bado, saha majeruhi akaletwa Heinrik Larsson kwa mkopo miezi 6 akatupa kombe,Kweli maisha yanaenda kasi sana . Yani leo hii Man U imekua unga unga mwana inaokoteza wachezaji
Para ya mwisho kabisa umenichefua sana.
Huyo Ighalo ni garasa tu.
Ameletwa muache kelele kwamba hamjasajili.
Sent using Jamii Forums mobile app