Sasa mbona hiyo article yako inaonesha ni tactic ambayo Martinez aliitumia mahususi kwa ajili ya mechi ile, lakini wewe unatuambia humu kana kwamba Rom huwa anachezeshwa winger siku zote

Au mkuu umeweka source bila kusoma yote, au umewekewa?

Nakumbuka enzi za Fergie, kuna mechi tuliwafunga Arsenal goli 2 karibu timu nzima walicheza mabeki kasoro Rooney na Chicharito. Mechi hiyo Fabio alicheza winger ya kushoto na Rafael akacheza winger ya kulia, unavyoonekana wewe ulivyoiona hiyo game ukawa unasema Fabio amekuwa winger.

Mkuu tactical change za game 1 au 2 usifanye kama Ubelgiji ndio huwa wanacheza hivyo, that was exceptional case. Rom has always been played at center forward position.

Nasisitiza tu kuwa hizi zama ni ngumu sana kudanganya na uongo ukadumu
Mkuu mbona hizo picha umegoogle google tu? Hujaangalia world cup wewe? Lukaku amechezeshwa wapi? Siongelei habari za kusadikika naongea kitu ambacho nimekiona kwa macho yangu, mtu mwengine alieangalia world cup atakuja kutusaidia.

KDB alikuwa deployed kama false 9 na Lukaku akapelekwa pembeni.

Mechi ya brazil nakumbuka ilikuwa hivyo
belgium-brazil-diagram.jpg


Source

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubelgiji hachezi winger mkuu, usichukue mechi moja ambayo Martinez aliamua kufanya tactical twist (dhidi ya Brazil) halafu ndio utuambie kwamba hiyo ndio namba anayocheza

Hata ukisoma link uliyotuma inaonesha ilikuwa kama surprise tactic dhidi ya Brazil

Romelo Lukaku Bolingoli Ubelgiji anacheza namba tisa, mshambuliaji wa kati
belgium anacheza wapi? amehama huko nako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mbona hizo picha umegoogle google tu? Hujaangalia world cup wewe? Lukaku amechezeshwa wapi? Siongelei habari za kusadikika naongea kitu ambacho nimekiona kwa macho yangu, mtu mwengine alieangalia world cup atakuja kutusaidia.

KDB alikuwa deployed kama false 9 na Lukaku akapelekwa pembeni.

Mechi ya brazil nakumbuka ilikuwa hivyo
belgium-brazil-diagram.jpg


Source
Mkuu kuna vitu vingine viko wazi an so obvious sisi sote ni MAN UNITED Fans nia ya mijadala yetu mwisho wa siku ni kushuhudia timu yetu pendwa ikifanya vizuri.

Ni sahihi na ni ukweli ulio Wazi anachokisema Mdau hapo kwamba handling ya Issue ya Lukaku ilimfanya ahisi kutohitajika an of course akajikuta amekua provoked mpaka kumiss behave hadi kuvujisha stats za mazoezini akionyesha kwamba kile anachotuhumiwa si kweli kwani wawapo mazoezini ana perform far better than others (that was a stupid mistake).

Kuhusu "Kirusi" Pogba kama kilivyo itwa na Mourinho haihitaji Phd ya Falsafa ili kubaini ukweli kwamba as for now team ndio inamkumbatia zaidi but yeye Mara kadhaa performance yake, matendo yake ya kutojituma ipasavyo na matamshi ya waribu yake vyote vinathibitisha kwamba Kimwili yupo nasi ila Kimoyo yupo somewhere else.


Ile interview ya kaka yake unadhani it was just an interview? Imani yangu ni kwamba yule alikua ana reveal mazungumzo yao mengi ya kinyumbani nyumbani pia Agent wake the way anavyo tu criticise unadhani ni bure tu?


Mwisho furaha yetu ni team kufanya vizuri, turudi kwenye zama zetu za ubora wetu, tutampinga na kumkosoa yeyote tunaye dhani na kuona mbinu zake haziisaidii na kuuiimarisha team tuliyochagua kuipenda unconditionally.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu imeshindwa kumlinda

Kocha ameshindwa kumuamini

Na amekuwa scapegoat pale timu inapofanya vibaya

Huko Italy Conte publicly amekuwa akimuunga mkono, na sio kwa maneno tu, ameonesha imani kubwa juu ya Rom, amemfanya ajihisi ni mtu muhimu kwenye timu

Sasa kelele za mashabiki wa timu pinzani wakipiga kelele za ubaguzi kwanini zimsumbue, cha msingi watu wake (kocha, teammates) wapo pamoja naye na hicho ndicho alichokosa pale United

Sent using Jamii Forums mobile app
You Nailed it Mh. Kada wa Chama twawala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeiweka vizuri sana, huu ndio ukweli halisi
Mkuu kuna vitu vingine viko wazi an so obvious sisi sote ni MAN UNITED Fans nia ya mijadala yetu mwisho wa siku ni kushuhudia timu yetu pendwa ikifanya vizuri.

Ni sahihi na ni ukweli ulio Wazi anachokisema Mdau hapo kwamba handling ya Issue ya Lukaku ilimfanya ahisi kutohitajika an of course akajikuta amekua provoked mpaka kumiss behave hadi kuvujisha stats za mazoezini akionyesha kwamba kile anachotuhumiwa si kweli kwani wawapo mazoezini ana perform far better than others (that was a stupid mistake).

Kuhusu "Kirusi" Pogba kama kilivyo itwa na Mourinho haihitaji Phd ya Falsafa ili kubaini ukweli kwamba as for now team ndio inamkumbatia zaidi but yeye Mara kadhaa performance yake, matendo yake ya kutojituma ipasavyo na matamshi ya waribu yake vyote vinathibitisha kwamba Kimwili yupo nasi ila Kimoyo yupo somewhere else.


Ile interview ya kaka yake unadhani it was just an interview? Imani yangu ni kwamba yule alikua ana reveal mazungumzo yao mengi ya kinyumbani nyumbani pia Agent wake the way anavyo tu criticise unadhani ni bure tu?


Mwisho furaha yetu ni team kufanya vizuri, turudi kwenye zama zetu za ubora wetu, tutampinga na kumkosoa yeyote tunaye dhani na kuona mbinu zake haziisaidii na kuuiimarisha team tuliyochagua kuipenda unconditionally.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hongera wewe ambaye hutumii Google kama njia ya kupata information, nadhani wewe huwa upo kwenye benchi la Martinez au labda upo Sky Sport. Mimi Google ni moja kati ya sehemu inayonifanya nipate taarifa

Kwa taarifa tu Nimeangalia hiyo wolrd cup mkuu (kwenye TV, hata kama ulikuwa uwanjani it doesn't make any difference) na Lukaku amecheza kati kati nimeweka picha za line up ili kuepuka kubwabwaja bila kuwa na kitu tangible. Kama wewe unavyoweka hit map zako (ambazo wewe hutoi Google, unazitoa uwanjani kabisa) na mimi nimeweka hizo picha za line up

Kiufupi mkuu ulimwengu wa sasa ni ngumu sana kudanganya watu hasa wale ambao wanapenda kujua mambo

Pia mkuu Ubelgiji imecheza world cup lakini pia kuna mechi nyingi ambazo Ubelgiji wamecheza ambapo role ya Rom primarly ni central striker na sio winger kama unavyosema

Inawezekana wewe unadhani striker wa katikati huwa anacheza hapo katikati bila kwenda upande wa kushoto au kulia (kadiri game inavyoenda/dynamism of the game) , sasa ukicheki game ukimuona Lukaku ameenda upande wa kulia au kushoto basi unasema anachezeshwa pembeni

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mfumo wa ole 4-3-3 wa kulia na kushoto ni mastriker kitaalamu wanaitwa inside forward, greenwood anatokea kulia na ni striker. Hakuna tofauti yoyote na hio ya ubelgiji na ole mwenyewe amelisema kwa mdomo wake.

Hata beckham alivyoondoka kabla ya Ronaldo kuanza 1st team ole alipelekwa pembeni na kuwa support ya Rvn, so is suarez kwa sturidge, lacazete kwa Auba, etc ni jambo common sana kwenye mpira.

Na ukitaka full match ya brazil na ubelgiji pia naweza kukuekea.
 
Mkuu kuna vitu vingine viko wazi an so obvious sisi sote ni MAN UNITED Fans nia ya mijadala yetu mwisho wa siku ni kushuhudia timu yetu pendwa ikifanya vizuri.

Ni sahihi na ni ukweli ulio Wazi anachokisema Mdau hapo kwamba handling ya Issue ya Lukaku ilimfanya ahisi kutohitajika an of course akajikuta amekua provoked mpaka kumiss behave hadi kuvujisha stats za mazoezini akionyesha kwamba kile anachotuhumiwa si kweli kwani wawapo mazoezini ana perform far better than others (that was a stupid mistake).

Kuhusu "Kirusi" Pogba kama kilivyo itwa na Mourinho haihitaji Phd ya Falsafa ili kubaini ukweli kwamba as for now team ndio inamkumbatia zaidi but yeye Mara kadhaa performance yake, matendo yake ya kutojituma ipasavyo na matamshi ya waribu yake vyote vinathibitisha kwamba Kimwili yupo nasi ila Kimoyo yupo somewhere else.


Ile interview ya kaka yake unadhani it was just an interview? Imani yangu ni kwamba yule alikua ana reveal mazungumzo yao mengi ya kinyumbani nyumbani pia Agent wake the way anavyo tu criticise unadhani ni bure tu?


Mwisho furaha yetu ni team kufanya vizuri, turudi kwenye zama zetu za ubora wetu, tutampinga na kumkosoa yeyote tunaye dhani na kuona mbinu zake haziisaidii na kuuiimarisha team tuliyochagua kuipenda unconditionally.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi ni mmoja wa wadau humu wakati watu wanatake side ya pogba na kumponda mourinho nilikuwa upande wa kocha, na nilitaka kipindi kile kile wakiondoka waondoke wote, kama ole hamtaki pogba ataondoka, kama pogba hataki man U ataondoka vile vile, ila mambo mengi ambayo yanasemwa juu ya huyu jamaa ni uzushi, mchezaji pia kaka yake kusema ana dream ya kucheza spain ni jambo baya? As long as ana mkataba na ni proffesional akautii huo mkataba kuna ubaya gani?

Pogba huyu huyu december amecheza mechi mbili sijui tatu hali ya kuwa ni majeruhi na maumivu, pogba huyu huyu halalamiki akichezeshwa out of position, jamaa muda wote amekuwa proffesional.

Na kuhusu huyo lukaku mkuu ame submit official kwa wahusika kwamba anataka kuondoka mwezi wa 3 na amekubaliwa as a proffesional alitakiwa kutii mkataba wake, lakini kitendo cha kujibizana na man u na kutoa siri za mazoezini kinaonyesha jinsi alivyo insecure, na according to luke shaw ole aliwaambia wakimbie taratibu hivyo hata zile data alizovujisha amedanganya kwamba yeye ni fast player.

Hii mada ya lukaku iishe hapa mkuu ila naomba hii comment iwe reference tuone inter itaishia vipi
 
Kama Sanchez,Di Maria hahah

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli walifurahia single digit lkn inakuwa ngumu sana babae.

Sanchez sijui, di maria hana nyota, kwa sasa ukimuuliza hata mtoto anaweza akasema di maria ni mchezaji wa Yanga. Yaani hasikiki kabisa. Tofauti na wakati flan akiwa Madrid, alikuwa nyota sijui nani kaizima babae.
 
Ubelgiji hachezi winger mkuu, usichukue mechi moja ambayo Martinez aliamua kufanya tactical twist (dhidi ya Brazil) halafu ndio utuambie kwamba hiyo ndio namba anayocheza

Hata ukisoma link uliyotuma inaonesha ilikuwa kama surprise tactic dhidi ya Brazil

Romelo Lukaku Bolingoli Ubelgiji anacheza namba tisa, mshambuliaji wa kati

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ole siku aliomchezesha lukaku pembeni(dhidi ya Arsenal) ilikuwa ni tactical twist, si kwamba siku zote alikuwa akimchezesha pembeni. Mfano mechi ya psg lukaku alikuwa mbele.
 
Kwa kweli walifurahia single digit lkn inakuwa ngumu sana babae.

Sanchez sijui, di maria hana nyota, kwa sasa ukimuuliza hata mtoto anaweza akasema di maria ni mchezaji wa Yanga. Yaani hasikiki kabisa. Tofauti na wakati flan akiwa Madrid, alikuwa nyota sijui nani kaizima babae.
Ukienda ufaransa unadowngrade mkuu hata neymar kapotea.
 
Mkuu mimi ni mmoja wa wadau humu wakati watu wanatake side ya pogba na kumponda mourinho nilikuwa upande wa kocha, na nilitaka kipindi kile kile wakiondoka waondoke wote, kama ole hamtaki pogba ataondoka, kama pogba hataki man U ataondoka vile vile, ila mambo mengi ambayo yanasemwa juu ya huyu jamaa ni uzushi, mchezaji pia kaka yake kusema ana dream ya kucheza spain ni jambo baya? As long as ana mkataba na ni proffesional akautii huo mkataba kuna ubaya gani?

Pogba huyu huyu december amecheza mechi mbili sijui tatu hali ya kuwa ni majeruhi na maumivu, pogba huyu huyu halalamiki akichezeshwa out of position, jamaa muda wote amekuwa proffesional.

Na kuhusu huyo lukaku mkuu ame submit official kwa wahusika kwamba anataka kuondoka mwezi wa 3 na amekubaliwa as a proffesional alitakiwa kutii mkataba wake, lakini kitendo cha kujibizana na man u na kutoa siri za mazoezini kinaonyesha jinsi alivyo insecure, na according to luke shaw ole aliwaambia wakimbie taratibu hivyo hata zile data alizovujisha amedanganya kwamba yeye ni fast player.

Hii mada ya lukaku iishe hapa mkuu ila naomba hii comment iwe reference tuone inter itaishia vipi
Kwa Kua umependekeza mada hiyo iishie hapo nami naungana na wewe kwa afya yetu sote as MAN UNITED Fans ni vizuri kufunga mjadala huo.

Nisahihi kabisa nakumbuka kweli kwamba ulikua upande wa Kocha that time.

Luka is no more Man United player so tumuache nasi tujadili tulivyo navyo, shortage ya mfungaji mwenye njaa iliyokithiri ambaye yuko tayari hata kuvunjika pua ili timu ifunge, Management mbovu inayojali faida za kiuchumi na isiyofahamu mahitaji halisi ya soka (hapa namzungumzia ED Na Wamiliki Glazers family), team kukosa consistence Leo inacheza hivi kesho vile, mbinu za hovyo katika kusajili mchezaji unamkosa kwa hela ndogo then unalazimika kumchukua January kwa hela zaid (rejea tukio la Bruno Fernandez).


Naunga mkono kila ghasia anazofanyiwa Ed angalau yeye binafsi na Glazers family wataheshimu position yetu fans katika team, perhaps watafeel maumivu yetu yakufungwa na team ambazo zinataka kushuka daraja wamepafanya Old Trafford kua ni Uwanja wa kawaida kawaida tu kwamba yeyote anaweza pata matokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una maana gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna comment nyingine unazisoma halafu kama joto la mwili linakupanda hivi,maana zinakuwa tofauti kabisa na unachokitaka au unachokiamini..That's football though

I Love Fred,workrate yake ni kubwa sana,na nilikuwa nime-write off,lakini msimu huu ulivyochanganya ameni-prove wrong..Kuna talent pale

Ni swala la Kocha kutafuta combination ambayo wachezaji wata-complement each other..Mfano Fred unamchezesha na mtu kama Matic(kwenye ubora wake),atakachosaidia Matic ni kucontrol game kwenye high pressure,then unamwongeza Fernandes anakuwa anatoa pass laana za magoli na kufunga..

Shida ni kuwa,kuna watu wanataka hadi Fred awe anafunga..sasa nauliza How many Goals did Carrick scored for us??
 
Back
Top Bottom