Yoranda
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 341
- 333
Bad
He is one of the best Coach on Earth. Lkn leadership skills sifuri. Anakosanakosana na watu. Sio mbaya kuonyesha emotions lkn sometimes you have to cool down.
Nilimuelewa sana Ole, hadi de gea alikuwa aondoke, lkn mlinda mlango ametulia, i thought the same kwa Pogba, Mungu amsaidie apone. Ila angekuwa anajitahidi kukaa kimya, kama unafanya kaz sehem huku unasema viby uongozi wewe ni useless, chizi.
Lukalu ni miongoni mwa respected players! Nidhamu yake inamfanya awe vile, kwa sisi wakongwe wa soka, sion mchezaji wa kutisha kwenye hizi Liverpool, man city, ni wakawaida sana.
Tafuta wachezaji wenye nidhamu uwanjani wengi ni best players. Nidham inamuacha salama mtu yoyote including players, pogba ataanguka akiendelea na upuuz wake.
Bado nabaki palepale, Pogba sijawahi kujua kwanni ole alimkumbatia, Pogba alishaonyesha disrespectful tangu Ferguson era. Fergie akamuondoa. Though he world professional, mata, ana discipline Sana, Pogba hana ama anautoto, alitakiwa aelelekezwe, tofauti na Morinyo, ole anamzungumzia very positive, like he is sick, paper distroy his players, hayo ni maneno ya utetez kwa wachezaji wake. Morinnho just fuk around, yaani anatema Checheee mchezaji anamsema na kadhalika.Mkuu mimi ni mmoja wa wadau humu wakati watu wanatake side ya pogba na kumponda mourinho nilikuwa upande wa kocha, na nilitaka kipindi kile kile wakiondoka waondoke wote, kama ole hamtaki pogba ataondoka, kama pogba hataki man U ataondoka vile vile, ila mambo mengi ambayo yanasemwa juu ya huyu jamaa ni uzushi, mchezaji pia kaka yake kusema ana dream ya kucheza spain ni jambo baya? As long as ana mkataba na ni proffesional akautii huo mkataba kuna ubaya gani?
Pogba huyu huyu december amecheza mechi mbili sijui tatu hali ya kuwa ni majeruhi na maumivu, pogba huyu huyu halalamiki akichezeshwa out of position, jamaa muda wote amekuwa proffesional.
Na kuhusu huyo lukaku mkuu ame submit official kwa wahusika kwamba anataka kuondoka mwezi wa 3 na amekubaliwa as a proffesional alitakiwa kutii mkataba wake, lakini kitendo cha kujibizana na man u na kutoa siri za mazoezini kinaonyesha jinsi alivyo insecure, na according to luke shaw ole aliwaambia wakimbie taratibu hivyo hata zile data alizovujisha amedanganya kwamba yeye ni fast player.
Hii mada ya lukaku iishe hapa mkuu ila naomba hii comment iwe reference tuone inter itaishia vipi
He is one of the best Coach on Earth. Lkn leadership skills sifuri. Anakosanakosana na watu. Sio mbaya kuonyesha emotions lkn sometimes you have to cool down.
Nilimuelewa sana Ole, hadi de gea alikuwa aondoke, lkn mlinda mlango ametulia, i thought the same kwa Pogba, Mungu amsaidie apone. Ila angekuwa anajitahidi kukaa kimya, kama unafanya kaz sehem huku unasema viby uongozi wewe ni useless, chizi.
Lukalu ni miongoni mwa respected players! Nidhamu yake inamfanya awe vile, kwa sisi wakongwe wa soka, sion mchezaji wa kutisha kwenye hizi Liverpool, man city, ni wakawaida sana.
Tafuta wachezaji wenye nidhamu uwanjani wengi ni best players. Nidham inamuacha salama mtu yoyote including players, pogba ataanguka akiendelea na upuuz wake.