bangi za usiku zinapochanganyika na msongo wa njaa na mawazo finyu
kocha yeyote ajaye klabuni manchester united kama anahitaji kufanikiwa kwa haraka zaidi afanye maamuzi ya kuwaondoa wafuatao haijalishi awe hana uhakika wa kupata warithi wake kwenye soko la usajili, naamini kuondoka kwao hakutaleta athari yeyote kuliko kuendelea kubaki kwao klabuni pia kuondoka kwao kutasaidia kupungua kwa
wage bills
- jesse lingard
- andreas perreira
- phil jones
- marcos rojo
- alex sanchez
- diogo dalot
akishafanikiwa kuwaondoa wachezaji hao kwa msimu mmoja then afanye maandalizi ya kuwaondoa wachezaji wafuatao kwa dirisha linalofuata (2020/2021) pindi wakipatikana warithi sahihi
- anthony martial
- eric bailly
- luke shaw
- victor lindeloff / smalling
- juan mata
kinyume chake tutaendelea kuwa wasindikizaji haijalishi kama klabu itaamua kuwaajiri kwa pamoja josep guardiola, zidane na mauricio sarri.
hao niliowawekea wino mwekundu nakaribisha mjadala huru.
Timu yetu imejaza watumishi hewa