Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,570
- 10,506
Breaking News
Marcus Rashford out for 2 to 3 months
Tungenunua/tungekuwa na striker in the first place mechi ya Wolves tusingemlazimishia kucheza hivyo asingeumia zaidi
In the second place kipindi yupo injured hiyo miezi tungekuwa na option ya striker mwingine
Nimeshabikia United miaka mingi sana, sijawahi kuona ina limited options ya strikers kama wakati huu
Martial ndio striker pekee (namba 9) Rashford mshambuliaji anayetoka pembeni na mtoto wa miaka 18 Greenwood
OGS amewahi kujitapa yeye siyo selfish, chochote anachofanya ni kwa maslahi ya timu (ukweli ni kwamba ni muoga kuiambia bodi anachotaka/anajipendekeza)
Ngoja tuone kwa hali ya sasa atafika wapi, mwache asiwe selfish kitakachomkuta baada ya Ed kumchoka asimlaumu mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Marcus Rashford out for 2 to 3 months
Tungenunua/tungekuwa na striker in the first place mechi ya Wolves tusingemlazimishia kucheza hivyo asingeumia zaidi
In the second place kipindi yupo injured hiyo miezi tungekuwa na option ya striker mwingine
Nimeshabikia United miaka mingi sana, sijawahi kuona ina limited options ya strikers kama wakati huu
Martial ndio striker pekee (namba 9) Rashford mshambuliaji anayetoka pembeni na mtoto wa miaka 18 Greenwood
OGS amewahi kujitapa yeye siyo selfish, chochote anachofanya ni kwa maslahi ya timu (ukweli ni kwamba ni muoga kuiambia bodi anachotaka/anajipendekeza)
Ngoja tuone kwa hali ya sasa atafika wapi, mwache asiwe selfish kitakachomkuta baada ya Ed kumchoka asimlaumu mtu
Sent using Jamii Forums mobile app