Manchester United (Red Devils) | Special Thread

✓Guys am sorry..James ni useless,,anacheza kwenye flank na hawezi kudribble hata kumpita beki mmoja,anategemea pace tu..tunahitaji mtu mwingine anayeweza kuoffer vitu vingi zaidi

✓Perreira hawezi kukaa na mpira,hawezi kutoa pass nzuri,,hawezi kuwin back mpira,anachokiweza huyu dogo ni nini??..very very poor
 
Wanajidai hawakuona

Hapo lengo ni kutaka kuonesha VVD kamzidi kete Maguire

Ila hapo ndio nashindwa kuelewa wachezaji wa Man Utd wanawaza nini

Of all people, Williams ndio kakabidhiwa am mark VVD kwenye set pices
Maguire hajam-mark VVD kwenye ile kona ya goal, dogo Williams na Fred ndio walikua karibu.

In the end VVD alipiga free header.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angeukosa mpira angepata red card lakini alikuwa ana 50/50 chance kugusa mpira au kukosa kama angepiga tackle
Haikua na maana, ilikua dk ya 93, tuko nyuma goli moja. Angepewa red, ange miss the next three matches, wakati baada ya japo ni kipenga cha full time.

Alifanya uamuzi sahihi naona kwa upande wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hali ya kikosi cha Liverpool kwasasa, na hali ya kikosi chetu na kocha watu, wachezaji wamejitahidi sana, ninawapongeza. Martial yangekuwa sharp and accurate, tusingefungwa game hili.
 
Kwan kuna mtu alitegemea Man u atashinda hii mechi? Kama kuna mtu wa namna hyo bas ana mtindio wa ubongo, dunia yote ilikuwa inajua mechi ya leo Kwa Man u ni kukamilisha ratiba ya mzunguko, hebu tujadili mambo mengne ya msingi zaidi hasa ya kuimarisha kikosi chetu kilichotupa matokeo mazur mechi mbili zilizoisha
 
Yaan nyie mmebakiza kuongea ujinga as if watu iyo timu hawakuipna fagason huyuhuyu aliye kuwa anaonga marefa (web) mbona aikuwai kufikisha point japo 95....

Kocha tishio zaidi aliyefanya vitu vya hatari ni gadiola .kufikisha 100 ,98 back to back sio jambo rahisi , mlichobalikiwa nimidomo poyoyo nyingi ila kiukwel game lilisha washinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…