Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,487
Au kati ya AWB na shaw mmoja atacheza kama beki wa kati na Williams awe wing back. Nitafurahi kama James akiwa kushoto, huwa anafunga sana akiwa upande huoProbably Williams atacheza winga, lengo ikiwa kuisaidia kumdhibiti Mane/Salah na tunapopata mpira tupige counter attack
Sent using Jamii Forums mobile app

