Funy, jamaa wanafurahia kuifunga one of the weakest Man Utd in many years.... The weakest team without their 3 best players
Funny Klop aliponda Man Utd ku defend deep na kufanya counter attack, kitu alichofanya yeye hususani kwenye goli la pili
Funny Klop aliwahi kusema itakapofika wakati anatakiwa kununua mchezaji kwa pound milioni 70,80.....100 ataachana na soka kabisa (wakati Pogba amenunukiwa), Baada ya mwaka akamnunua VVD, beki kwa kiasi cha kuvunja rekodi
Maisha bila unafiki yanawezekana
Sent using
Jamii Forums mobile app