Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kazi ipo
FB_IMG_15794479552869678.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
teh teh
ukimkuta mshabiki wa man utd anajisifia kuwa bora mbele ya liverpool kwa kigezo cha head to head msimu huu basi mpuuzie..

ni sawa sawa na mtu anayesifia kuongezeka kwa pato la taifa lisiloleta satisfaction yeyote kwa raia wa kawaida.

uchumi umepanda kwa asilimia 10
ila mkuu toka lvg aje 2014 mwaka wa 6 huu na zaidi ya mechi 12 hawa jamaa wametufunga mara 1 tu tena kipindi kile tuna mgogoro wa Mou, mechi kama 12 draw ndio wanashangilia, misimu miwili mfululizo tuliwapiga nje ndani.
 
ila mkuu toka lvg aje 2014 mwaka wa 6 huu na zaidi ya mechi 12 hawa jamaa wametufunga mara 1 tu tena kipindi kile tuna mgogoro wa Mou, mechi kama 12 draw ndio wanashangilia, misimu miwili mfululizo tuliwapiga nje ndani.
Naisevu hii Comment saa 3 ntakukumbusha hauna kikosi cha kumfunga LIVERPOOL narudia hauna hicho kikosi tena ANFIELD

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liverpool XI: Alisson, Alexander-Arnold, Gomez, Van Dijk, Robertson, Henderson, Wijnaldum, Oxlade-Chamberlain, Salah, Mane, Firmino.

Subs: Adrian, Fabinho, Minamino, Lallana, Origi, Matip, Jones.

Man Utd XI: De Gea, Wan-Bissaka, Lindelof, Maguire, Shaw, Fred, Matic, James, Pereira, Williams, Martial.

Subs: Romero, Bailly, Jones, Mata, Lingard, Dalot, Greenwood.
 
Tunataka cleansheet.

Ila kadri muda unavyokaribia pressure inanijia, maana last time nilikuja na matokeo yangu OT, dah noma sana.
Sisi hatuna pressure bcoz we have nothing to loose, leo utd tukifungwa dunia haishtuki bcoz tuwabovu, nyie mpo bora mara mbili yetu inapaswa kuonyesha dunia matokea ya awali OT mliteleza kugawana point na sisi, leo hapo tunakuja kukuaribia na kuweka heshima tu na kama ikatokea tumepoteza basi

GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom