Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

MNYAMA ALIONGEA HIVI MKAMTUKANA LEO KAWAPIGA KIDOLE CHA KATI NA JEZI KAVUA HAHAHAHAHAHA
20200119_212644.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima tusajili kiungo tena tungekuwa serious BF leo angecheza lakini tu napenda kuvuta mambo hadi zinabakia siku 2 au 1 ndio tunasajili
 
Kwa hiyo Mkuu tusisajili striker mpaka tutakaposajili wing back wazuri, mpaka tutakaposajili viungo wachezeshaji wazuri

Mwaka gani huo....... 2030 au 2050

Kwani huwa hatutengenezi nafasi hata chache, je tungekuwa na striker mzuri si tungetumia hata hizo nafasi chache tunazotengeneza

huo mpira kabla haujafika kwa huyo striker inapendeza zaidi kama utaanzia kutengenezwa nyuma.
timu zote zinazocheza mfumo wa 3-5-2 zinafaidika zaidi na huduma ya wingback.
rejea juventus ya antonio conte na massimiliano allegri na hata chelsea ya conte.

hao wingback wetu umewaona brother?
muda wote wapo nyuma hata kama hawajabanwa na maadui halafu tutegemee maajabu ya antonio martial?
sometimes tunawaonea bure hawa striker wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikua wanajifanya wanataka kufunguka salah akawapiga la pili.goli la 2,limewauma mashabiki wa man u.
 
Back
Top Bottom