DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Yaani hii timu yetu mkuu, nakosa hata cha kuzungumza, alafu mbona kina scholes, nevile, fednand wapo kimya? Kipind cha Mou na Lvg walikua wanakosoa kila wikiKwanini akose options? kwanini hakutaka kusajili? kaondoka Fellaini, kaondoka Herrera, kwanini hakusajili?
Pogba kataka kuondoka, kwanini hakuleta mbadala?
Sent using Jamii Forums mobile app
Timu nzima ilikua ovyo, lingad ni kilaza inafahamika ila jumba bovu ni la wote, kuanzia de gea hadi the restLingard akikanyaga nyasi hizo second half nitajua sio Ole gunner ni Ole sendeka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi zetu 8 zijazo, kwa trend hii ya uchezaji, mwezi huu utakuwa mgumu sana
Wolves (Away) - 04, Januari
Manchester City (Home) - 07,Januari
Norwich City (Home) - 11, Januari
Liverpool (Away) - 19, Januari
Burnley (Home) - 22, Januari
Manchester City (Away) - 29, Januari
Wolves (Home) - 01, Februari
Chelsea (Away) - 17, Februari
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza hasira inabidi ukubaliane na hali hata ukiongea vipi haitoweza kubadili matokeo ya timuTimu nzima ilikua ovyo, lingad ni kilaza inafahamika ila jumba bovu ni la wote, kuanzia de gea hadi the rest
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa aina ya timu niliyoishudia jana, morali chini, no game plan, Ogs plan A inapo'fail ndio basi game overMechi zetu 8 zijazo, kwa trend hii ya uchezaji, mwezi huu utakuwa mgumu sana
Wolves (Away) - 04, Januari
Manchester City (Home) - 07,Januari
Norwich City (Home) - 11, Januari
Liverpool (Away) - 19, Januari
Burnley (Home) - 22, Januari
Manchester City (Away) - 29, Januari
Wolves (Home) - 01, Februari
Chelsea (Away) - 17, Februari
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemuelewesha mdau anapomuangushia jumba bovu lingad wakati jana timu nzima ilikua ovyo, Ogs anazeeka kabla ya wakat kwa wachezaj walePunguza hasira inabidi ukubaliane na hali hata ukiongea vipi haitoweza kubadili matokeo ya timu
Sent using Jamii Forums mobile app
Last season tulichukua 4 points...
This season the same 4 points...
Next season tunachukua zote 6...
Mwanitesa united kamshindwa Asenali sasa..

Mbona zilishaga rudi zamani
Anakwambia bado tuna nafasi ya ubingwa. Tushinde mechi saba mfululizo tu.Mkishinda mechi mbili tena ...muanze kuwaza ubingwa ..
Kuna yule alisema tukishinda game saba mfululizo ..Liverpool wajiandae..
Yuko wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna watu ni comedians. Ole kocha hovyo James ndio arsenal walikuwa wanamlenga sana na msumbufu kwao, cha ajabu anatolewa unaacha Rashford wanaoburuza mpira hadi unapotea.
Sasa iwe hivi Rashford akizingua Greenwood anaingia James anahamia kushoto.
Nimekereka na Chance za mwanzoni hasa ile ya Lingard kubuluza mpira uliopigwa kimakosa na beki.
Zilisaidia nini? Huna tofaut na mshabiki wa hii timu anafurahia kuifunga chelsea na man city kisha unafungwa na arsenal na watfordLast season tulichukua 4 points...
This season the same 4 points...
Next season tunachukua zote 6...
Mwanitesa united kamshindwa Asenali sasa..