Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Zilisaidia nini? Huna tofaut na mshabiki wa hii timu anafurahia kuifunga chelsea na man city kisha unafungwa na arsenal na watford

Lampard kachukua point 6 ndani ya top six solskjaer kachukua point 11 ndani ya top 6 liverpool kaambulia point kwa united rudi kwenye msimamo sasa

Sasa ligi inageuka arsenal kuchukua point 4 za united mei out of top 4 huzuni
Zinanisaidia sana....zimenisaidia kupanda nafasi katika msimamo.... Za mwaka jana zilinisaidia nisimalize wa6 kama wewe.... Wewe ndio ulietuvutia mkia big six mwaka jana....

Nakutakia kheri ya mwaka mpya
FB_IMG_15779543490810906.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Man City epl siyo away tupo nyumbani
Mechi zetu 8 zijazo, kwa trend hii ya uchezaji, mwezi huu utakuwa mgumu sana

Wolves (Away) - 04, Januari

Manchester City (Home) - 07,Januari

Norwich City (Home) - 11, Januari

Liverpool (Away) - 19, Januari

Burnley (Home) - 22, Januari

Manchester City (Away) - 29, Januari

Wolves (Home) - 01, Februari

Chelsea (Away) - 17, Februari

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hv ulishawahi kumuona Ferguson akicheka pale United inapopoteza?Ferguson alikuwa anaonyesha hisia fulani ambazo zilikuwa zinaonyesha wazi amekasirika.Alikuwa mpaka analaumu waamuzi na kutoa lugha kali.Alishawahi kusema kwenye press conference 'nashangaa leo mwamuzi alikuwa hawezi kukimbia kwenda na kasi ya mchezo.Nadhani alikuwa ameshiba sana lunch.'

Alipigwa faini na kufungiwa mechi alipotoa hii kauli.Labda ndio maana watu wengi mpaka leo wanaamini kwamba United ilikuwa inabebwa na waamuzi lakini press conference ndiyo inatoa picha halisi ya aina gani ya kocha aliyepo kwenye timu.

Ole Gunnar Solskjaer jana kwenye press conference alionyesha wazi kwamba anaishukuru 'mizimu 'iliyompa bahati ya kuwa kocha wa timu kubwa kama United.Alisema 'pamoja na kupoteza tulicheza vizuri 'huku akitabasamu.Tena sio kwa tabasamu la kawaida kawaida tu. Tabasamu lile wazungu wanaloita 'genuine smile kama anavyoonekana kwenye picha hapo chini.

Usingeweza kuona kitu kama hiki kutoka kwa Ferguson.Siku ambayo United ingepoteza dhidi ya Arsenal ungemuona tu akiwa amefura macho mekundu 'kwa kweli tulikuwa ovyo sana leo tumeruhusu magoli rahisi sana'.Lakini asingeweza kuongea hivyo huku akiwa anatabasamu wakati ametoka kufungwa na Arsenal.United mara nyingi huifunga Arsenal iwe Emirates au Old Trafford.

Ole Gunnar Solskjaer ana bahati kubwa kuifundisha United. Ni kijana wa Carrington.Ni United 'through and through na anapokaa kwenye bench washabiki wote wanajifeel wapo na mtu mwenye damu ya United Lakini ni muhimu awe halisi na asiwe kama muigizaji mbele ya vyombo vya habari.View attachment 1309982
Hata Rvp kazungumza hili la bwana Ole pamoja na timu kucheza vibaya + kufungwa anatabasamu tu cheka
Screenshot_20200102-140236.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana kwenye gemu the saints vs spurs
tapatalk_1577965481167.jpeg


Sent using my Audi A6 2017 model
 
Ole kocha hovyo James ndio arsenal walikuwa wanamlenga sana na msumbufu kwao, cha ajabu anatolewa unaacha Rashford wanaoburuza mpira hadi unapotea.

Sasa iwe hivi Rashford akizingua Greenwood anaingia James anahamia kushoto.

Nimekereka na Chance za mwanzoni hasa ile ya Lingard kubuluza mpira uliopigwa kimakosa na beki.
Yaani nimecheka sana...yaani wewe ndio unalazimisha wakutolewa na kuingia....nyumbu bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zilisaidia nini? Huna tofaut na mshabiki wa hii timu anafurahia kuifunga chelsea na man city kisha unafungwa na arsenal na watford

Lampard kachukua point 6 ndani ya top six solskjaer kachukua point 11 ndani ya top 6 liverpool kaambulia point kwa united rudi kwenye msimamo sasa

Sasa ligi inageuka arsenal kuchukua point 4 za united mei out of top 4 huzuni
Hili povu...mdau yeye ana furaha tu kuwa amukukunyuga jana basi.
Hayo mengine sidhani kama alikuwa anayahitaji sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom