angekuwa anasimama kuwahamasisha wachezaji,watu wanaoona hakuna umuhimu kusajili wa strikers ndio muone umuhimu wa kusajili, hii timu inatakiwa iendelee kusajili tuu, kuna wachezaji watatakiwa wafungashe virago wkt ukiwadia, masho anatakiwa ajue anaweza akakosa namba, pogba anatakiwa ajue, fred anatakiwa ajue, degea anatakiwa ajue, hakuna mchezaji muhimu kuliko timu, nashangaa degea anakuwa anttachble, Pogba hagushwi
Ona Rashford,anajitahidi but when you are 20 yard why are you kissing the keepers, why ain't you fuc.k kick? Ole is now trying to feel Rashford is untachable, i real don't give a shit.
Ni upumbavu, halafu wote tukae tuamini hivyo?? Never. Hata ole anatakiwa ajue anaweza akafukuzwa vile vile, yule mpuuzi anayejiita agent wa pogba pamoja na upuuz wake alisema kweli, wamarekani wanatanya biashara sio soka.
Nilichojifunza, the so called first eleven kwa utd ikicheza tu tunapoteza, wakichezeshwa mchanganyiko, yaani ondoa pogba, ondoa kabisa mashal benchi, weka James pembeni, weka perreira ndani japo anazunguka, i swear fred na MacTommary wanakosa sapoti. AWb anakosa sapoti na magwaya, lkn nawaona wamekuja kikazi, ukitoa watoto wa akademi hao wengine tupa kule. Tunashinda mechi. Ole anafeli kwenye kuwapa kichwa anadhani ni best players on the planet sio kabisa.
First eleven inaendelea kufanyiwa majaribio, wakicheza wakali wote wa utd why tunafeli??
Lack of commitment, seriousness 90 min why can't you fuc.k your opponent, ndio maana natamani kocha wa utd awe Roy Keane,he could hav kicked your ass kwenye changing room, Kean is good man, ole is very soft, he is doing ok on encouraging but he have to turn the other side, do then, fire Pogba, who are you afraid from?