Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
Tatizo la kwanza la Manchester ni kocha
pili, Martial
tatu, Lindelof
usiku mwema
pili, Martial
tatu, Lindelof
usiku mwema
Nimefuatilia mechi ,zote 18 tulizocheza nashawishika kusema safu yetu ya ulinzi bado ina mapungufu.
Naangalia naona mechi mbili tu hatujaruhusu goli mechi na chelsea pamoja na Everton.
Mwanzo wa msimu niliassess timu nikaona kwa defence yetu ungeweza kupata goalless draw nyingi lakini haijawa hivi tumekuwa tukifungwa easy goal sana why ?
Defence yetu inamapungufu ambayo hatuyaoni, defence yetu ikishambuliwa inayield kirahisi sana na magoli yote tunafungwa kupitia katikati.
Sent using Jamii Forums mobile app
