Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwani hakuwepo?
FB_IMG_1577082633962.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah.... Defensively overall tuna shida

Jinsi ninavyowaona Lindelof na Maquire wote ni mabeki aina ya sweaper..... Ni sawa uwe na Rio Ferdinand wawili, badala ya kuwa na Rio na Vidic

Bailly angeweza kuwa Vidic wetu, lakini sometime ni too reckless, lakini pia anapata majeraha sana. Rojo pia angeweza ku play hiyo role kukaba halafu Maguire awe mtu wa mwisho lakini ni injury prone

Best option availlable ya Vidic role ni Tuanzebe ambaye OGS hamwamini sana

Sioni shida sana kwenye full backs zetu kwa sasa, especially upande wa kulia
Hata Msimu uliopita huyu mwamba alifungwa magoli mengi sana.

Msimu huu pia anafungwa goli nyingi mpaka sasa GD 4 tu what a shame !!

Lakini pamoja na mapungufu ya golikipa mimi nafikiri hata defence yetu ina mapungufu yake ambayo yanakuwa exposed zaidi tunapocheza na timu tunazozidharau.

Hivi Lindelof na Maguire nani anapaswa kuwa last defender nawaona wakipanda wote wanaenda mazima, wakihamia upande mmoja wote wanaenda mazima why ?

Hivi mbona Fullbacks zetu hazifanyi kazi yoyote tunapocheza na timu ndogo zinatupa mipira hovyo hovyo bila kuwa plan yoyote?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi mama yako, dada yako au mchepuko/mke wako!

(Chagua unayeona anafaa).
Nenda Instagram au fesibuku ukatukanane na vitoto vyenzako matusi ya darasa la pili,humu ni sports na kuna jokes za kisports na zimeshazoeleka,stress zako za maisha haziwezi kuisha kwa kutukana mtu usiyemjua tena vimatusi vya darasa la pili.
 
Wakuu jana nilikereka hata kuingia humu nilishindwa, timu haina morali kama wana mgomo wa mshahara, wanapoteza mipira, jana kila mtu alikua chini ya kiwango kuanzia no1 mpaka 11
Timu yetu ina matatizo makubwa sana
Kuna video Skysport wameirusha inamuonyesha G.Nevile na Mou kwenye chumba cha uchambuzi baada ya ile boko la DeGea wakisikitika
Mtazamo wangu tuna kikundi cha wachezaji wasiofaham nin maana ya kichezea ManUtd
Pogba karudi, tuone labda atawapandisha morali wenzie, ila tuna hali mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Msimu uliopita huyu mwamba alifungwa magoli mengi sana.

Msimu huu pia anafungwa goli nyingi mpaka sasa GD 4 tu what a shame !!

Lakini pamoja na mapungufu ya golikipa mimi nafikiri hata defence yetu ina mapungufu yake ambayo yanakuwa exposed zaidi tunapocheza na timu tunazozidharau.

Hivi Lindelof na Maguire nani anapaswa kuwa last defender nawaona wakipanda wote wanaenda mazima, wakihamia upande mmoja wote wanaenda mazima why ?

Hivi mbona Fullbacks zetu hazifanyi kazi yoyote tunapocheza na timu ndogo zinatupa mipira hovyo hovyo bila kuwa plan yoyote?

Sent using Jamii Forums mobile app
Am sick tired of Wan Bissaka..hakuna la lamaa analolifanya zaidi ya tackling zake..hawezi hata kutoa pasi nzuri tukifika kwenye eneo la wapinzani,,..yaani hovyo hovyo

Najiuliza hivi ni kwamba ndo uwezo wake au timu mbovu ndo inamfanya acheze vile..na ni nani wa kuifanya timu iwe nzuri wakati na yeye yupo kwenye timu??..

Jana timu nzima imecheza hovyo..

Kimsingi backline yetu haiwezi kabisa kubuild up mashambulizi..tunacheza very slow,back passes, na side passes..

Kuna siku nilisema tactically na technically bado sijauelewa uwezo wa OGS,..ndugu yangu PTER ukasema OGS ni mkali kwenye hilo eneo maana big six wote tumefanya vizuri,,sasa jamani tunashindwaje hata kuwafunga Watford walioko mkiani??..Na hawajashinda tokea April kwenye uwanja wao wa nyumbani..ila jana wameshinda..disgusting
 
David James anamkosea nini ole hadi atolewe sub wakati ni threat sana unaacha mizigo lingard na Martial.
 
japokuwa hatufahamiani lakini si ajabu unaweza kukuta humu ndani kuna watu walishabikia mpira miaka mingi iliopita kuliko hata wewe unayeonyesha dharau kwa sababu ya michango yao.

Mc cane ni kweli betting imekuingiza kwenye mpira?
PTER na wewe umeshabikia mpira kwa sababu ya mikeka?

halafu binadamu hatufanani kiumri
Umenielewa vbaya mkuu sikumlenga mtu...uliowataja nawaheshimu sana humu ndani.
Ila nachopinga ni kuanza kubeza uwezo wa De gea...kama vile huwa anaboronga kila Siku....ni Mara ngapi tunapona kwa uwezo wake binafsi as kipa?
Nadhani mtu atakayeanza kusema De gea asipangwe sio shabiki anayeufahamu Mpira...ni mdandiaji tu.
 
Wachezaji wetu wanadharau mechi hivyo wanaenda uwanjani hawapo tayari kupambana.

Mbinu za mwalimu lazima ziwe complimented na quality ya wachezaji individually and collectively.

Wachezaji wetu final third wanakuwa too predictable kiasi kwamba wanashindwa cha kufanya wanapokuwa blocked.

Attacking midfield yetu inapwaya kwenye kuunlock defences za timu zinazojilinda kwa low blocks

Tunashindwa kutumia deadball kupata magoli kwa timu kama hizi unapaswa kupata magoli kwa njia nyingi.

Huwa najiuliza hivi Man united siku hizi hawafanyii mazoezi kona na indirect free kicks maana wanavyozicheza ni kama wachezaji wa dondo.

Kuhusu tactics mwalimu anajitahidi ila quality ya wachezaji kwenye maeneo mengi inamwangusha.

Kwenye mechi tunazopaswa kushambulia sioni sababu ya kumchezesha Wan Bissaka badala ya Dalot ambaye anauwezo mzuri wa kushambulia na kutengeneza nafasi.


Pendekezo Maguire aache kwenda kucheza kona hakuna anachokifanya zaidi ya kuwapoteza wenzake tu na kuharibu shambulizi
Am sick tired of Wan Bissaka..hakuna la lamaa analolifanya zaidi ya tackling zake..hawezi hata kutoa pasi nzuri tukifika kwenye eneo la wapinzani,,..yaani hovyo hovyo

Najiuliza hivi ni kwamba ndo uwezo wake au timu mbovu ndo inamfanya acheze vile..na ni nani wa kuifanya timu iwe nzuri wakati na yeye yupo kwenye timu??..

Jana timu nzima imecheza hovyo..

Kimsingi backline yetu haiwezi kabisa kubuild up mashambulizi..tunacheza very slow,back passes, na side passes..

Kuna siku nilisema tactically na technically bado sijauelewa uwezo wa OGS,..ndugu yangu PTER ukasema OGS ni mkali kwenye hilo eneo maana big six wote tumefanya vizuri,,sasa jamani tunashindwaje hata kuwafunga Watford walioko mkiani??..Na hawajashinda tokea April kwenye uwanja wao wa nyumbani..ila jana wameshinda..disgusting

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom