Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,570
- 10,506
G. Neville on RaiolaWeak argument, laiora is very stupid agent on Earth.
Sent using Jamii Forums mobile app
G. Neville on RaiolaWeak argument, laiora is very stupid agent on Earth.
Uwe unakumbuka pia saves zake. Anafanya mistakes sawa hatukatai, Je?, ametuokoa mara ngapi dhidi ya hizo mistakes?. Oliver Khan alifungwa goli na Ronaldo WC. Mistakes ni jambo la kawaida mzee kwenye mpira.Huyu Degea haijaanza kufuja leo mkuu, huwa ana mistakes nyingi sana ambazo kila wakati huwa zinatafutiwa justification asilaumiwe
Nakumbuka msimu uliopita alimpa goli Messi la kifala, kuna mechi na Chelsea akampa Alonso goli la kizwazwa, watu wa kawa wanamtetea kuwa haja settle kiakili kwa sababu ya mazungumzo mkataba.
Hapo sijaongelea enzi zile amekuja premier, alikuwa anapigwa kiboya sana.
Sasa bora ingekuwa tunamng'ang'ania hivyo kwa kuwa hatuna kipa mwingine, lakini ukweli tuna kipa namba 2 mzuri pengine kuliko yeye
Hii ni hofu ya OGS tu, kama anavyoogopa kum sub Martial anapozingua, kama anavyoogopa kumpa makavu Pogba anavyaharibu
Unfortunately OGS anaendelea kujifunza kwa gharama ya maumivu ya mashabiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeshasahau saves zake? Binadamu mnafurahisha......na amesave magoli mangapi ya wazi?
Ni matatizo ya watu walioanza kubet kabla ya kupenda mpira...betting imewaingiza kwenye mpira
kwa nini pakawepo mfumo wa sheria?Uwe unakumbuka pia saves zake. Anafanya mistakes sawa hatukatai, Je?, ametuokoa mara ngapi dhidi ya hizo mistakes?. Oliver Khan alifungwa goli na Ronaldo WC. Mistakes ni jambo la kawaida mzee kwenye mpira.
Sent using Jamii Forums mobile app
japokuwa hatufahamiani lakini si ajabu unaweza kukuta humu ndani kuna watu walishabikia mpira miaka mingi iliopita kuliko hata wewe unayeonyesha dharau kwa sababu ya michango yao.Ni matatizo ya watu walioanza kubet kabla ya kupenda mpira...betting imewaingiza kwenye mpira
tunamsubiri klopp atakapomaliza mkataba wakeNyie jamaa mna mpango gani na OGS?
Hivi kweli mnoana OGS atawafikisha kwenye chat?
Faneni maamuzi haraka, Pochettino yuko kitaa anasubiri kazi.
Nyumbu shangazi yako.Nyumbu zimechezea kichapo cha maana.
Uwe unakumbuka pia saves zake. Anafanya mistakes sawa hatukatai, Je?, ametuokoa mara ngapi dhidi ya hizo mistakes?. Oliver Khan alifungwa goli na Ronaldo WC. Mistakes ni jambo la kawaida mzee kwenye mpira.
Sent using Jamii Forums mobile app
tunamsubiri klopp atakapomaliza mkataba wake
Povu kama lote,ila mimi sina shangazi mkuu.Nyumbu shangazi yako.
Huyu Degea haijaanza kufuja leo mkuu, huwa ana mistakes nyingi sana ambazo kila wakati huwa zinatafutiwa justification asilaumiwe
Nakumbuka msimu uliopita alimpa goli Messi la kifala, kuna mechi na Chelsea akampa Alonso goli la kizwazwa, watu wa kawa wanamtetea kuwa haja settle kiakili kwa sababu ya mazungumzo mkataba.
Hapo sijaongelea enzi zile amekuja premier, alikuwa anapigwa kiboya sana.
Sasa bora ingekuwa tunamng'ang'ania hivyo kwa kuwa hatuna kipa mwingine, lakini ukweli tuna kipa namba 2 mzuri pengine kuliko yeye
Hii ni hofu ya OGS tu, kama anavyoogopa kum sub Martial anapozingua, kama anavyoogopa kumpa makavu Pogba anavyaharibu
Unfortunately OGS anaendelea kujifunza kwa gharama ya maumivu ya mashabiki
Sent using Jamii Forums mobile app
japokuwa hatufahamiani lakini si ajabu unaweza kukuta humu ndani kuna watu walishabikia mpira miaka mingi iliopita kuliko hata wewe unayeonyesha dharau kwa sababu ya michango yao.
Mc cane ni kweli betting imekuingiza kwenye mpira?
PTER na wewe umeshabikia mpira kwa sababu ya mikeka?
halafu binadamu hatufanani kiumri
kwa nini pakawepo mfumo wa sheria?
ingelikuwa mtu anafanya kosa then anaomba radhi kwa kukumbushia yale mema aliyoyatenda
ndani ya mwaka mmoja david degea ameshafanya makosa takribani mara 6
anapaswa awajibishwe japo kwa njia ya kukaripiwa na mashabiki uchwara kama sisi
Hehehee.... KepaKama shabiki wa Chelsea nasema Digea bado kipa mzuri sana. Msilogwe mkamwachia. Saves anazofanya ni nyingi sana kuliko mistake, na mistake ni chache sana. Mkimuuza tutakuwa wa kwanza kumnunua.
Sent using Jamii Forums mobile app
japokuwa hatufahamiani lakini si ajabu unaweza kukuta humu ndani kuna watu walishabikia mpira miaka mingi iliopita kuliko hata wewe unayeonyesha dharau kwa sababu ya michango yao.
Mc cane ni kweli betting imekuingiza kwenye mpira?
PTER na wewe umeshabikia mpira kwa sababu ya mikeka?
halafu binadamu hatufanani kiumri
Havikuumi mkuu lakini vina mahusiano na hizo points 3 utazozitaka
Mfano Degea akiondoka kwa kutaka mshahara unaolingana na wa Sanchez, je huoni kama tutakuwa tumepoteza lulu kiasi gani?
Unafahamu degea msimu huu ametupatia points 3 ngapi? Na bila hilo leo tungekuwa wapi kwenye ligi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kwa kuwa alifanya saves za maana kwenye mechi za mwaka juzi, basi tuendelee kuvumilia makosa ya kizembe yanayojirudia rudia
Halafu, hivi kwanini huwa kuna back up golie, au kwenye kila namba kuna back up?
Huyu huyu Degea, ameanza kutokuwa na uhakika wa namba pale Spain, wanapokezana na dogo wa Chelsea, yote ni sababu ya kiwango chake kushuka
Lindelof alipozingua tulitaka Tuanzebe apewe nafasi, Martial alipozingua tumetaka Greenwood apewe nafasi, Shaw anapozingua tunataka Williams apewe namba, Degea akizingua tukumbuke saves zake, asiwekwe benchi....... WHO IS HE, IS HE A god.
Kwani Pogba hakutusaidia huko nyuma? kwani Martial hakufunga magoli muhimu? kwani Shaw hakufanya blocks muhimu? Lakini Degea haguswi, what kind of thinking is this?
Sent using Jamii Forums mobile app