Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hapo kwenye mechi tunazoona tunaweza ku dominate, tumpange Dalot ndipo penyewe mkuu

Pia, kwenye mechi za aina hiyo hiyo, tumpange Greenwood badala ya Lingard maana ka Lingard kanajitahidi ku press tukiwa hatuna mpira, lakini tukiwa tunampira he is not that good

Kwahiyo kwenye mechi ambazo tunampira kwa % kubwa tuchezeshe pure attacking minded player kama Greenwood & Co.

Mambo kama haya OGS anapaswa kuyaona
Wachezaji wetu wanadharau mechi hivyo wanaenda uwanjani hawapo tayari kupambana.

Mbinu za mwalimu lazima ziwe complimented na quality ya wachezaji individually and collectively.

Wachezaji wetu final third wanakuwa too predictable kiasi kwamba wanashindwa cha kufanya wanapokuwa blocked.

Attacking midfield yetu inapwaya kwenye kuunlock defences za timu zinazojilinda kwa low blocks

Tunashindwa kutumia deadball kupata magoli kwa timu kama hizi unapaswa kupata magoli kwa njia nyingi.

Huwa najiuliza hivi Man united siku hizi hawafanyii mazoezi kona na indirect free kicks maana wanavyozicheza ni kama wachezaji wa dondo.

Kuhusu tactics mwalimu anajitahidi ila quality ya wachezaji kwenye maeneo mengi inamwangusha.

Kwenye mechi tunazopaswa kushambulia sioni sababu ya kumchezesha Wan Bissaka badala ya Dalot ambaye anauwezo mzuri wa kushambulia na kutengeneza nafasi.


Pendekezo Maguire aache kwenda kucheza kona hakuna anachokifanya zaidi ya kuwapoteza wenzake tu na kuharibu shambulizi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikri Ole ni muoga sana kutake risks au yawezekana yeye mazoezini anaona tofauti na Sisi ambao tunaangalia timu ikiwa inacheza tu.
Hapo kwenye mechi tunazoona tunaweza ku dominate, tumpange Dalot ndipo penyewe mkuu

Pia, kwenye mechi za aina hiyo hiyo, tumpange Greenwood badala ya Lingard maana ka Lingard kanajitahidi ku press tukiwa hatuna mpira, lakini tukiwa tunampira he is not that good

Kwahiyo kwenye mechi ambazo tunampira kwa % kubwa tuchezeshe pure attacking minded player kama Greenwood & Co.

Mambo kama haya OGS anapaswa kuyaona

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka wakati Messi anajulikana kwenye ulimwengu wa soka kuna watu walisema huyu jamaa mabeki wakimjulia atakuwa anaruka ruka, lakini sasa hivi karibu anastaafu bado hakuna aliyemjulia

Ninachotaka kusema, tackling is his quality.... You can't take that away from him

Nakubali hawezi ku win tackles zote anazofanya, but still ata win majority of them

Pia nakubali kufanya tackle kama zile ndani ya 18 yard ni immaturity, amejifunza, atarekebisha, bahati nzuri OGS mwenyewe ameliongelea hilo jana

Huwezi kumjulia CR7 kwenye kumdhibiti kupiga vichwa au mashuti yake, huwezi kumjulia Ibra Cadabra enzi zake kumdhibiti asipige magoli ya tiki taka.

Hazard alivyochezewa man to man na Harrera watu walidhani amejuliwa, lakini baada ya hiyo mechi ameendelea na ubora wake wa ku dribble na kuwapita mabeki kama wamesimama
Wan Bisaka "I like to tackle ….." Huyu mwamba mawinga wakimjulia watavuna penalties mpaka washangae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio anapaswa kutumia experience ya mazoezini na kwenye mechi ili afanye maamuzi sahihi

Anachofanya ni insanity, jambo hilo analirudia kwa kutegemea matokeo tofauti
Nafikri Ole ni muoga sana kutake risks au yawezekana yeye mazoezini anaona tofauti na Sisi ambao tunaangalia timu ikiwa inacheza tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachezaji wetu wanadharau mechi hivyo wanaenda uwanjani hawapo tayari kupambana.

Mbinu za mwalimu lazima ziwe complimented na quality ya wachezaji individually and collectively.

Wachezaji wetu final third wanakuwa too predictable kiasi kwamba wanashindwa cha kufanya wanapokuwa blocked.

Attacking midfield yetu inapwaya kwenye kuunlock defences za timu zinazojilinda kwa low blocks

Tunashindwa kutumia deadball kupata magoli kwa timu kama hizi unapaswa kupata magoli kwa njia nyingi.

Huwa najiuliza hivi Man united siku hizi hawafanyii mazoezi kona na indirect free kicks maana wanavyozicheza ni kama wachezaji wa dondo.

Kuhusu tactics mwalimu anajitahidi ila quality ya wachezaji kwenye maeneo mengi inamwangusha.

Kwenye mechi tunazopaswa kushambulia sioni sababu ya kumchezesha Wan Bissaka badala ya Dalot ambaye anauwezo mzuri wa kushambulia na kutengeneza nafasi.


Pendekezo Maguire aache kwenda kucheza kona hakuna anachokifanya zaidi ya kuwapoteza wenzake tu na kuharibu shambulizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Tutaacha lini kumtetea OLE.
Ndio anapaswa kutumia experience ya mazoezini na kwenye mechi ili afanye maamuzi sahihi

Anachofanya ni insanity, jambo hilo analirudia kwa kutegemea matokeo tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndiyo shida ya kuwa na kocha mchanga.
 
Harry Maguire

Ndio huyu huyu ambaye mwaka jana alisifiwa sana na ma pundits akiwa Leicester

Ndio huyu huyu ambaye Pep dirisha lililopita alimtaka sana lakini akashindwa kumpata sababu ya mpunga kupungua
Maguire mwili wake una uzito wa 100kg. Ndio beki mzito epl, Akiruka mwili wake unasomba watu, hata kwenye kujeuka haraka anashindwa kwa uzito wa mwili wake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ogs ameshindwa kutupa matokeo mazuri kwa kikosi hiki alichonacho.

ogs hawezi kufukuzwa kazi kwa sababu bado ana tiketi muhimu ya kombe la europa.

ogs hawezi kubeba ubingwa wa europe kwa kikosi hiki alichonacho, kuna sevilla, benfica, inter milan n.k

kwa mwendo huu ogs hawezi kupata nafasi ya nne kwa kikosi hiki alichonacho, baada ya kuwafunga man city tulitegemea ule ugonjwa wa kupoteza point dhidi ya timu ndogo utaondoka kwa sababu ya hamasa na ari iliojengeka ndani ya taasisi yetu baada ya ushindi.

ili ogs apate nafasi ya nne na europe ni lazima asajili wachezaji wawili hadi watatu.

ili kibarua cha Ogs kiendelee kuwepo ni lazima atupe ubingwa wa europe au nafasi ya nne.

dirisha la usajili linakaribia, kazi kwake bwana olee.

juzi amesema kurudi kwa pogba, tuanzebe, matic kutaongeza ubora wa kikosi, akimaanisha hakuna ulazima wa kwenda sokoni

david moyes alifukuzwa kazi baada ya timu kujihakikishia kukosa tiketi ya kucheza UEFA

jana AC milan amefungwa magoli matano.
mungu atunusuru na anguko lile
 
Ogs ameshindwa kutupa matokeo mazuri kwa kikosi hiki alichonacho.

ogs hawezi kufukuzwa kazi kwa sababu bado ana tiketi muhimu ya kombe la europa.

ogs hawezi kubeba ubingwa wa europe kwa kikosi hiki alichonacho, kuna sevilla, benfica, inter milan n.k

kwa mwendo huu ogs hawezi kupata nafasi ya nne kwa kikosi hiki alichonacho, baada ya kuwafunga man city tulitegemea ule ugonjwa wa kupoteza point dhidi ya timu ndogo utaondoka kwa sababu ya hamasa na ari iliojengeka ndani ya taasisi yetu baada ya ushindi.

ili ogs apate nafasi ya nne na europe ni lazima asajili wachezaji wawili hadi watatu.

ili kibarua cha Ogs kiendelee kuwepo ni lazima atupe ubingwa wa europe au nafasi ya nne.

dirisha la usajili linakaribia, kazi kwake bwana olee.

juzi amesema kurudi kwa pogba, tuanzebe, matic kutaongeza ubora wa kikosi, akimaanisha hakuna ulazima wa kwenda sokoni

david moyes alifukuzwa kazi baada ya timu kujihakikishia kukosa tiketi ya kucheza UEFA
Sorry mkuu, Hivi kuzifunga timu Kama crystal palace, Huddersfield, Cardif, Southampton, Newcastle,na hawa Watford. Inahitaji usajiri mpya??
Au zinahitajika mbinu mpya??(maybe kutoka kwa kocha mpya)
 
IMG_7097.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ole sio kocha bali mhamasishaji wa kuitafuta morali ya wachezaji. Tangu usajili wake alitutia mashaka kwa kuonekana kupendelea mazao ya academy au waingereza kuichezea united.

Pili,huoni mfumo au muunganiko wa utengenezaji mashambulizi zaidi ya asilimia kubwa kuwa magoli ya juhudi binafsi ya wachezaji (achilia mbali goli la Martial dhidi ya Cardiff mwaka jana),huoni la maana analofanya hapo.

Upangaji kikosi nao umekuwa wa mazoea zaidi,haiwezekani mechi dhidi ya city,Watford, westham kikosi ni kile kile,mbinu ni zile zile na mbaya zaidi mfumo pia haubadiliki.

Amekuwa na tabia ya kuogopa kuwafanyia mabadiliko wachezaji wenye majina makubwa kiasi mfano martial, rashford na pogba,au anakuwa hajui afanye nini.
Hadi sasa ana mwaka na zaidi lakini sioni jipya tunalolifanya chini ya huyu jamaa zaidi ya kupata ushindi usiotabirika tu. Wachezaji hawamuogopi kabisa,kiwango cha leo na kesho ni sawa sawa. Mbaya zaidi,makosa wanayoyaona watu wasio na taaluma kama yake,yeye bado anatudanganya kuwa mambo yako sawa. Mfano usajili wa kiungo na striker tangu majira ya joto,yeye anaongelea majeruhi wakirudi utakuwa sawa na usajili mpya. Hivi kweli tunategemea jipya toka kwa pogba na baily kuiimarisha united?
Atatufanya tustaafu mapema kuangalia mpira huyu jamaa,
 
Back
Top Bottom