Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tena tumemfunga nyumbani kwake
 
√Embu tuwe serious jamani,Fred ameimprove sana..na Workrate yake siyo mchezo..ukimweka na McSouce (The Mad Dog) basi ni burudani kabisa..kuna pasi kampa Rashford,ebhana eheee!! ilikuwa tamu sana

√AWB is a rock..najua wengi tupo concerned na mchango wake wakati wa kushambulia,lakini tukumbuke primary work ya defender ni kukaba na AWB anafanya hii kazi kwa level za juu sana..my MOTM IMO

√James,a kid from championship playing like a 27 mature guy..na niulize huyu dogo hachoki??..2nd half amerudi kumsaidia AWB na Sterling akamalizwa ujanja wake

√Rashford analeta matumaini

√ Kumuona Fergie akitabasamu ni kitu poa sana

√ Wale mashabiki uchwara wa city waliomrushia vitu Fred na kuonyesha ishara za kibaguzi inabidi wamenywe ipasavyo..washenzi kabisa..na tumewatia,shenzi zao

Next ni Everton,..wana interim coach wao kama chizi vile wakifunga..hopefully tutawabamiza pale OT

GGMU
 
Sasa mpira mzuri utakusaidia nini kwenye mechi kubwa kama ile unayohitaji kuondoka na points 3 muhimu. Mwisho wa dk 90 watu wanaangalia ubao unasomaje. Alaf mpira mzuri ndo huleta matokeo chanya, au tupe kwanza maana ya mpira mzuri tujue unamaanisha nini!!!
 
Ngoja niachane na wewe mkuu

Ndo maana sijakujibu jna... Nmeimark hii reply yako
 
Kusema ukweli ari ya upambanaji ipo juu mno kwa United kwa sasa....

Kutopoteza dhidi ya timu 6 za juu EPL sio kazi ya kitoto na kwa hili nampa heko sana Ole Sendeka maana anafanya kitu ambacho Unai ameshindwa fanya pale Arsenal...kuamsha marali ya upambanaji kwa wachezaji.

Ukiangalia kwa makini utaona timu nzima,wanapambana kwa kila hali kwa kazi chafu na safi....

Napenda DJ na Scott wanavyojiamini utasema ni 25's players kumbe bado sana.

Nilicheka sana lile buti alilopigwa Stearing na Perreira ndio maana halisi ya HAINA KUFELI....

Bigup
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…