Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Kumbe Bailly bado yupo Utd....nilishamsahau !!!Umejibu kisiasa ila poa, my opinion OGS apewe madirisha mawil zaid ya kusafisha/new signout timu itarud, falsafa yake ya kuwamini vijana inanikosha na ndio falsafa za utd, hata new signing alizofanya maguire, bissaka n james ni typical utd DNA
LVG n Mou walituulia timu, wamesajir wachezaj wengi kw pesa ndefu wasio msaada ktk timu eg Martial, Sanchez, Bailly, Lukaku, Micktaryan, Depay etc