Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Ila pia kina Maguire pale nyuma wanashindwa kusoma mchezo na kwenda nao fasta fasta.wamezubaa sana ..mfano Fred ni mtu na mwisho na ni mfupi,Dele mrefu..pale ingebidi mtu mmoja akave pale..na sio mara ya kwanza kufungwa goli la aina hiiHii team inafungwa magoli mepesi sana wachezaji awana nguvu ya ku pambana kabisa mechi nyepesi ila wachezaji poor itachukua ata miaka 10 kwa aina ya wachezaji awa kuirudisha Manchester United katika kuwa timu ya ushindani

