Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wadau huyu TEDEN MENGI siyo mtanzania kweli ?

Hii sura mbona kama ya kitanzania
Teden_Mengi-2a-21563188848965_thumb.jpeg
 
Pengine ni kukosa concentration kwenye mechi yote (90 minutes)

Pengine ni kukosa pumzi, kukosa fitness ya kutosha kwa wachezaji na kuchoka mwishoni

Pengine ni utoto (wachezaji kukosa uzoefu) kwa kudhani mechi imeisha, hapa nakumbuka zaidi mechi yenu na ya Arsenal

Pengine ni kumtathimini kocha kukosa mbinu za kumaliza game (sidhani kama Jose anaweza kupoteza uongozi wa mechi mara nyingi kiasi hicho)

Hii ni mifano tu

Okay, kwa kuangalia matokeo ya halftime unaweza vipi kujua unapokwama?
 
Pengine ni kukosa concentration kwenye mechi yote (90 minutes)

Pengine ni kukosa pumzi, kukosa fitness ya kutosha kwa wachezaji na kuchoka mwishoni

Pengine ni utoto (wachezaji kukosa uzoefu) kwa kudhani mechi imeisha, hapa nakumbuka zaidi mechi yenu na ya Arsenal

Pengine ni kumtathimini kocha kukosa mbinu za kumaliza game (sidhani kama Jose anaweza kupoteza uongozi wa mechi mara nyingi kiasi hicho)

Hii ni mifano tu

Good analysis.

Thank you.
 
Pengine ni kukosa concentration kwenye mechi yote (90 minutes)

Pengine ni kukosa pumzi, kukosa fitness ya kutosha kwa wachezaji na kuchoka mwishoni

Pengine ni utoto (wachezaji kukosa uzoefu) kwa kudhani mechi imeisha, hapa nakumbuka zaidi mechi yenu na ya Arsenal

Pengine ni kumtathimini kocha kukosa mbinu za kumaliza game (sidhani kama Jose anaweza kupoteza uongozi wa mechi mara nyingi kiasi hicho)

Hii ni mifano tu
hapo juzi kati tu aliwapeleka Dubai eti kujenga match fitness ebu ole awe serious
 
Leo mo anakuja kuwagalagaza hapo hapo OT, red devil

Kashasema hana undugu na mashetan wekundu
 
Back
Top Bottom