Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hata kama wataweka pazia. Rekord yenu ya kushinda match moja ya epl per month inaendelea. So mwezi huu mmeshafunga hesabu kwenye hiyo match iliyopita ambayo mlishinda. So hiyo game ya shelffield ni sare au kipigo kwenu.

I stand to be corrected. Halafu kama umeangalia hata game moja tu ya sheffield utakuwa umejua ni timu ya aina gani?


Comment yako nimesave
 
Hata kama wataweka pazia. Rekord yenu ya kushinda match moja ya epl per month inaendelea. So mwezi huu mmeshafunga hesabu kwenye hiyo match iliyopita ambayo mlishinda. So hiyo game ya shelffield ni sare au kipigo kwenu.

I stand to be corrected. Halafu kama umeangalia hata game moja tu ya sheffield utakuwa umejua ni timu ya aina gani?


Comment yako nimesave

Ila nimesikitika kujua dogo Scot kaumia jamaa mpambanaji, anyway kirusi atakuwepo.
 
Martial ni mchezaji mzuri sana, hasa akiwa ana viungo wa maana. Lakini ukweli unabaki kuwa hana spirit ya Daniel James, Rashford au Tominay. Laiti angekuwa na "x factor" kama OGS anavyoiita, huyu dogo ana potential ya kuwa next CR7

Rashy ame prove kwamba he is not number 9, japo ana uwezo wa kufunga. Anafaa zaidi kucheza kutokea kushoto katika mfumo wa 4-3-3. Pia anapaswa kupunguza ubinafsi

Pereira ni moja kati ya hardest working players wa Man Utd kwa sasa. Lakini kiwango chake kinatia mashaka kwani hana consistence. Apewe muda, atazamwe msimu huu. Akiendelea kucheza hivi hivi OGS asimuonee aibu. Auzwe hata Everton.

Brandon Williams ni kijana ambaye hata Jose alikuwa amemuweka kwenye mipango yake. Jose amewahi kusema kwamba some academy players are very good but very young. Future number 3, should also be our curent left back.
Good analysis, January Sosha alete James Maddson wa Leicester, huyu bwana mdogo alishawai hojiwa kasema yeye ni die hard utd fan, huyu sprit yake ni aina ya kina D.James, Scot, Maguire
 
Nafasi ya 3 na ya 4 bado zipo wazi

Tukisajili watu 2 wa maana January angalau creative midfielder (au defensive midfielder halafu Pogba acheze mbele zaidi na asiumie umie) na striker , na OGS akitulia kwenye timu selection tutatoboa
Tutamaliza hata top 6 kweli?
Sijui!
 
Back
Top Bottom