Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Hata kama ball possession kwa liverpool hakukuwa kipaumbele sana.
Walihitaji makosa matatu ya man city kuwaadhibu.
Ball possession siyo tactical control of the game Liverpool walikuwa wanatumia second balls Kuwaadhibu man city.
Hata kama wangefungwa mapema still wangemfunga man city
Walihitaji makosa matatu ya man city kuwaadhibu.
Ball possession siyo tactical control of the game Liverpool walikuwa wanatumia second balls Kuwaadhibu man city.
Hata kama wangefungwa mapema still wangemfunga man city
jiulize swali moja tu ile penati ya mapema tu wangefunga city liva ingekua na hali gani uwanjani....je wangeweza rudisha na kushinda ile mechi??? kumbuka goli la mapema walilofungwa city ndio liliwatoa mchezoni mazima wanakuja kurudi mchezoni zimebaki dakika 20 tu mpira kuisha.....ilifika muda ball possess ilisoma liva 20 na huku city 70 na


