Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sawa ,

Hoja ya jamaa kuwa timu ikiboronga munajificha,ikifanya poa munachomoka kama kama nge wa Nachingwea mvua inaponyesha
Nimemuelewa lakini ndio maana mimi mwenyewe nimemwambia , huu uzi humu ndani me nipo toka kitambo either timu iwe ime win au haija win, mfano kuna kipindi nilileta hadi maoni ya wachezaji ikiwemo hadi De gea wakati timu imepoteana kabisa kila game hatupati hata goal moja,
Mfano huyu jamaa hata mimi ndio namuona leo kwenye hii thread so nikitumia hicho kigezo kua haonekani wakati wa matokeo mabaya nakua nakosea, humu tunapishana kutokana na majukumu muda ambao mtu mwingine anachangia mwingine anakua offline

Na vitu kama hivyo, so msihukumu watu direct kua wanaonekana wakati wa matokeo mazuri tu hapana mnakua mnawakosea
 
Martial ni mchezaji mzuri sana, hasa akiwa ana viungo wa maana. Lakini ukweli unabaki kuwa hana spirit ya Daniel James, Rashford au Tominay. Laiti angekuwa na "x factor" kama OGS anavyoiita, huyu dogo ana potential ya kuwa next CR7

Rashy ame prove kwamba he is not number 9, japo ana uwezo wa kufunga. Anafaa zaidi kucheza kutokea kushoto katika mfumo wa 4-3-3. Pia anapaswa kupunguza ubinafsi

Pereira ni moja kati ya hardest working players wa Man Utd kwa sasa. Lakini kiwango chake kinatia mashaka kwani hana consistence. Apewe muda, atazamwe msimu huu. Akiendelea kucheza hivi hivi OGS asimuonee aibu. Auzwe hata Everton.

Brandon Williams ni kijana ambaye hata Jose alikuwa amemuweka kwenye mipango yake. Jose amewahi kusema kwamba some academy players are very good but very young. Future number 3, should also be our curent left back.
 
Taarifa za awali kuhusu injury kwa Tominay

Anaweza kuwa nje ya Uwanja kwa week 4, vipimo zaidi vitafanyika within 72hrs kupata majibu ya mwisho

Mechi anazoweza kukosa ni pamoja na Shefield United, Astana, Tottenham, Aston Villa na Man City itakayopigwa December 7

Mambo yakiwa hivyo itakuwa ni pigo kubwa kwa United
 
Taarifa za awali kuhusu injury kwa Tominay

Anaweza kuwa nje ya Uwanja kwa week 4, vipimo zaidi vitafanyika within 72hrs kupata majibu ya mwisho

Mechi anazoweza kukosa ni pamoja na Shefield United, Astana, Tottenham, Aston Villa na Man City itakayopigwa December 7

Mambo yakiwa hivyo itakuwa ni pigo kubwa kwa United
Chemistry ya Fred na McSouce(Tominay) ndo ishaingia tena dosari..
 
Martial ni mchezaji mzuri sana, hasa akiwa ana viungo wa maana. Lakini ukweli unabaki kuwa hana spirit ya Daniel James, Rashford au Tominay. Laiti angekuwa na "x factor" kama OGS anavyoiita, huyu dogo ana potential ya kuwa next CR7

Rashy ame prove kwamba he is not number 9, japo ana uwezo wa kufunga. Anafaa zaidi kucheza kutokea kushoto katika mfumo wa 4-3-3. Pia anapaswa kupunguza ubinafsi

Pereira ni moja kati ya hardest working players wa Man Utd kwa sasa. Lakini kiwango chake kinatia mashaka kwani hana consistence. Apewe muda, atazamwe msimu huu. Akiendelea kucheza hivi hivi OGS asimuonee aibu. Auzwe hata Everton.

Brandon Williams ni kijana ambaye hata Jose alikuwa amemuweka kwenye mipango yake. Jose amewahi kusema kwamba some academy players are very good but very young. Future number 3, should also be our curent left back.
Perreira anacheza mpira kama mswahili anavyokuwa anacheza ndondo..sioni chochote from him..anafika maeneo mazuri ambapo inabidi atoe pasi ya mwisho,yeye hatoi au anatoa vibaya..

Na second half huwa anapotea,sijui anachoka au vipi??..na ndo maana OGS anamfanyia sub kila mechi

Just imagine ametoa assist moja na kufunga goli moja so far this season na no 10..Badobado sana
 
Perreira anacheza mpira kama mswahili anavyokuwa anacheza ndondo..sioni chochote from him..anafika maeneo mazuri ambapo inabidi atoe pasi ya mwisho,yeye hatoi au anatoa vibaya..

Na second half huwa anapotea,sijui anachoka au vipi??..na ndo maana OGS anamfanyia sub kila mechi

Just imagine ametoa assist moja na kufunga goli moja so far this season na no 10..Badobado sana
Broo kile nikipaji ukijaribu kuzungumzi vipaji man u na yule huwezi kumuacha yupo vizuri saana ndomana hata Ferguson hatakagi wamuuze we mfwatilie vizuri ule mguu wake ni wadhahabu ajakomaa vizuri tu
 
Hata hivyo jamaa anakuonea tu maana timu yenyewe bado ipo juu ya mawe
Nimemuelewa lakini ndio maana mimi mwenyewe nimemwambia , huu uzi humu ndani me nipo toka kitambo either timu iwe ime win au haija win, mfano kuna kipindi nilileta hadi maoni ya wachezaji ikiwemo hadi De gea wakati timu imepoteana kabisa kila game hatupati hata goal moja,
Mfano huyu jamaa hata mimi ndio namuona leo kwenye hii thread so nikitumia hicho kigezo kua haonekani wakati wa matokeo mabaya nakua nakosea, humu tunapishana kutokana na majukumu muda ambao mtu mwingine anachangia mwingine anakua offline

Na vitu kama hivyo, so msihukumu watu direct kua wanaonekana wakati wa matokeo mazuri tu hapana mnakua mnawakosea
 
Broo kile nikipaji ukijaribu kuzungumzi vipaji man u na yule huwezi kumuacha yupo vizuri saana ndomana hata Ferguson hatakagi wamuuze we mfwatilie vizuri ule mguu wake ni wadhahabu ajakomaa vizuri tu
Huwezi kuwa serious..

Mguu ukomae kivipi??

Kaenda Spain huko kacheza Laliga,mguu unataka ukomae kivipi??..Yule sio mtoto,he is 23 years old

Tom cleverley,Januzaj=Walikuwa ni vijana wetu ila walikuwa sio bora kwa level zetu na ndo maana wameishia kwenda kwenye timu za level zao..the same thing must happen to Perreira
 
Back
Top Bottom