Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Waache usenge
Juventus wanaweza kuwatoa wachezaji wake wanne kwenda Manchester United akiwemo mshambuliaji wa Croatia, Mario Mandzukic, 33, kiungo wa Ujerumani Emre Can, 25, beki wa Italia, Dani Rugani, 25, na kiungo wa Ufaransa, Blaise Matuidi, 32, kubadilishana na kiungo wa Manchester United na Ufaransa Paul Pogba, 26. (Tuttosport, kupitia Sunday Express)
 
Hongereni kwa Ushindi jana Klopp alimzidi Guardiola kwa kila kitu uwanjani.

Nilipoona Guardiola kaja kwa 4 3 3 na beki zake vilema nikajua game ilishaisha 3 point tatu kwa Liverpool.
Hahahahahahahahah Beki vilema
 
Mkuu hizo ligi za wanawake , Kuna mtu alikuwa anaitwa Clasjan Hunterer (Siko sahihi kwenye kuandika jina lake)... Aliwahi kufunga magoli 30+ kuelekea arobain kwenye ligi kuu ya uholanzi kwa msimu mmoja ....


Madrid walimsajili kwa mbwembwe akaishia kuwa flop ... so acha kumlinganisha Rashford na hao watoto wadogo.
Bro yule dg anapiga kweli kunagame nimewahi mcheck kwenye timu yake ya taifa alifunga goli 9 peke yake
 
Natest mitambo
Screenshot_20191111-211809.jpeg
 
NAONA HII TABIA YA "KIJINGA" YA HAWA MAKOCHA INAENDELEA, MARTIAL TENA KWENYE "CENTRAL STRIKER" MECHI YA LIGI ILIYOPITA ALIKUWA HAPO NA HAKUPIGA SHUTI HATA MOJA. TUNAPOFIKIA KUWATIMUA HAWA MAKOCHA KUNA WATU WANATETEA...LEO SIKU IMEHARIBIKA TENA, MARTIAL NI LEVEL ZA SOUTAMPTON ANAKAAJE PALE KATI?View attachment 1259591
Hiv unawezaji kulaumu striker kwa timu isiyokuwa na kiungo wa uhakika wa kutengeneza nafasi? Shukur Mungu martial walau ansaidia timu wakina di maria na umwamba wao wamekimbia hapo
 
Hiv unawezaji kulaumu striker kwa timu isiyokuwa na kiungo wa uhakika wa kutengeneza nafasi? Shukur Mungu martial walau ansaidia timu wakina di maria na umwamba wao wamekimbia hapo
January Ole avunje account amlete James Madsson wa Leicester city asaidie kiungo yetu
 
Back
Top Bottom