Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,927
- 27,167
Wenzako wanaongoza ligi. Endelea kujifananishawazee tutulie japo inauma lkn ndo mpira.
akina messi wenyewe wamekula chuma tatu.
Wenzako wanaongoza ligi. Endelea kujifananishawazee tutulie japo inauma lkn ndo mpira.
akina messi wenyewe wamekula chuma tatu.
Naomba na mm nikazie hapaARV Mkuu kukumbusha sio dhambi naomba nikukumbushe tu Leo haujatuletea msimamo wa Ligi kama ilivyo kawaida yako.

Kweli mkuu, Bissaka si mbaya kwenye kukaba, ila hana mentality ya kupandisha timu, kupressurize opponents, kutoa assists wala crosses. Yani yeye alipo ndo alipo. Haoni wenzake kina Robertson na TAA wanavyoibeba Liverpool, wanapandisha na kutoa maasists na majalo ya kumwaga. Rojo naye walewale tu. Nguvu nyiiiingiOle ni Oldfashioned manager anapenda defenders wanaoweza kukaba tu inasikitisha sana Man united ilishindwa kumsajili Trieppier au Thomas Munier wakaamua kutupa pesa kwa huyu AWILO LONGOMBA.
Hana msaada timu inapokuwa na mpira na anapokaba lazima autoe nje au abutue tu.
Last week nilitaka kuandika humu kuwa kwa Wana Bissaka Crystal Palace walituibia.
Chelsea BYani unatoka kumfunga Chelsea then unakuja kufungwa na hii team kweli?Yani malengo ya hii team ni kuchukua Epl kweli?
Mourinho alionewa tu bila sababuNi zipi sababu za msingi za kumuondoa MOURINHO ?
Kwa kinacho endelea pale TRAFFORD ni sawa na kusema nyani ni wale wale ila msitu umebadilishwa jina tu.
Meanwhile on SERIE A, BIG ROM amefunga magoli tisa ndani ya mechi kumi na moja![]()
HahahahahCHIEF MKWAWA
radika
Mc cane
PTER
Kama kuna watu mliokaribu na hawa jamaa naomba sana mtoe vitu vyenye ncha kali karibu yao muda sio mrefu tutawapoteza watajitundika siku sio nyingi.
CHIEF MKWAWA
radika
Mc cane
PTER
Kama kuna watu mliokaribu na hawa jamaa naomba sana mtoe vitu vyenye ncha kali karibu yao muda sio mrefu tutawapoteza watajitundika siku sio nyingi.
Kwa hyo wewe ulimwita mwanaume aje akukamulie kwako siyo? Daaa ama kweli unapenda vibaya na ni mgawaji mzuri sana.Juzi umekuja geto kwangu umenipiga mzinga na mzigo ujanipa ...umeenda mpa bwana mdogo Bornamouth ..uliona ukinipa mimi nitafaidi sana? ?
Anabahatisha. Ni kama Mwinyi Zahera tu hapa bongoOle ni either mzito sana kufanya maamuzi sahihi au hajui anachofanya. Anaishia kubahatisha.
Ha ha ha AwiloOle ni Oldfashioned manager anapenda defenders wanaoweza kukaba tu inasikitisha sana Man united ilishindwa kumsajili Trieppier au Thomas Munier wakaamua kutupa pesa kwa huyu AWILO LONGOMBA.
Hana msaada timu inapokuwa na mpira na anapokaba lazima autoe nje au abutue tu.
Last week nilitaka kuandika humu kuwa kwa Wana Bissaka Crystal Palace walituibia.