SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,444
Nyie mlonayo mpo 13thHamna beki pale
Nyie mlonayo mpo 13thHamna beki pale
Niliandika kabla ya mechi mkuu
Man united were tactically better than liverpool
Liverpool were physically better than man united.
Ole managed to contain the game but failed to win
Man United attacks were lethal than Liverpool attacks
Man United controlled the game 75 minutes liverpool managed to control the game 25 minutes.
The baby faced assassin did a wonderful homework .
...Of course, kwanza anabebwa na timu yake kwa kufunga magoli mengi (hivyo hawapotezi mechi, hivyo watu wanasahau kuongelea ubovu wa beki)
Pili set up ya team ndio inambeba, angalia timu ya Uholanzi inavyoruhusu magoli mengi, yeye akiwa sehemu ya defense hiyo hiyo
Sitamwita ni Dutch's Phil Jones, lakini sio bora kiivyo
Yule Hwan wa Salzburg ndio alimvua nguo kabisa
Tofautisha ball possession na game control.View attachment 1239687
Mimi mbna sijaelewa unachoongea mkuu , hasa Ile kusema man u ilikuwa lethal to attack kvip, shot on goal mbili, majamaa ni nne, ball possession wapo juu Ila umedai man u more than 75 minutes ana control game, tuelewshane
Unapekenyuliwa wewe, wasiwe wazur siku moja, man ungekuwa na straiker wa kweli ungeshangaa mwenyewe. Kipindi Cha pili liver walikuja na crossing kwa wingi lkn hazikuzaa matunda, pia tatizo la beki wa kushoto, huyu muajentina wetu anashangaadhangaa tu anasimama, beki hasimami, lkn lojo anashangaa tu uwanjaniRefa kawabeba.... Liverpool nao sio wazuri kivile.
Ndio nilimuonea vzr Hana kitu, hamfijii hata vidic ni Kama Ferdinand tu, Ana mwili na tall. Vi skills kidogo ndio vinambeba
Roho anatabia ya kusimama usijue hata goli limexhangiwa na uzembe wa bekiBwana Rashid leo alikuwa katika siku zake.....
Nimependa ile jihad aiseeh kamlambisha mchanga kaka mkubwa ....
Ila james yule mtoto wangemuua wale viranja wawili kule nyuma walitaka wamfanyie uhuni maana mpaka dogo akaogopa....
Rojo katili sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nashangaa sijui kwanini hapewagi nafasi........
Hongereni wazee kikweli mulipambana na mlistahili mlichokipata...si haba
Morinho aliwahi kusema, ukiwa na wachezaji sahihi, the best way to defend, is to attack!Upande wangu sio kuzuia ushindi ni kufunga magoli
Kama unafunga goli 2+ unashindwaje kushinda mech?
Msimu wa kwanza wa jose alikuwa akifunga ki goli kimoja anarud kuzuia watu wanachomoa dakika ya 88 mech inaisha kati
Dawa ni kutafuta wachezaj wa 3 wa mbele wa maana
Leo liverpool kapata goli moja mech ijayao mtu atakula 3 lakin sisi huenda tukaenda 0-0
Liverpool alicheza na Redbull sulzbug angalia goli zilivyofungwa
Narudia suluhisho ni ushambuliaji tu
Hamna beki pale
Pengine nilifikir alitakiwa kumuongeza martial wawe na rashford sasa kaharibu mech kocha bado huyu unazuia wakat nyuma una young
Njoo na kitu kipya na wewe hii ishapwayaGOOOOOOOOOOOAL
DK 320' MENINA
MAN U 2 - LIVER 1.
Pale tulipoanza kulinda ndipo liverpool wakarudi kwenye ubora waoMkuu kwa timu gani uliyonayo, uongeze Martial asaidiane na Rashford
Hatuna timu nzuri kiivyo, kwahiyo wakati tunaongoza goli 1 kwa mtazamo wangu, the best way kulinda ushindi ilikuwa kulinda zaidi
Pale tulipoanza kulinda ndipo liverpool wakarudi kwenye ubora wao
Msimu aliochukua city ubingwa liverpool alimzidi manchester united point ngapi?Ndio mlichobakiza hicho,uwanjanikufunga goli 2 mechi moja hamuwezi.
Kwenye msimamo mnashika nafasi ya ngapi vile? Utofauti wa point Liverpool na man u ni point 15 mpaka sasa,nawakumbusha tu .



Kweli nayo ni point kwamba tungeongeza kiungo baada ya liverpool kuimarisha kiungo chao?Walitawala kati, na ndio maana naona angeingia Jones kuongeza ujazo kati tungemaliza game washindi
Martial ni mzuri timu ikiwa ina attack, na tulipunguza ku attack, bora hata angemuacha Rashford, sababu pia anajituma kwenye kukaba
Jibu umelipata sasaOrigi na uyo Rashid Si afadhali Origi..!!
Kuna mahali sisi mashabiki huwa tunapwaya sanaTukiacha ushabiki , Maguire kamzidi nini Matip msimu huu?View attachment 1233261View attachment 1233262View attachment 1233263