Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Basically Tunahitaji changes sana kwenye Mentality na game passion ya wachezaji wetu haya yanayotokea ni marudio ya game ya Asno timu iko mbele lakini inashindwa kuzuia ushindi ndani ya dakika 5
 
Fred ni tatizo ni shida kubwaaaaaa...hakuna sub pumbaf sana.
Jose mourinho juzi kasema alilazimika kumsajili fred baada ya kushindwana na ed kuhusu kupata kiungo wa kusaidiana na pogba alikuwa anatoka kapa akaona bora amchukue tu kwa kuwa ilikuwa rahisi kumpata ila hakuwa chaguo lake na ndio maana alikuwa akimuweka bench had hapo itokee shida ya viungo kuna muda alimchezesha scott na kumuacha fred makocha wana siri kubwa sana

Achana na hayo tunywe bia mpira kitu gani
 
VVD akilamba mchanga
officialmwalubadu___B32TLGwpYOD___.jpeg
 
√Perreira ana energy lakini anakosa akili na anachoka mapema..

√James kagumu sana haka kadogo

√All in all Liver ni wachumba tu wakija OT..nilijua tu tutaondoka na point na ubovu wetu
Nilijua tu hawa jamaa watatoa boko na Ole atabaki.
 
Basically Tunahitaji changes sana kwenye Mentality na game passion ya wachezaji wetu haya yanayotokea ni marudio ya game ya Asno timu iko mbele lakini inashindwa kuzuia ushindi ndani ya dakika 5
Upande wangu sio kuzuia ushindi ni kufunga magoli

Kama unafunga goli 2+ unashindwaje kushinda mech?

Msimu wa kwanza wa jose alikuwa akifunga ki goli kimoja anarud kuzuia watu wanachomoa dakika ya 88 mech inaisha kati

Dawa ni kutafuta wachezaj wa 3 wa mbele wa maana


Leo liverpool kapata goli moja mech ijayao mtu atakula 3 lakin sisi huenda tukaenda 0-0


Liverpool alicheza na Redbull sulzbug angalia goli zilivyofungwa


Narudia suluhisho ni ushambuliaji tu
 
Upande wangu sio kuzuia ushindi ni kufunga magoli

Kama unafunga goli 2+ unashindwaje kushinda mech?

Msimu wa kwanza wa jose alikuwa akifunga ki goli kimoja anarud kuzuia watu wanachomoa dakika ya 88 mech inaisha kati

Dawa ni kutafuta wachezaj wa 3 wa mbele wa maana


Leo liverpool kapata goli moja mech ijayao mtu atakula 3 lakin sisi huenda tukaenda 0-0


Liverpool alicheza na Redbull sulzbug angalia goli zilivyofungwa


Narudia suluhisho ni ushambuliaji tu
Sure,,hauwezi ukategemea ufunge kagoli kamoja then uanze kukalinda..huu ni upumbavu

Ni lazima uwe na watu wakukupa goli za kutosha na
 
Upande wangu sio kuzuia ushindi ni kufunga magoli

Kama unafunga goli 2+ unashindwaje kushinda mech?

Msimu wa kwanza wa jose alikuwa akifunga ki goli kimoja anarud kuzuia watu wanachomoa dakika ya 88 mech inaisha kati

Dawa ni kutafuta wachezaj wa 3 wa mbele wa maana


Leo liverpool kapata goli moja mech ijayao mtu atakula 3 lakin sisi huenda tukaenda 0-0


Liverpool alicheza na Redbull sulzbug angalia goli zilivyofungwa

Mkuu anakosekana kiungo mshambuliaji, jamii ya Bruno

Narudia suluhisho ni ushambuliaji tu
Mkuu
 
Tunashukuru hata tumepata droo tofauti na matarajio yetu wengi humu jukwaani.
Tungekuwa tunacheza kazi hivi kwa game zetu zilizopita hata tukifungwa unaona kuna kitu kitakuja mbele ya safari.

Nimependa sehemu ya kiungo chetu kilivyocheza bila ya uwepo wa bwana pogba,kimekuwa kigumu,tunakaba na kushambulia kwa pamoja. Ningependa pia game ijayo wapangwe hawa mids tuone kama plan itafanya kazi au ni suala la derby tu.
GGMU
 
Back
Top Bottom