Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 944
- 1,142
https://youtu.be/O5l6O5l6i-yhMEQ
Hii timu haichuji kila nikitaka kuangalia nafungua naandika nne yangu
Hii timu haichuji kila nikitaka kuangalia nafungua naandika nne yangu
Mkuu shida yetu ni ileile tactically kocha anatuangusha sana... Jana sub ya martial ilikuwa sio muhimu ukizingatia tungeweza kuongeza beki mmoja acheze kama beki au midfielder......kocha anafeli katika maamuzi madogo madogo kama hayaMaoni yako yanahitajika mkuu; Ole jana alikosea wapi akashindwa kumuua Liverpool
Mna timu mbovu hadi kituko
Hapa ni mwendo wa kupigania top Six tu mkuu
Mkuu shida yetu ni ileile tactically kocha anatuangusha sana... Jana sub ya martial ilikuwa sio muhimu ukizingatia tungeweza kuongeza beki mmoja acheze kama beki au midfielder......kocha anafeli katika maamuzi madogo madogo kama haya
Mkuu shida yetu ni ileile tactically kocha anatuangusha sana... Jana sub ya martial ilikuwa sio muhimu ukizingatia tungeweza kuongeza beki mmoja acheze kama beki au midfielder......kocha anafeli katika maamuzi madogo madogo kama haya
oya bab leo vp upo kimya watoto wamefanya kazi yao...na we timu huna basi tu una2pigiaga keleleMm niumie tena , yote kheri
Mimi nangojea mech yangu kesho ,nipae had nafas ya 3
Nimuomba msimamo huyo jamaa maana amekuja kutusumbua jukwaa letu wakati mnaongoza 1-0
Aaron arsenal leo haingii humu kutusumbuaArsenane kaliwa kimoja
Mpira umeisha..Aaron arsenal leo haingii humu kutusumbua
Mpira wao umeisha?Arsenane kaliwa kimoja
Nini kinasababisha asicheze pointless kabisa yaani daaaRashid anapata game time ya kutosha. Anafunga goli moja kwa mwezi. Origi anacheza game moja kwa mwezi ...
Timu ni mbovu zaidi ya ArsenalKituko kwa nani
ni kweli mkuu sijajua bench la ufundi huwa linamshauri nini oleMimi nadhani Fred alikuwa amechoka hivyo alitakiwa kutoka na kuingia Matic then tunabadili formation ya kucheza badala ya kuchez 3 4 21 tungecheza 3 5 2
Mimi nadhani Fred alikuwa amechoka hivyo alitakiwa kutoka na kuingia Matic then tunabadili formation ya kucheza badala ya kuchez 3 4 21 tungecheza 3 5 2
Ila naona OGS ameanza kupata akili, angeendelea kukomaa na ile 4-2-3-1 aone vile liverpool wangetunyorosha. Kama atafikiria zaidi basi hata mchezo ujao aendelee kubadili mfumo. |
Naona mmerudi kwa kasi ya 4G baada ya draw na Liverpool
Mkuu,sisi ni wapenzi wa hii timu tofauti na nyie ambao mpo kwenye hizo timu zenu kwasababu mna chuki na MUFC. Tupo hapa kila siku hata tukifungwa.😂 |
Liverpool mwenyewe alikuwa anaitaka drooNaona mmerudi kwa kasi ya 4G baada ya draw na Liverpool
Manchester United niliyoiona juzi ni mbovu kwelikweli kuliko niliyoiona msimu uliopitaLiverpool mwenyewe alikuwa anaitaka droo
Hata mech ya liverpool ulimwengu ulitabir cha ajabu mashabik wa liverpool wakaanza kuomba kila mmoja kwa lugha yake shetan kakaba mtu koo muda wote klopp anasemelea kwa waamuzi huku VVD analamba mchangaManchester United niliyoiona juzi ni mbovu kwelikweli kuliko niliyoiona msimu uliopita
Namuona Guardiola akiwapiga 4+ mwenye uwezo aje kufukua hii comment jamani siku ikifika