Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Maoni yako yanahitajika mkuu; Ole jana alikosea wapi akashindwa kumuua Liverpool
Mkuu shida yetu ni ileile tactically kocha anatuangusha sana... Jana sub ya martial ilikuwa sio muhimu ukizingatia tungeweza kuongeza beki mmoja acheze kama beki au midfielder......kocha anafeli katika maamuzi madogo madogo kama haya
 
Mimi nadhani Fred alikuwa amechoka hivyo alitakiwa kutoka na kuingia Matic then tunabadili formation ya kucheza badala ya kuchez 3 4 21 tungecheza 3 5 2
Mkuu shida yetu ni ileile tactically kocha anatuangusha sana... Jana sub ya martial ilikuwa sio muhimu ukizingatia tungeweza kuongeza beki mmoja acheze kama beki au midfielder......kocha anafeli katika maamuzi madogo madogo kama haya
 
Mimi nadhani Fred alikuwa amechoka hivyo alitakiwa kutoka na kuingia Matic then tunabadili formation ya kucheza badala ya kuchez 3 4 21 tungecheza 3 5 2
Mkuu shida yetu ni ileile tactically kocha anatuangusha sana... Jana sub ya martial ilikuwa sio muhimu ukizingatia tungeweza kuongeza beki mmoja acheze kama beki au midfielder......kocha anafeli katika maamuzi madogo madogo kama haya
 
timu inaweza kuwa na mwalimu hodari kimbinu na mikakati lakini akakosa wachezaji sahihi lakini pia timu inaweza kuwa na wachezaji sahihi lakini ikakosa mwalimu mwenye mipango mizuri ya kutafuta ushindi.

ni nadra sana kuikuta timu kubwa ikikumbana na matatizo yote hayo mawili kwa wakati mmoja, bahati mbaya sana kwa muda huu man utd tunasumbuliwa na matatizo hayo mawili kwa wakati mmoja.
  • kipindi cha kwanza kocha anakuja na mikakati mizuri sana ya kupambana na liverpool na hatimaye mipango inafanya kazi kwa dakika 45, tulifanikiwa kumdhibiti kiunganishi kikuu roberto firmino, bila ya kumsahau origi, robertson na mdogo wake arnold alexander, na wakati huo huo liverpool walikuwa na mwanadamu sanamu uwanjani asiyekuwa na athari yoyote na hapa namkusudia captain henderson,
  • ushawadhibiti wachezaji watano kwa mkupuo mmoja lakini cha kusikitisha tukashindwa kuitumia nafasi hiyo adhimu kwa kukosa kwetu wachezaji sahihi. ndani ya dakika 45 tunafanya shambulizi moja tu la hatari zaidi na ndilo lililotupa goli na baada ya hapo kama kawaida yetu ni mwendo wa kulose posession kwa wachezaji wetu utafikiri timu yetu haifanyi mazoezi kila siku, sijui yule andreas perreira alifanya maamuzi mangapi ya ovyo akiwa eneo la hatari la adui.
  • kipindi cha pili timu inarudi uwanjani ikiwa na mawazo ya kujilinda, ok ni sawa unalinda kwa muda wote huku midfields yako ikiundwa na claudio makele, mikel obi, michael ballak na michael essien tena dhidi ya barcelona ya xavi au gaucho. Kibaya zaidi tulikuwa tunalinda chini zaidi (karibu ya eneo letu la kujidai na kuzidi kuikaribisha presha).
  • unamruhusu trent alexander na robertson wafanye wanachokihitaji kama wanavyofanya kila siku,unategemea kitu gani ukiachana na neno bahati ipo upande wetu, wakati kipindi cha kwanza ulikwisha wadhibiti na hawakuweza kuleta athari yoyote ile golini kwako?
  • wakati huo huo liverpool walishaingiza wachezaji wawili muhimu wenye uwezo wa kutembea na mipira kwa uhakika tofauti na wachezaji wa kwetu sisi. kivyovyote kitakachofuata ni adhabu tu na si chengine au uokolewe na neno bahati ilikuwa upande wetu.

tumepata suluhu kwa udhaifu wa timu yetu kwa ujumla na si kwa ubora wa liverpool kwa mechi ya jana.
liverpool walipocheza na barcelona waliipata nafasi kama ile tulioipata sisi jana ya kuwa pungufu kabla hatujabadilisha mfumo na kilichotokezea kila mtu anakifahamu.
 
Mm niumie tena , yote kheri

Mimi nangojea mech yangu kesho ,nipae had nafas ya 3

Nimuomba msimamo huyo jamaa maana amekuja kutusumbua jukwaa letu wakati mnaongoza 1-0
oya bab leo vp upo kimya watoto wamefanya kazi yao...na we timu huna basi tu una2pigiaga kelele
 
Mimi nadhani Fred alikuwa amechoka hivyo alitakiwa kutoka na kuingia Matic then tunabadili formation ya kucheza badala ya kuchez 3 4 21 tungecheza 3 5 2
ni kweli mkuu sijajua bench la ufundi huwa linamshauri nini ole
 
Mimi nadhani Fred alikuwa amechoka hivyo alitakiwa kutoka na kuingia Matic then tunabadili formation ya kucheza badala ya kuchez 3 4 21 tungecheza 3 5 2
Ila naona OGS ameanza kupata akili, angeendelea kukomaa na ile 4-2-3-1 aone vile liverpool wangetunyorosha.

Kama atafikiria zaidi basi hata mchezo ujao aendelee kubadili mfumo.
 
Manchester United niliyoiona juzi ni mbovu kwelikweli kuliko niliyoiona msimu uliopita

Namuona Guardiola akiwapiga 4+ mwenye uwezo aje kufukua hii comment jamani siku ikifika
Hata mech ya liverpool ulimwengu ulitabir cha ajabu mashabik wa liverpool wakaanza kuomba kila mmoja kwa lugha yake shetan kakaba mtu koo muda wote klopp anasemelea kwa waamuzi huku VVD analamba mchanga

Arsenal pia alipewa hivyo hivyo ushindi bahat mbaya aliokolewa na boko la tuanzebe

Kifupi had muda huu hujagundua kama hii timu imeweza kumudu mech kubwa?

Mech 3 hatujapoteza tia akilini hili nakwambia


Mkuu umeamua kusemelea kwa manchester city liverpool kawa kiande?


Lampard kala 4-0
 
Back
Top Bottom