Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ushabiki unatufumba macho sometimes aisee
Kwani mashabiki wa Arsenal nyie mnawaonaga wana akili?😂

Hawa si walianza kumlinganisha Maguire na lile katuni lao mustafi?😂😂

Hawa ukiachilia mbali ukibonde wao kwetu,hakuna kitu kinawauma kama wakikumbuka zile goli nane zilivyokuwa zinaingiaingia kama utani.

Halafu tukawaumiza zaidi kwa kumchukua nahodha wao akaja kutushindia kombe la 20 akiwa na namba 20 mgongoni.😂
 
Uzito wa maumivu wanayoyapata kuhusu zile goli 8 is equivalent na Uzito wa raha ninayoipata nikiikumbuka ile game
Kwani mashabiki wa Arsenal nyie mnawaonaga wana akili?

Hawa si walianza kumlinganisha Maguire na lile katuni lao mustafi?

Hawa ukiachilia mbali ukibonde wao kwetu,hakuna kitu kinawauma kama wakikumbuka zile goli nane zilivyokuwa zinaingiaingia kama utani.

Halafu tukawaumiza zaidi kwa kumchukua nahodha wao akaja kutushindia kombe la 20 akiwa na namba 20 mgongoni.
 
01c9c4b5-32b3-4bac-aa83-667b02e84107.jpg
 
dongo kubwa sana hili kwa ole na timu nzima....
Anaboaga saaaaaana..

We'll getting there, wonderful performance, the team showed positive mentality, it's a good we getting on the right direction... Ila matokeo lose au draw..
OGS hajui anachokifanya pale OT, the management is part of the problem wanaona aibu Kumfukuza let's wait..
 
Back
Top Bottom