Hahahahahaha.......Fred,Pogba, Mc Tominay,Matic Lingard umeona hawa ndio midfield sasa? Hizi sio takataka....Henderson ni kiungo mbovu lakini kwa Manchester United hii hakuna wa kumpiga benchi,Mchezaji galasa kama FRED,LINGARD wanacheza Henderson je,Hata Origi ,Shaqiri wakija United panga pangua kikosi cha kwanza wamo.
Imenibidi nishangae kwamba shabiki wa Manchester anasema kiungo cha Liver ni takataka asee, Fred, Perreira na Lingard wanampa kiburi.
 
IMG_20191014_190528.jpeg
 
Mpaka sasa katika michezo 8 umeshinda miwili tu. Halafu unasema katika 29 eti utashinda 10. serious?
Wiki hii jumapili tuanenda kucheza mchezo wetu wa 9 inabaki 29 ktk hiyo 29 zitakuwepo points 87 za kupigania United anaweza poteza michezo 10 akashinda 10 na kudroo 9, total point 39 + 9 + 0(Liverpool) = 48 kama nitashuka daraja kwa points 48 itakuwa kituko sasa EPL timu zenye point kuanzia 50 kushuka huwa position ya 9 kama nitazikosa points 18 basi Championship naenda ila siwezi kwenda kwasabab WE'RE THE FAMOUS MAN UTD
 
McTominay on Jose Mourinho

“Jose is very special to me. He still keeps in contact with me now and keeps in touch after some games.

“He'll always have a special place in mine and my family's heart because he's the one who brought you in, he was the one who trusted you, he was the one who had belief in you.

“I owe a tremendous amount of credit to him because if it wasn't for him I might not necessarily be sitting in this seat.”

Tusubir Mason Greenwood, Chong on Ole.
 
Walete walete...

The Old Trafford club are confident of completing the capture of the Croatian forward in the January transfer window.

The Red Devils are confident that a transfer fee of £9 million (€10m/$11m) will be accepted by Juventus, who are desperate to sell the Croatian veteran.
Mandzukic is expected to sign an 18-month contract until the summer of 2021 and would earn a salary of £4.4m (€5m/$5.5m) a year.
Wengine wanasajili kina Mbappe, United wanasajili Veterans.
 
Mpaka sasa katika michezo 8 umeshinda miwili tu. Halafu unasema katika 29 eti utashinda 10. serious?
Ngoja tufanye hesabu rahisi tu kutokana na unavyoona ushindi wa mechi 2 ktk 8 kma ni BIG DEAL sana.

30÷8x2= 7.5
30÷8x3= 11.25

Ktk kila michezo 8 kwenye michezo 30 Manchester United akishinda miwili basi mwisho wa msimu atakua kashinda 8

Ktk kila michezo 8 kwenye michezo 30 akitoa draw 3 basi mwisho wa msimu atadroo mechi 11, vivyo hivyo na kufungwa

8x3 = 24 (Win)
11x1 = 11 (Draw)
11x0 = 0 (Lose)
24+11+9= 44 (Total Point)

48-44 = 4 haya umefurahi sasa bro kushuka daraja sio kazi rahisi kama ilivyo kuchukua EPL. Hizi ni hesabu rahisi tu kama ulivyotaka kama tuna uwezo wa kushinda mechi 2 ktk mechi 8 na kudroo mechi 3 ktk 8 basi kushuka daraja haiwezekan broo

Halaf hapo bado mpira unadunda ukumbuke, lolote linaweza tokea sisi sio wabovu kiasi hicho

Were you serious?
 
Hahahahahaha.......Fred,Pogba, Mc Tominay,Matic Lingard umeona hawa ndio midfield sasa? Hizi sio takataka....Henderson ni kiungo mbovu lakini kwa Manchester United hii hakuna wa kumpiga benchi,Mchezaji galasa kama FRED,LINGARD wanacheza Henderson je,Hata Origi ,Shaqiri wakija United panga pangua kikosi cha kwanza wamo.
Origi hata Leeds hana namba mkuu, huyo ni kariba ya Obaten
 
Imenibidi nishangae kwamba shabiki wa Manchester anasema kiungo cha Liver ni takataka asee, Fred, Perreira na Lingard wanampa kiburi.
Unajua ww unaendekeza ushabiki sana liverpool ipo vizur mbele ujue salah,mane na firmino wanafanya kazi nzur sana?

Unajua kuwa assist nyingi zinatengenezwa na bek zenu wa pembeni sio viungo wenu?
 
Hahahahahaha.......Fred,Pogba, Mc Tominay,Matic Lingard umeona hawa ndio midfield sasa? Hizi sio takataka....Henderson ni kiungo mbovu lakini kwa Manchester United hii hakuna wa kumpiga benchi,Mchezaji galasa kama FRED,LINGARD wanacheza Henderson je,Hata Origi ,Shaqiri wakija United panga pangua kikosi cha kwanza wamo.
Hapa sasa ndo utajua liverpool hamasa ya kocha ipo vizur fikiria hizo jamaa zenu zipo liverpool na wewe mwenyewe unajua ni wabovu umewataja sema wanajitahada kwetu yamezembea na hamasa hamna
 
Unajua ww unaendekeza ushabiki sana liverpool ipo vizur mbele ujue salah,mane na firmino wanafanya kazi nzur sana?

Unajua kuwa assist nyingi zinatengenezwa na bek zenu wa pembeni sio viungo wenu?
Sijakataa. Ndo kusema nyie mna middle nzuri kuliko Liverpool? Haya leta stats hapa.
 
Back
Top Bottom