SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,442
Imenibidi nishangae kwamba shabiki wa Manchester anasema kiungo cha Liver ni takatakaHahahahahaha.......Fred,Pogba, Mc Tominay,Matic Lingard umeona hawa ndio midfield sasa? Hizi sio takataka....Henderson ni kiungo mbovu lakini kwa Manchester United hii hakuna wa kumpiga benchi,Mchezaji galasa kama FRED,LINGARD wanacheza Henderson je,Hata Origi ,Shaqiri wakija United panga pangua kikosi cha kwanza wamo.
asee, Fred, Perreira na Lingard wanampa kiburi.
