Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,693
Big Sam anajiandaa kuchukua kibarua man u iwapo itakuwa kwenye hatari ya kushuka daraja(Sky sport)
Unazi tu, hapo natoa MATIP naweka MAGUIRE. Kwenye kiungo wote uchafu huo nikianza na kiranja wao mkuu HANDERSON ila hapo mbele sigusi naacha kama palivyo hakuna ubishi.ndo tume fikia apaView attachment 1233038
Tukiacha ushabiki , Maguire kamzidi nini Matip msimu huu?Unazi tu, hapo natoa MATIP naweka MAGUIRE. Kwenye kiungo wote uchafu huo nikianza na kiranja wao mkuu HANDERSON ila hapo mbele sigusi naacha kama palivyo hakuna ubishi.
Saiv bora liende tu hata Zahera sawa tu!Big Sam anajiandaa kuchukua kibarua man u iwapo itakuwa kwenye hatari ya kushuka daraja(Sky sport)
Hivi nyie Arsenali na litimu lenu hilo mnaona kabisa UNITED ni timu ya kuwa kwenye hatari au kushuka daraja? Liverpool ni timu rahisi zaidi kuifunga kuliko Newcastle. Liverpool watafunguka and that's what Ole Gunnar Solskjær wants wakati wao wakifunguka basi na sisi tutapanda kama wao na timu ya kufanya hivyo tunayo tena msiombe majeruhi wote warudi maana hapo ndo mtajua kukata kona yani kwa kiungo hicho cha Liverpool kikiongozwa na kichaa HANDERSON niogope kweli nikiwa Old Trafford! Nikiwa na beki visiki nimeruhusu goli moja tu against Chelsea na Arsenali pale OT... Kule mbele acha kuwe butu vilevile tukipandisha mashambulizi ndo tutajua kama kuna watu au hamna. Big Sam mpeni kazi nyie mkimtoa UnaiBig Sam anajiandaa kuchukua kibarua man u iwapo itakuwa kwenye hatari ya kushuka daraja(Sky sport)
Hahahhahaaaaa mkuu umenichekesha sanaHivi nyie Arsenali na litimu lenu hilo mnaona kabisa UNITED ni timu ya kuwa kwenye hatari au kushuka daraja? Liverpool ni timu rahisi zaidi kuifunga kuliko Newcastle. Liverpool watafunguka and that's what Ole Gunnar Solskjær wants wakati wao wakifunguka basi na sisi tutapanda kama wao na timu ya kufanya hivyo tunayo tena msiombe majeruhi wote warudi maana hapo ndo mtajua kukata kona yani kwa kiungo hicho cha Liverpool kikiongozwa na kichaa HANDERSON niogope kweli nikiwa Old Trafford! Nikiwa na beki visiki nimeruhusu goli moja tu against Chelsea na Arsenali pale OT... Kule mbele acha kuwe butu vilevile tukipandisha mashambulizi ndo tutajua kama kuna watu au hamna. Big Sam mpeni kazi nyie mkimtoa Unai
Wiki hii jumapili tuanenda kucheza mchezo wetu wa 9 inabaki 29 ktk hiyo 29 zitakuwepo points 87 za kupigania United anaweza poteza michezo 10 akashinda 10 na kudroo 9, total point 39 + 9 + 0(Liverpool) = 48 kama nitashuka daraja kwa points 48 itakuwa kituko sasa EPL timu zenye point kuanzia 50 kushuka huwa position ya 9 kama nitazikosa points 18 basi Championship naenda ila siwezi kwenda kwasabab WE'RE THE FAMOUS MAN UTDHahahhahaaaaa mkuu umenichekesha sana
Big Sam kashaanza kujipigia debe hapo man u, wiki iliyopita kadai Man u kuna uwezekano wa kushuka daraja
So automatically, anavizia kazi, maana yeye ni specialist wakuokoa timu zinazoshuka daraja
Ukishindwa kuifunga Liverpool kuna uwezekano ukachungulia regelation zone ,na ndipo hapo Big Sam anaposubiri
ndo tume fikia apaView attachment 1233038
Inashangaza,kwanza huyo babu akacheze wapi si bora arudi sanchez tujue moja.wazeee wa OGS style njooni mara moja, lukaku hawezi kucheza mfumo wa OGS kwa sababu hana speed na anapenda kusimama.
huyu mandzukic ana utofauti gani na lukaku kama hii habari ina ukweli wowote?
Wakuu goli la rashford mmeliona?
Yule mchezaji mzuri akitokea pembeni lakini sio katikati.
Wakuu goli la rashford mmeliona?
Yule mchezaji mzuri akitokea pembeni lakini sio katikati.
Marekebisho kidogo. Ni kuanzia 2005 hadi 2009.Kwa miaka mfululizo kuanzia 2005 hadi 2008 timu ya uingereza ulikuwa huikosi fainali champions league.
Rashid ..one goal per month
Duh kumbe arsenal amewah kufika kileleni fainali uefa!!!Marekebisho kidogo. Ni kuanzia 2005 hadi 2009.
2005 - Liverpool vs Ac Milan
2006 - Arsenal vs Barcelona
2007 - Liverpool vs Ac Milan
2008 - Manchester United vs Chelsea
2009 - Manchester United vs Barcelona.
Hahahahahaha.......Fred,Pogba, Mc Tominay,Matic Lingard umeona hawa ndio midfield sasa? Hizi sio takataka....Henderson ni kiungo mbovu lakini kwa Manchester United hii hakuna wa kumpiga benchi,Mchezaji galasa kama FRED,LINGARD wanacheza Henderson je,Hata Origi ,Shaqiri wakija United panga pangua kikosi cha kwanza wamo.Unazi tu, hapo natoa MATIP naweka MAGUIRE. Kwenye kiungo wote uchafu huo nikianza na kiranja wao mkuu HANDERSON ila hapo mbele sigusi naacha kama palivyo hakuna ubishi.
Hata 2008/09, Arsenal alifikia hatua ya nusu fainali ya UCL, alicheza na Manchester United, ila ndo hivyo, aliishia hatua hiyo. Manchester United akatinga fainali na kuchapwa 2 - 0 na Barcelona, na huo ukiwa msimu wa kwanza wa Pep kama kocha mkuu.Duh kumbe arsenal amewah kufika kileleni fainali uefa!!!