Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbona madrid wanaweza
Wachezaji 9???
Wakati mwengine munamlaumu tu Ed lakini Hakuna timu inayoweza Kumsajili wachezaji 9 kwa dirisha 1 tena wote wa kikosi cha kwanza.

Wawili tu wa kikosi cha kwanza Maguire na Bissaka wamecost more than £130m+ , Sasa hao 9 Mkuu si wangefika £1B.

Hapo angeliishia kusajili 4 wa kikosi cha kwanza na 5 magarasa ikisha mukaishia kumtukana kuwa kaleta Wachezaji wabovu.
 
nimemfuatilia sana OLEGUNAR nimegundua anakua kocha hatari akiwa hapati matokeo. Atatufikisha tunapotaka.

msimu huu hadi napata marafiki wapya was like kisa kunihurumia vipigo nnavyopokea na man u yangu. Naweza kusema hiki ndio nnacho faidi kwa sasa.

Ole at the wheel
Mkuu usiogope, uzuri ni kuwa asijejua anakoelekea huwa hapotei njia.
 
Hizi habari za kuja kwa naagelsmann united zimekaaje jamani? Lengo tuangalie uwezekano wa kulifanikisha hili kama mshabiki wa united tulio na mtazamo hasi na rebuild ya Ole.
Circle itaendelea, baada ya mwaka/miaka 2 na yeye tutakuwa tunamponda humu na kutaka atimuliwe. Hata Fergie arudi Kama hatutabadili structure tutaendelea ku struggle vile vile.
 
Circle itaendelea, baada ya mwaka/miaka 2 na yeye tutakuwa tunamponda humu na kutaka atimuliwe. Hata Fergie arudi Kama hatutabadili structure tutaendelea ku struggle vile vile.
Tatizo la Ole hatuonyeshi uelekeo gani tunaenda kama klabu. Lampard kachukua timu juzi tu lakini pattern ya uchezaji wao inaeleweka,hata kama hawajashinda game nyingi lakini wanatia matumaini kuwa siku moja watakuwa sehemu nzuri.

Ole hata kufanya maamuzi sahihi anashindwa,atatupeleka wapi huyu? Angalia issue ya usajili inavyomuadabisha sasa hivi. Jamaa alikuja kutembelea nyota ya ukubwa wa jina la timu tu,lakini huoni chochote anachokiongeza kwenye lile kundi lake.
 
Tatizo la Ole hatuonyeshi uelekeo gani tunaenda kama klabu. Lampard kachukua timu juzi tu lakini pattern ya uchezaji wao inaeleweka,hata kama hawajashinda game nyingi lakini wanatia matumaini kuwa siku moja watakuwa sehemu nzuri.

Ole hata kufanya maamuzi sahihi anashindwa,atatupeleka wapi huyu? Angalia issue ya usajili inavyomuadabisha sasa hivi. Jamaa alikuja kutembelea nyota ya ukubwa wa jina la timu tu,lakini huoni chochote anachokiongeza kwenye lile kundi lake.
Kama Moyes hakupata target zake, LVG analalamika usajili, Mou analalamika usajili na Ole pia Kuna tatizo la usajili kitu gani kinakupa confidence Akija huyo kocha Tatizo la usajili litakuwa fixed?
 
Kama Moyes hakupata target zake, LVG analalamika usajili, Mou analalamika usajili na Ole pia Kuna tatizo la usajili kitu gani kinakupa confidence Akija huyo kocha Tatizo la usajili litakuwa fixed?
Tatizo lake mbali ya kufanya maamuzi ya kuuza silaha bila kuwa na uhakika wa kupata mbadala,kimbinu pia hayuko vizuri vya kutosha kuiongoza united. Tumeona ndani ya hizi game 8 zilizopita hajabadilisha mifumo wala mbinu pindi mambo yanapoenda kombo.
Usajili pekee haukupatii ushindi ama ubingwa bali na mbinu pia.
 
Tatizo lake mbali ya kufanya maamuzi ya kuuza silaha bila kuwa na uhakika wa kupata mbadala,kimbinu pia hayuko vizuri vya kutosha kuiongoza united. Tumeona ndani ya hizi game 8 zilizopita hajabadilisha mifumo wala mbinu pindi mambo yanapoenda kombo.
Usajili pekee haukupatii ushindi ama ubingwa bali na mbinu pia.
Mfumo wa Ole uliompatia ushindi mfululizo Ni 4-3-3 Sasa Hivi hawezi kuucheza kutokana na aina za midfield tulizonazo. Tunatumia 4-2-3-1 sababu tuna midfield wachache, hawezi toka Hapo bila usajili.

Ni rahisi kumtupia madongo ole kwenye usajili Ila trust me vitu vichache Sana wa kulaumiwa Ni yeye Ila Mambo mengi Ni club yetu ndio inazingua.

Bila Ed kuachia uongozi wa masuala ya mpira usitegemee chochote.
 
Na ole afukuzwi mtaongea sana abaki tu
Ole haendi kokote, bado wanamwamini ana approach ya kuisaidia united though ina wakati mgumu kwa sasa!

Ed kashajaribu kuleta makocha wenye heshima zao ila still club haisogei sawa na mataminio ya wengi na saiv tupo kwa mmoja wa wachezaji wa club ambaye ndiye kocha!

What else now after this? Ni ku-stick na Ole kigumu zaidi!

Naona Allegri yuko class mida hii kujifunza ngeli ila like nothing will be
 
Kumbuka pia wachezaji hao wakati wanasajiliwa Liverpool walikuwa na viwango vya juu.

Sakho alikuwa alipitwa timu ya taifa ya ufaransa.

Lovren ni regular starter wa national team yake mpaka leo

Iago Aspas alikuwa ni mchezaji kama wanne hivi kufunga goal nyingi laliga.

Lalana na Lambert walikuwa wakiitwa national team ya England na waliifiksha Southmpton nafasi ya 8 kwenye ligi ikiwa imepanda daraja tu.

Fabio Bolini nae alikuwa mchezaji kinda aliyefanya vizuri serie A

Laza Marckovic alikuwa mchezaji bora kwenye ligi ya ureno wakati anakuja Liverpool
Wewe unapata wapi ujasiri wa kuwaita magarasa?

Sikutegemea Mtu kama wewe kureply kitu kama hichi.

Ivi Man United ni Timu ya kujifananisha na Wachezaji wa Calibre hiyo?

Kwenye post yangu nimetumia Maneno mawili.

1) Wa Kikosi cha Kwanza
2) Magarasa

√ Sasa kama umekusudia Kusajili wachezaji wa kikosi cha kwanza basi Timu kama Man United haiwezi kusajili wachezaji 9

√ But kama umekusudia kusajili Magarasa kama hayo ya Rodgers basi Man United inaweza kuwasajili wachezaji 9 (New versions of Rashford).
 
Kadri timu inavyofanya vibaya ndiyo inavypoteza mvuto kwa wachezaji wazuri

Kibaya zaidi OGS hana mvuto wake binafsi wa kuwavuta wachezaji kama aliokuwa nao Klopp ambaye alipitia magumu ila kuna wachezaji aliweza kuwashawishi kutokana na mvuto wake na kazi kubwa aliyoifanya Dortmund.

Man untd haiwezi kupambana kwenye soko la usajili na timu zenye mvuto kama Barca, PSG , Real Madrid , Man city n.k hivyo option yao ni mediocre players, unapokuwa na mediocre players na mediocre coach unapata mediocre team..

Man untd isipoleta kocha mwenye ushawishi kwa wachezaji wazuri ambaye atafanikisha wanatua OT haraka iwezekenavyo ili aanze kujenga timu, Man untd itakuwa rasmi timu ya kawaida kama stoke city n.k sema utofauti wake ni kuwa itakuwa na pesa nyingi na historia kubwa.
 
Kadri timu inavyofanya vibaya ndiyo inavypoteza mvuto kwa wachezaji wazuri

Kibaya zaidi OGS hana mvuto wake binafsi wa kuwavuta wachezaji kama aliokuwa nao Klopp ambaye alipitia magumu ila kuna wachezaji aliweza kuwashawishi kutokana na mvuto wake na kazi kubwa aliyoifanya Dortmund.

Man untd haiwezi kupambana kwenye soko la usajili na timu zenye mvuto kama Barca, PSG , Real Madrid , Man city n.k hivyo option yao ni mediocre players, unapokuwa na mediocre players na mediocre coach unapata mediocre team..

Man untd isipoleta kocha mwenye ushawishi kwa wachezaji wazuri ambaye atafanikisha wanatua OT haraka iwezekenavyo ili aanze kujenga timu, Man untd itakuwa rasmi timu ya kawaida kama stoke city n.k sema utofauti wake ni kuwa itakuwa na pesa nyingi na historia kubwa.
Hii point ni kubwa sna tena sna.. Naongezea tu hapo Ed hasipo achia ngazi na mitazamo yake yy ndo anatk kua boss yy huyo huyo anatk kua mkurugenzi wa ufund man u hii itakufa na hii ni mwanzo tu itakufa zaid na zaid.. Akitoka huyo na Ole nae sio kocha mwny philosophy yoyote ya maana na yy ni wa kufungiwa virago vyake aende kwao Norway.. Yakifanyika ayo basi Man u wakapata kocha basi hapo ndo utaanza sema rebuild ya team inaanza bila ivo ni kupotezeana mda na hakuna mchezaj mkubw mwny akil timamu atakuja kwny club haina waw weny akil timamu
 
Wachezaji 9???
Wakati mwengine munamlaumu tu Ed lakini Hakuna timu inayoweza Kumsajili wachezaji 9 kwa dirisha 1 tena wote wa kikosi cha kwanza.

Wawili tu wa kikosi cha kwanza Maguire na Bissaka wamecost more than £130m+ , Sasa hao 9 Mkuu si wangefika £1B.

Hapo angeliishia kusajili 4 wa kikosi cha kwanza na 5 magarasa ikisha mukaishia kumtukana kuwa kaleta Wachezaji wabovu.
Atletico Madrid waliondokewa na wachezaji karibia 10 msimu huu na wachezaji 6 wanaoanza kikosi cha kwanza (RB-Juanfran,LB-Fellipe Luis ,CB-Lucas Hernandez ,DM/CM-Rodri,FW-Griezman) plus Vietto,Kalinic na wengineo na wamesajili wachezaji karibia 10 (RB-Trippier,LB-Lodi,CB-Hermoso & Felipe ,DM-Marcos Llorente,CM-Hector Herrera,FW-Joao Felix,)

Manchester United imewauza/ondoa karibia 4 players bila kufanya replacement Fellaini,Herrera & Lukaku na kuna wachezaji ambao hawakustahili kuongezewa mikataba lakini wameongezewa.Kulikuwa na free agent wengi Rabiot,Ribery,Llorente plus Icardi,Mandzukic ambao wangeweza kutusaidia kwa muda.Manchester United haina right winger karibia miaka 10 now
 
Hii point ni kubwa sna tena sna.. Naongezea tu hapo Ed hasipo achia ngazi na mitazamo yake yy ndo anatk kua boss yy huyo huyo anatk kua mkurugenzi wa ufund man u hii itakufa na hii ni mwanzo tu itakufa zaid na zaid.. Akitoka huyo na Ole nae sio kocha mwny philosophy yoyote ya maana na yy ni wa kufungiwa virago vyake aende kwao Norway.. Yakifanyika ayo basi Man u wakapata kocha basi hapo ndo utaanza sema rebuild ya team inaanza bila ivo ni kupotezeana mda na hakuna mchezaj mkubw mwny akil timamu atakuja kwny club haina waw weny akil timamu
Louis Van Gaal alishaliongea kuwa Ed hajui lolote kuhusu mpira, lakn ndo amekalia majukumu yanahyohtaj mtu mwenye uelewa wa mpira, ni kama mwalimu wa Sanaa apewe jukumu la kufundisha Physics, ndo kinachofanyika kwa Man u sa hv....


IMG_20191009_232156.jpg
 
Back
Top Bottom