Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Former England manager Sam Allardyce says it is possible that Manchester United could be relegated from the Premier League this season. - Talksport 











It will cost Man Utd around £7m to sack Solskjaer, according to a report...Akiresign halipwi mpunga Sana Sana atatakiwa kuilipa club, wakimtimua analipwa mpunga wote wa mkataba, hvyo ni ngumu kuresign
Ataenda kuokota takataka za kingereza kina Longstaff ndo wenye ndoto za kucheza United.
nimemfuatilia sana OLEGUNAR nimegundua anakua kocha hatari akiwa hapati matokeo. Atatufikisha tunapotaka.
msimu huu hadi napata marafiki wapya was like kisa kunihurumia vipigo nnavyopokea na man u yangu. Naweza kusema hiki ndio nnacho faidi kwa sasa.
Ole at the wheel
Mkuu n matches 8 tu zimepita nahakika tunazama UCL. Au hata through Europa leaguemkuu umekifahamu hicho nilichoandika?
njia pekee ya kumfanya ole gunnar solskjaer ajenge hiyo timu yake tunayoitamani itamlazimu ahakikishe klabu inashiriki ligi ya mabingwa.
mwache afanye overhauls inayoambatana na recruitment ya vijana kutoka academy lakini ni lazima mwisho wa msimu aipeleke timu champions league kwa njia yoyote (familia ya glazer hawana shida ya kombe kwa sasa)
kinyume chake klabu haitokuwa tayari kusubiria miaka mitatu bila ya champions league kama walivyofanya liverpool kwa hoja ya kujenga timu, kufanya hivyo kutapelekea klabu ikose mapato kupitia kwa wadhamini wake wakiwemo adidas.
jenga timu yako lakini tunahitaji timu iende champions league ili tupate hela yetu kamili kutoka kwa matajiri
Chief klopp imemchukua misimu mitano kufikia hapa why not ole kupewa mudaYes hana mwaka lakini tangu apewe timu kwenye EPL ameshafundisha mechi 39 ambazo ni sawa na msimu mmoja
Amecheza 39 ,ameshinda 18 draw 9 kafungwa 12 magoli ya kufunga 55 magoli ya kufungwa 42 Winning % ni 46.1%
Champions league kacheza mechi 4 kashinda 1 kafungwa 3,Uropa kacheza mechi 2 kashinda 1 draw 1
Time is not the right answer if wrong man is in charge
I think umeona Lampard anachofanya Chelsea
ndicho tunachokiomba kwa sote na sidhani kama yupo shabiki wa manchester united anayetamani kushuhudia timu ikiendelea kufanya vibaya.Mkuu n matches 8 tu zimepita nahakika tunazama UCL. Au hata through Europa league
#ole apewe muda#
Klopp alishaonesha ni nan kwenye tasnia ya sokaChief klopp imemchukua misimu mitano kufikia hapa why not ole kupewa muda
hizo hoja zake zote ameshajibiwa na Belo huko nyuma lakini jamaa bado ameendelea kubaki na msimamo huo huo, imefikia nyakati unaweza ukadhani unajadiliana na binadamu mwenye tabia za kasuku.Klopp alishaonesha ni nan kwenye tasnia ya soka
Alishajenga BVB Kali ya kuogopwa ,iliyobeba back to back Bundesliga ,
Nilishuhudia klopp akiinyanyasa baryen iliyokamilika kwa kuipiga 5-0
Klopp aliipandisha daraja Mainz timu ya kijijini kwao kwa Mara ya kwanza ,
Hivo alipowaambia Liverpool wampe miaka 3 aijenge alieleweka
Ole gunar historia yake ya ukocha tuliyonayo aliishusha daraja Cardiff city .
ChampionshipMnataka kufika wapi ?
Chief klopp imemchukua misimu mitano kufikia hapa why not ole kupewa muda
Championship
yani hii man u yetu naona tunacheza kukamilisha ratiba, back pass nyingi mno. Then kocha anakuja kusema we are almost there. Nafikiri hii there ndo hiyo championship yenyewe.Hilo sawa nina uhakika Ole asipobadilika possibly Man united itakuwa relegated.
Acha kumfananisha klopp na vitu vya kipumbavuChief klopp imemchukua misimu mitano kufikia hapa why not ole kupewa muda
"nimemfuatilia sana OLEGUNAR nimegundua anakua kocha hatari akiwa hapati matokeo"nimemfuatilia sana OLEGUNAR nimegundua anakua kocha hatari akiwa hapati matokeo. Atatufikisha tunapotaka.
msimu huu hadi napata marafiki wapya was like kisa kunihurumia vipigo nnavyopokea na man u yangu. Naweza kusema hiki ndio nnacho faidi kwa sasa.
Ole at the wheel
Hahahahahaha.....Klopp anaichukua Liverpool October 8 2015,Chief klopp imemchukua misimu mitano kufikia hapa why not ole kupewa muda