Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Former England manager Sam Allardyce says it is possible that Manchester United could be relegated from the Premier League this season. - Talksport
 
Screenshot_2019-10-09-09-32-53.png
 
nimemfuatilia sana OLEGUNAR nimegundua anakua kocha hatari akiwa hapati matokeo. Atatufikisha tunapotaka.

msimu huu hadi napata marafiki wapya wa kike kisa kunihurumia vipigo nnavyopokea na man u yangu. Naweza kusema hiki ndio nnacho faidi kwa sasa.

Ole at the wheel
 
Mnataka kufika wapi ?
nimemfuatilia sana OLEGUNAR nimegundua anakua kocha hatari akiwa hapati matokeo. Atatufikisha tunapotaka.

msimu huu hadi napata marafiki wapya was like kisa kunihurumia vipigo nnavyopokea na man u yangu. Naweza kusema hiki ndio nnacho faidi kwa sasa.

Ole at the wheel
 
mkuu umekifahamu hicho nilichoandika?
njia pekee ya kumfanya ole gunnar solskjaer ajenge hiyo timu yake tunayoitamani itamlazimu ahakikishe klabu inashiriki ligi ya mabingwa.

mwache afanye overhauls inayoambatana na recruitment ya vijana kutoka academy lakini ni lazima mwisho wa msimu aipeleke timu champions league kwa njia yoyote (familia ya glazer hawana shida ya kombe kwa sasa)

kinyume chake klabu haitokuwa tayari kusubiria miaka mitatu bila ya champions league kama walivyofanya liverpool kwa hoja ya kujenga timu, kufanya hivyo kutapelekea klabu ikose mapato kupitia kwa wadhamini wake wakiwemo adidas.

jenga timu yako lakini tunahitaji timu iende champions league ili tupate hela yetu kamili kutoka kwa matajiri
Mkuu n matches 8 tu zimepita nahakika tunazama UCL. Au hata through Europa league

#ole apewe muda#
 
Yes hana mwaka lakini tangu apewe timu kwenye EPL ameshafundisha mechi 39 ambazo ni sawa na msimu mmoja
Amecheza 39 ,ameshinda 18 draw 9 kafungwa 12 magoli ya kufunga 55 magoli ya kufungwa 42 Winning % ni 46.1%
Champions league kacheza mechi 4 kashinda 1 kafungwa 3,Uropa kacheza mechi 2 kashinda 1 draw 1

Time is not the right answer if wrong man is in charge

I think umeona Lampard anachofanya Chelsea
Chief klopp imemchukua misimu mitano kufikia hapa why not ole kupewa muda
 
Mkuu n matches 8 tu zimepita nahakika tunazama UCL. Au hata through Europa league

#ole apewe muda#
ndicho tunachokiomba kwa sote na sidhani kama yupo shabiki wa manchester united anayetamani kushuhudia timu ikiendelea kufanya vibaya.

lakini ukiziangalia hizo mechi 8 zilizopita hapakuwepo sababu ya msingi ya kutufanya tupoteze alama 15.
mchezo wa soka hauna rafiki wa kudumu ndio maana kundi hili linaloongoza kampeni ya kumponda OGS nyakati hizi wengi wetu ndio wale wale tulio ongoza kampeni ya kumsifia nyakati zile anafanya vizuri.
 
Chief klopp imemchukua misimu mitano kufikia hapa why not ole kupewa muda
Klopp alishaonesha ni nan kwenye tasnia ya soka

Alishajenga BVB Kali ya kuogopwa ,iliyobeba back to back Bundesliga ,

Nilishuhudia klopp akiinyanyasa baryen iliyokamilika kwa kuipiga 5-0

Klopp aliipandisha daraja Mainz timu ya kijijini kwao kwa Mara ya kwanza ,

Hivo alipowaambia Liverpool wampe miaka 3 aijenge alieleweka

Ole gunar historia yake ya ukocha tuliyonayo aliishusha daraja Cardiff city .
 
Klopp alishaonesha ni nan kwenye tasnia ya soka

Alishajenga BVB Kali ya kuogopwa ,iliyobeba back to back Bundesliga ,

Nilishuhudia klopp akiinyanyasa baryen iliyokamilika kwa kuipiga 5-0

Klopp aliipandisha daraja Mainz timu ya kijijini kwao kwa Mara ya kwanza ,

Hivo alipowaambia Liverpool wampe miaka 3 aijenge alieleweka

Ole gunar historia yake ya ukocha tuliyonayo aliishusha daraja Cardiff city .
hizo hoja zake zote ameshajibiwa na Belo huko nyuma lakini jamaa bado ameendelea kubaki na msimamo huo huo, imefikia nyakati unaweza ukadhani unajadiliana na binadamu mwenye tabia za kasuku.
 
nimebaki naangalia mechi zetu kwa sababu ya mapenzi. Sina imani kabisa na mbinu za kocha, unafungwa goli dakika ya 40 lakini unarudi kipindi cha pili na style ile ile ya uchezaji. Pass nyingi kutoka mid kwenda nyuma. Mpira ukienda mbele tunapoteza, hii ni zaidi ya transition period
 
nimemfuatilia sana OLEGUNAR nimegundua anakua kocha hatari akiwa hapati matokeo. Atatufikisha tunapotaka.

msimu huu hadi napata marafiki wapya was like kisa kunihurumia vipigo nnavyopokea na man u yangu. Naweza kusema hiki ndio nnacho faidi kwa sasa.

Ole at the wheel
"nimemfuatilia sana OLEGUNAR nimegundua anakua kocha hatari akiwa hapati matokeo"

Umemaanisha nini hapa exactly??
 
Chief klopp imemchukua misimu mitano kufikia hapa why not ole kupewa muda
Hahahahahaha.....Klopp anaichukua Liverpool October 8 2015,
February 28 2016 Anacheza Final ya kwanza ya League cup
May 18 2016 Anacheza Fainali ya pili ya Europa league
Kocha wa hivi unaweza kushindwa kumpa muda.
Acha kumvunjia Jurgen klopp bana.Jiheshimu
 
Back
Top Bottom