🤣🤣🤣Tuliwambia kwa mtu mwenye macho ya soka mlishinda nne lkn chelsea imecheza vizuri kuliko nyie. Timu foward rashford😂😂```HIVI kila mtu humu anakumbuka kuwa wakati Man U anamfunga chelsea4-0 mashabiki wakaanza kusema Man U msimu huu itabeba kila kombe! Itabeba EPL, CARABAO, F.A, COMMUNITY SHIELD, UEFA, SERIE A, LA LIGA, LEAGUE 1, BUNDESLIGA, MAPINDUZI CUP, KAGAME CUP, WORLD CUP na COPA AMERICA???
```
Mourinho had his problems, but he didnt hide the fact he knew this squad weren't mentally capable of representing a giant like United. So instead of trusting him to clear the squad out, we sack him, then realised too late he was right, and then gave that rebuilding job to an amateur at this level. This all stems from the top, and nothing will change when the foundations of the club are so rotten..
Nilikuwa anti Mourinho lakini kuna vitu vingi huyu jamaa alikuwa right..
Bora huyo Mou alikuwa na mbinu pale timu inaposhikwa au inapokutana na mpinzani hatari. Ole ndio zero kabisa na ukitazama Interview ya Degea utagundua wachezaji wameshamuona mzugaji asiyejua lolote kuhusu ukocha. |
Bora huyo Mou alikuwa na mbinu pale timu inaposhikwa au inapokutana na mpinzani hatari. Ole ndio zero kabisa na ukitazama Interview ya Degea utagundua wachezaji wameshamuona mzugaji asiyejua lolote kuhusu ukocha.
Hii Interview ukicheki, De gea anaona room ndogo, chozi hili hapa!
Anapitia kipindi kigumu sana na yeye pia anakiri hilo. Anacheza na wachezaji wa kawaida mno ambao hawawezi kupata namba hata pale Leicester. Pereira, Fred,Mata,Rashford, Young, Dalot,Scott,Lingard,Matic hivi hawa wanapata namba za uhakika hata pale Wolves kweli? De Gea atabaki kuwa kipa wetu bora wa muda wote. |
Miaka mitano tutakuwa championship.Nakumbuka kipindi kile Masai kachukua timu na sifa alizomwagiwa! Jamani tumpe muda angalau miaka mitano
Ndiyo mjue Mourinho alikuwa anapitia wakati mgumu sana ila tu uzoefu mkubwa wa ukocha ndiyo uliokuwa unambeba
Anapitia kipindi kigumu sana na yeye pia anakiri hilo. Anacheza na wachezaji wa kawaida mno ambao hawawezi kupata namba hata pale Leicester.
Pereira, Fred,Mata,Rashford, Young, Dalot,Scott,Lingard,Matic hivi hawa wanapata namba za uhakika hata pale Wolves kweli?
De Gea atabaki kuwa kipa wetu bora wa muda wote.
Bora huyo Mou alikuwa na mbinu pale timu inaposhikwa au inapokutana na mpinzani hatari. Ole ndio zero kabisa na ukitazama Interview ya Degea utagundua wachezaji wameshamuona mzugaji asiyejua lolote kuhusu ukocha.
Kwani hao defenders si ndo hao hao waliocheza mechi 12 unbeaten na OLE na tukaanza kufurahi ama hivi vichapo viwili vya Wolves na Arsenal ndo vimekubadilisha mtizamo mkuu? Ukweli ni kwamba Mou alikuwa anataka kutuaminisha kwamba hawajamaa hamna kitu kabsa wakti kwa Kocha mwingine unaona sio kweli alichokuwa anadai!
Kuna mtu humu alinitukana sana kuhusu mourinho nahisi dawa inamuingia kisawasawa jibu kapata
Toka astaafu sir alex mourinho alikuwa kocha sahihi wa manchester united
Nilisema July kuwa man united itapokea vipigo vingi kuliko last season.
Na kuna vipigo vinakuja safi kabisa,tuna point 3 za liverpool, Norwich pia hatotaka kupoteza point kabisa maana kama Newcastle mbovu imezipata yeye ni nani hata akose?😂😂 Baada ya hapo naona Ole akitolewa kafara kwa ujinga wake. |
kwa mtazamo wangu ni maamuzi ya ovyo yatakayofanywa na klabu endapo itafikia maamuzi ya kumuondoa romelu lukaku.
nafahamu kama jamaa ana udhaifu mkubwa sana kwenye umiliki wa mpira hususan first touch lakini cha kujiuliza man utd kama klabu imemsaidia vipi romelu lukaku aondokane na udhaifu wake?
mbona romelu lukaku huyu huyu mwenye touch mbovu kama simu ya kichina akiwa belgium anafunga magoli anavyojisikia?
tusidanganyane jamani kwa timu tulionao romelu lukaku ndiye mchezaji pekee mwenye uhakika wa kukupa magoli 25 kwa msimu mzima kama utampa huduma zake anazostahili.
- tuna winga wa ovyo wasioeleweka kwa msimu wa pili tokea asajiliwe lukaku, hivi martial, rashford, lingard, sanchez wametengeneza nafasi ngapi za magoli msimu huu?
- tukumbuke james maddison wa leicester city peke yake ametengeneza nafasi za magoli takribani 100 msimu huu je hao wa kwetu wote kwa pamoja wanafikisha nafasi 100 walizotengeneza msimu mzima na wanalipwa mishahara ya kufuru?
- tuna walinzi wa pembeni wa ovyo sana kwenye utoaji wa huduma za mashambulizi kuliko timu kubwa yoyote, luke shaw, young, darmian, dalot wote hawa wanazidiwa na mlinzi mmoja tu wa liverpool wa pembeni either robertson au arnold alexander kwa utoaji wa huduma za mashambulizi, unategemea lukaku afanye nini?
- akichoka paul pogba na viungo wote wamechoka, hivi herrera, matic, na fred wamempa mipira mara ngapi romelu lukaku kwenye eneo la adui msimu huu?
umuuze lukaku then umbakishe rashford kwa kigezo cha umri ni zaidi ya usengee, halafu una uhakika gani kama mshambuliaji ajaye ataendana na vishindo vya ligi ya uingereza kwa muda mfupi?
kama tutaurudisha nyuma umri wa ruud van nistelrooy basi sawa acha tufanye hivyo then tumsajili tena ndipo tumuondoe romelu lukaku.
tumejificha kwenye udhaifu wake wa first touch huku tukijisahaulisha matatizo makubwa yanayotukabili kama timu, chicharito, inzaghi, diego millito walikuwa na touch mbovu mbona walikuwa wanafunga?
unacheza na rooney, scholes, giggs, berbatov, kaka, sneijder, pirlo, seedorf, nani walio kwenye ubora kwa nini usifunge?
nyakati za sir alex ferguson tulikuwa na washambuliaji wanne kwa msimu mmoja, kuna ubaya gani endapo klabu itambakisha lukaku baadae watafute mshambuliaji mwengine wa kuongeza nguvu?