Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwani mkuu we unacholalamika hapa ni nini maana naona kama tunahama kwenye mada halisi,mwanzo ulidai kwamba Glazers
hawafanyi Investments za maaana kwenye timu na sahv ww mwenyewe unatoa mifano halisi ya wachezaji wa maana ambao
wameshanunuliwa pale mfano Mikhi,Lukaku,Pogba, etc chini ya makocha mbali mbali, Bastian,Blind,Depay,Valdes na Romero wote walikuja sababu ya LVG na aliwataka sababu anawafahmu coz walikuwa pamoja hko alipotoka hyo ni wazi so usisingizie Woodward!

Hao wengine uliowataja hapo walikuja kipindi cha Mou sio LVG na hata kama wapo chini ya agent mmoja kwan tatizo ni nn si ili mradi ni wachezaji wazuri ama we unataka wabaya? Pogba mpka leo ndo tunamtegemea! Ibra ndo alikuwa Top Scorer alivyokuwepo,Micki alifunga bao final Europa (na hyo Pogba pia alifunga), hicho unachosema kwamba LVG alikuwa hawataki (Kina Di maria na Falcao) ushahidi wake ni upi?maana mi nmekupa makala yenye maneno yake mwenyewe na ww toa hyo ambayo anasema alikuwa hawataki kwa maneno yake mwenyewe!
Mkuu usiongelee kijuu juu ongea kwa big picture nita round up pengine comments ya mwisho.

1. Mnasema wametumia 600m ila ni double counting, mchezaji ananunuliwa na kuuzwa na hela inayopatikana ananunuliwa mwengine, investment ni ile iliobaki, mikhi hayupo, di maria hayupo, depay hayupo, falcao hayupo, blind hayupo etc wote hao ni zaidi ya 100.

2. Tumetumia hela nyingi kipindi cha lvg si kuimprove kikosi bali kureplace wachezaji ambao tumewacha waondoke either kizembe ama kutokuwa na mipango thabiti, nikakupa mfano beki watatu world class wa kutegemea wameondoka pamoja, evra, vidic na Rio, si jambo la.mchezo same kwa idara nyengine.

3. Usajili wa Woodward mara nyingi upo motivated na potential ya mchezaji kuja kufanya vizuri kibiashara na sio kuziba pengo uwanjani mfano nimekupa wing ya kulia, LVG miaka anataka Robben au mchezaji mwenye kasi hakuletewa, same kwa mou alisema anataka winga/winga wa kulia kumtupia cross Lukaku, Ameshindwa hata kumleta perisic. Hadi leo kwa Ole dalot alicheza winga ya kulia unaona jinsi Lukaku anavyokuwa hatari, Na ole nae anataka wings ya kulia Vile vile. At same time tumesajili martial, di maria, depay, sanchez etc wote wapo comfortable kucheza kushoto. Mkuu huoni tatizo?.

Kifupi mkuu timu yetu haina identity hatujulikani tunataka nini hebu angalia hii list ya makocha 4
-Moyes
-LVG
-Mou
-Ole

Hakuna hata mmoja anaefanana na mwenzake na kila kocha anahitaji kuanza upya alipoishia mwenzake, huyu mid table mentality, huyu mwengine anataka pass fupi.fupi na speed, huyu ana defend sana, mwengine anashambulia sana na mpira wa kasi wa counter etc, identity yetu sisi ni ipi? Angalia timu kama Barcelona, wana identity yao na usajili wao unaendana na hio identity, hata wakichukua makocha ni nadra kuona wanafeli.

Timu kubwa zote ulaya na baadhi ndogo zina strong foundation ya watu wanaojua soccer angalia Bayern, Ajax, Barcelona, Man city, juve, etc huko utawakuta kina Van de sir, Olivier, Nedved, tixi etc wote wachezaji wakali wa zamani wanaojua mpira nini na wameprove kuwa waendesha timu wazuri. Sisi tunapoach watu kwenye mabenki na ukitoa Kocha uongozi mzima ni clueless wa mpira.
 
Mkuu nnakubaliana na wewe kuwa Glazer Ni wafanyabiashara/wawekezaji/investors na Woodward Ni mkurugenzi/CEO pale Utd na kwamba wote wanapenda hela, lakini hebu tuangalie vyanzo vya mapato katika klabu hususani za uingereza (man u), kivyovyote vile Mafanikio uwanjani/pitch performance ndio kila kitu kwenye mapato, kwasababu Mafanikio uwanjani yanaleta vikombe na kuongeza Mashibiki/Trophies & widen fan base, ambayo pia hujangia kukuwa kwa jina la timu na taswira imara/Team or Club Brand & Image, hii inasadia kuvutia MIKATABA minono kutoka kwa makampuni/Business deals
Utajiri iliyonayo Man Utd Leo unatokana na Mafanikio makubwa sana iliyo yapata 1990-2010, imeshinda zaidi ya makombe 20 yakila aina na kuongeza Mashabiki wake kufika zaidi ya 180 milion, hii ilipekea Man Utd kuwa jina kubwa na taswira imara Sana, kitu kilicho vutia makampuni (Vodafone,sharp,Nike, aig, chezlorete,Adidas na n.k)kuingia Mikataba kwa ajiri ya matangazo nayo nakuifanya kutengeza milions of pounds. Man utd ilikuwa club tajiri zaidi duniani kwa miaka 10 mfululizo 2000-2010.

Glazer wanaweza wasiwe wanajua mpira Kama unavyosema, ila ni wafanyabiashara na wawekezaji/investors waliofanikiwa Sana ndio maana wameweza kuwa matajiri hivyo lazima waijua huu mringanyo wa biashara ya mpira(football business equation) kuwa Mafanikio uwanjani ndio yanayeleta hela au faida and vice versa
Woodward pia anaweza asiwe anajua mpira Sana Kama uvyosema ila anajua kufimamia biashara zikafanikiwa na ndio maana alipata hicho kibarua CEO wa man utd, lazima anajua biashara ya mpira kufanikiwa uwanjani ndo chanzo msingi Cha mapato kinachoamsha vyanzo vingine VYOTE

Man City Moto wao wa uwanjani si haba tangu 2009-2019, wameingia nne Bora nakuwa nakubakia humu msimu 8 mfululizo, wameshinda EPL 3, na vikombe vingine, wanafukuzia EPL ingine msimu huu, kwa takwimu za January mwaka huu City Ni club ya 5tajiri zaidi duniani (Madrid,Barca,Utd,Bayern) na ya pili uingereza, ikiwa inazidi kukusanya washabiki lukuki dunia nzima na kimarika kwa taswira yake/brand. Wiki chache zilizopita Man City Group ambayo Ni wamiliki wa man City na na nduguze wamesaini dili na ADIDAS litakayoiingizia City mamilion ya hela kuanzia June/July huku wakianza vaa nembo ya Adidas rasmi.Pia Adidas wambao walichukua dili ya Nike pale Man Utd baada ya mkataba wa Nike kuisha na Nike kushindwa kukubali matakwa ya man u kuatakuongezewa mkanja waliliwaionya man utd 2016 kuwa Kama wanataka kurenew dili hiyo itakapo expire hawana budi kuberesha matokeo yao uwanjani kitu ambocho wamekuwa wakisuasua tangu kustaafu kwa the great Sir A Ferguson.


Summary:
Matokeo uwanjani ndo msingi wa kuamsha vyo vingine VYOTE VYA mapato kwenye biashara ya mpira wa mguu,
Grazer na Woodward Ni wafanyabiashara kwao faida ndo wanachotaka, ndio maana wamewekeza pale OT, mfanyabishara mwenye akili huwa anataka aone hela anatoa Kama kweli inazalisha bahati mbaya msimu 4 timu imetumia zaidi ya 600 milion pounds Bado haonyeshi dalili yeyote ya kimarika kwa matokeo ya uhakika uwanjani na mamakocha wanaomba hell zaidi..




Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu matokeo ya uwanjani in long term ndio yatakayo determine uwezo wetu wa kifedha, ila the way man u ilivyojengwa hata kabla haijaanza kupata mafanikio ilianza kuingiza hela ndefu. man UTd ni brand kama Cocacola ama Nike hata timu ilivyoshika nafasi ya 6 bila kombe ilizipita madrid na Barca kimapato.

Na ukumbuke mkuu Glazer ni mfanyabiashara, akiitumia man u kulipa madeni yake yote na kuchota mpunga wa kutosha siku akiona mambo yanaanza kuwa mabaya financially anenda kutuuza arabuni ama china na yeye anasepa. Hakuna mkataba wowote kwamba lazima awe hapa miaka yote, hivyo hakuna ulazima kwake kujali hayo ya baadae.
 
Mkuu usiongelee kijuu juu ongea kwa big picture nita round up pengine comments ya mwisho.

1. Mnasema wametumia 600m ila ni double counting, mchezaji ananunuliwa na kuuzwa na hela inayopatikana ananunuliwa mwengine, investment ni ile iliobaki, mikhi hayupo, di maria hayupo, depay hayupo, falcao hayupo, blind hayupo etc wote hao ni zaidi ya 100.

2. Tumetumia hela nyingi kipindi cha lvg si kuimprove kikosi bali kureplace wachezaji ambao tumewacha waondoke either kizembe ama kutokuwa na mipango thabiti, nikakupa mfano beki watatu world class wa kutegemea wameondoka pamoja, evra, vidic na Rio, si jambo la.mchezo same kwa idara nyengine.

3. Usajili wa Woodward mara nyingi upo motivated na potential ya mchezaji kuja kufanya vizuri kibiashara na sio kuziba pengo uwanjani mfano nimekupa wing ya kulia, LVG miaka anataka Robben au mchezaji mwenye kasi hakuletewa, same kwa mou alisema anataka winga/winga wa kulia kumtupia cross Lukaku, Ameshindwa hata kumleta perisic. Hadi leo kwa Ole dalot alicheza winga ya kulia unaona jinsi Lukaku anavyokuwa hatari, Na ole nae anataka wings ya kulia Vile vile. At same time tumesajili martial, di maria, depay, sanchez etc wote wapo comfortable kucheza kushoto. Mkuu huoni tatizo?.

Kifupi mkuu timu yetu haina identity hatujulikani tunataka nini hebu angalia hii list ya makocha 4
-Moyes
-LVG
-Mou
-Ole

Hakuna hata mmoja anaefanana na mwenzake na kila kocha anahitaji kuanza upya alipoishia mwenzake, huyu mid table mentality, huyu mwengine anataka pass fupi.fupi na speed, huyu ana defend sana, mwengine anashambulia sana na mpira wa kasi wa counter etc, identity yetu sisi ni ipi? Angalia timu kama Barcelona, wana identity yao na usajili wao unaendana na hio identity, hata wakichukua makocha ni nadra kuona wanafeli.

Timu kubwa zote ulaya na baadhi ndogo zina strong foundation ya watu wanaojua soccer angalia Bayern, Ajax, Barcelona, Man city, juve, etc huko utawakuta kina Van de sir, Olivier, Nedved, tixi etc wote wachezaji wakali wa zamani wanaojua mpira nini na wameprove kuwa waendesha timu wazuri. Sisi tunapoach watu kwenye mabenki na ukitoa Kocha uongozi mzima ni clueless wa mpira.


Labda tulikuwa hatujaelewana vizuri mi sio kwamba nasema hii club haina matatizo hapana, matatizo ypo na nakubali unachosema kuhusu hilo swala la kukosa Identity na kumuajiri Woodward afanye kazi za Dof wakti wote tunafahamu Jamaa ni Banker, ila kwa mada ulioanza nayo ile ya Glazers hawatoi pesa hapo ndo nilipokuwa napinga! Hilo swala la Double Counting nalo si kubaliani nalo coz hata kwa Net Spent bado tupo juu zaidi Mancity ndani ya hii misimu mitano iliyopita.

Ni kweli hii Club toka Ferguson na David Gill wameondoka imekosa identity na hii nikutoka na nakushindwa kujiaandaa mapema kabla babu kustaafu, kweli hili walipaswa kuliona kina Glazer na hata babu ilitakiwa awashauri kuleta watu wa maana ili kwenda na wakati, ukiangalia kikosi alichokiacha babu wachezaji wengi walikuwa ni wazee na wameshashuka sana viwango hvyo ilipaswa Dof aletwe mapema ili kuwa replace wakina Vidic na top players lakin hawakufanya hvyo,sababu hata babu alikuwa hapendi kufanya kazi na Dof na ilikuwa sio tamaduni za UTD kuwa na Dof.

Shida hapa ni kwamba Kina Glazer mpira hawajui wanahitaji washauriwe na ndo maana Fergie mpka leo yupo pale kwa kazi hyo sema babu nae bado alikuwa na mambo ya kizamani sana mfano Hazard alikuwa anauzwa Million 32 na Lille babu akakataa kumsajili kwasababu tu alikuwa hataki kudeal na Agent wake aliekuwa anataka chajuu na wakati ilikuwa wazi kabsa Hazard atakuwa Top player na kwa kipindi kile tulikuwa tunahitaji winger na sio kwamba hela ilikuwa haipo sema tu alikuwa hawapendi ma agent kama alivyogombana na Mino Raiola,matokeo yake Chelsea wakamchukua and the rest is history.

So mkuu usione tu eti kwasababu mchezaji flani hajaja ukajua ni makosa ya Woodward hapana sometimes hata wachezaji na Club zao wenyewe wanazingua, mfano Robben,Muller,Bale,Thiago na Fabregas wote walikataa kuja wao wenyewe sio swala la hela tu,Hyo Persic Inter walitaka kuleta Uhuni walijua tna shinda na winger hvyo wakapandisha bei yake mara 3 wakati mchezaji mwenyew umri umeshaenda baadae wakasema eti tubadilishane na Martial kitu ambacho Club ilikataa na mimi niliona ni sawa, coz Persic muda wake umeshapita na si mzuri kiasi hicho.

Woodward kuletwa pale UTD Glazers hawakukosea kwa mtizamo wangu coz mpka sahv Club inaingiza mapato mengi sana ukilinganisha na Mwanzo kwa sababu yake, yeye ndo kaleta masponsor wengi wanaotoa mpunga mrefu pale ila tu kazi yake ilitakiwa awe CEO tu na Kazi ya Dof wangempatia mtu mwenye uzoefu wa Soka,kama Dof angekuwepo toka mwanzo hizo hela walizotoa Glazers mpka sasa zingetosha kbsa kuwa na kikosi cha maana na Coach anaeenda na Misingi ya Club.
 
Haya Mou kaondoka, mahitaji ya defender yapo au hayapo?

Kumbuka hao defender watano ni

Rojo-spana mkononi
Jones-
Smalling
Bailly
Lindelof

Sent using simu mbovu
Tunapaswa kuwaoffload kwanza hao ndiyo tuseme kuwa tunahitaji defender tatizo la Mourinho alishindwa kuwatumia hata aliowasajili yeye mwenyewe kisha akahitaji pesa tena.

Bila shaka matumizi kama hayo hata kama wewe ni Woodward usingeapprove.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu yapo, ila Mou alikuwa anaomba milion 70 pound ili asjili defender atakaye msaidia kulinda asifungwe na Newcastle,(siriasi timu zote zizomfunga man u zinamadeffender ghali kiasi hicho)
Lakini viongo na washambuliaji ambao hakuomba hela asajili,mbona walikuwa bure kabisa sare za 0-0 na timu zinazoshuka dajara zilikuwa ngapi?
Aliomba hela ya beki mmoja lakini hakuwa na first eleven wachezaji 10 wengine walifanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point defenders watano timu inafungwa na Newcastle na Brighton haifungi magoli bado tuendelee kutoa pesa.?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Woodward ana mwajiri Mourinho ambaye tunamfahamu ni kocha anayetaka ready made players ,anamuongezea mkataba na anagoma kumpa fedha za usajili then anamfukuza na kumlipa £20ma

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwani Mbona Chelsea walimwajiri Mourinho na Kumfukuza na Kumwajili tena na Kumfukuza hukushangaa?? au Mbna Hukushangaa Wenger Kukaa miaka yote hyo Arsenal bila Kufanya lolote la maana?? Au Madrid Kumwacha Zidane aondoke alafu wanarudi kumsajili tena??Au Bayern Kumruhusu Heynckes Kuondoka alafu kumrudisha tena?? Hivi vitu ni kawaida kwenye mpira mzee na Makosa hutokea Kwenye Club zote tu sio UTD peke yake!
 
Haya Mou kaondoka, mahitaji ya defender yapo au hayapo?

Kumbuka hao defender watano ni

Rojo-spana mkononi
Jones-
Smalling
Bailly
Lindelof

Sent using simu mbovu

Kwani hao defenders si ndo hao hao waliocheza mechi 12 unbeaten na OLE na tukaanza kufurahi ama hivi vichapo viwili vya Wolves na Arsenal ndo vimekubadilisha mtizamo mkuu? Ukweli ni kwamba Mou alikuwa anataka kutuaminisha kwamba hawajamaa hamna kitu kabsa wakti kwa Kocha mwingine unaona sio kweli alichokuwa anadai!
 
Mkuu usiongelee kijuu juu ongea kwa big picture nita round up pengine comments ya mwisho.

1. Mnasema wametumia 600m ila ni double counting, mchezaji ananunuliwa na kuuzwa na hela inayopatikana ananunuliwa mwengine, investment ni ile iliobaki, mikhi hayupo, di maria hayupo, depay hayupo, falcao hayupo, blind hayupo etc wote hao ni zaidi ya 100.

2. Tumetumia hela nyingi kipindi cha lvg si kuimprove kikosi bali kureplace wachezaji ambao tumewacha waondoke either kizembe ama kutokuwa na mipango thabiti, nikakupa mfano beki watatu world class wa kutegemea wameondoka pamoja, evra, vidic na Rio, si jambo la.mchezo same kwa idara nyengine.

3. Usajili wa Woodward mara nyingi upo motivated na potential ya mchezaji kuja kufanya vizuri kibiashara na sio kuziba pengo uwanjani mfano nimekupa wing ya kulia, LVG miaka anataka Robben au mchezaji mwenye kasi hakuletewa, same kwa mou alisema anataka winga/winga wa kulia kumtupia cross Lukaku, Ameshindwa hata kumleta perisic. Hadi leo kwa Ole dalot alicheza winga ya kulia unaona jinsi Lukaku anavyokuwa hatari, Na ole nae anataka wings ya kulia Vile vile. At same time tumesajili martial, di maria, depay, sanchez etc wote wapo comfortable kucheza kushoto. Mkuu huoni tatizo?.

Kifupi mkuu timu yetu haina identity hatujulikani tunataka nini hebu angalia hii list ya makocha 4
-Moyes
-LVG
-Mou
-Ole

Hakuna hata mmoja anaefanana na mwenzake na kila kocha anahitaji kuanza upya alipoishia mwenzake, huyu mid table mentality, huyu mwengine anataka pass fupi.fupi na speed, huyu ana defend sana, mwengine anashambulia sana na mpira wa kasi wa counter etc, identity yetu sisi ni ipi? Angalia timu kama Barcelona, wana identity yao na usajili wao unaendana na hio identity, hata wakichukua makocha ni nadra kuona wanafeli.

Timu kubwa zote ulaya na baadhi ndogo zina strong foundation ya watu wanaojua soccer angalia Bayern, Ajax, Barcelona, Man city, juve, etc huko utawakuta kina Van de sir, Olivier, Nedved, tixi etc wote wachezaji wakali wa zamani wanaojua mpira nini na wameprove kuwa waendesha timu wazuri. Sisi tunapoach watu kwenye mabenki na ukitoa Kocha uongozi mzima ni clueless wa mpira.
Akiendelea kuhoji mitashangaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mario Balotelli was wearing a t-shirt with Marcus Rashford on it under his Marseille shirt & intended to unveil it if he scored vs PSG

ytfr9ixgzel21.jpg


SOMA HILO BANGO HAPO CHINI
 
Umeongea point defenders watano timu inafungwa na Newcastle na Brighton haifungi magoli bado tuendelee kutoa pesa.?


Sent using Jamii Forums mobile app
Pep ametumia paundi mil 200 kununua mabeki ,timu zilizomfunga Man City ni Newcastle,Crystal Palace,Leicester lakini owner still wanaendelea kumsapoti sababu wanajua project wanahitaji nini
 
Lakini record zinambeba Ronaldo ambaye chances ya kuscore kwa free kick ni kubwa kuliko kwa Messi

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapana hii sio kweli mkuu Ronaldo ana goli nyingi zaidi za freeckick kuliko Messi sababu ame attempt kupiga freekick mara nyingi zaidi (kwenye mashinda yote) lakini ukiangalia huwa anakosa kwa rate kubwa kuliko Messi ..check namba zinavyosema kwa La liga

The Argentine has now scored 28 free-kicks from 330 attempts in LaLiga, with a conversion rate of 8.5%

Ronaldo struck 19 free-kicks for Real Madrid in Spain's top flight, a tally he reached in 310 attempts, which is a conversion rate of 6.1%.
 
Back
Top Bottom