The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,429
Huyu Mess huyu
Mkuu usiongelee kijuu juu ongea kwa big picture nita round up pengine comments ya mwisho.Kwani mkuu we unacholalamika hapa ni nini maana naona kama tunahama kwenye mada halisi,mwanzo ulidai kwamba Glazers
hawafanyi Investments za maaana kwenye timu na sahv ww mwenyewe unatoa mifano halisi ya wachezaji wa maana ambao
wameshanunuliwa pale mfano Mikhi,Lukaku,Pogba, etc chini ya makocha mbali mbali, Bastian,Blind,Depay,Valdes na Romero wote walikuja sababu ya LVG na aliwataka sababu anawafahmu coz walikuwa pamoja hko alipotoka hyo ni wazi so usisingizie Woodward!
Hao wengine uliowataja hapo walikuja kipindi cha Mou sio LVG na hata kama wapo chini ya agent mmoja kwan tatizo ni nn si ili mradi ni wachezaji wazuri ama we unataka wabaya? Pogba mpka leo ndo tunamtegemea! Ibra ndo alikuwa Top Scorer alivyokuwepo,Micki alifunga bao final Europa (na hyo Pogba pia alifunga), hicho unachosema kwamba LVG alikuwa hawataki (Kina Di maria na Falcao) ushahidi wake ni upi?maana mi nmekupa makala yenye maneno yake mwenyewe na ww toa hyo ambayo anasema alikuwa hawataki kwa maneno yake mwenyewe!
Ni kweli mkuu matokeo ya uwanjani in long term ndio yatakayo determine uwezo wetu wa kifedha, ila the way man u ilivyojengwa hata kabla haijaanza kupata mafanikio ilianza kuingiza hela ndefu. man UTd ni brand kama Cocacola ama Nike hata timu ilivyoshika nafasi ya 6 bila kombe ilizipita madrid na Barca kimapato.Mkuu nnakubaliana na wewe kuwa Glazer Ni wafanyabiashara/wawekezaji/investors na Woodward Ni mkurugenzi/CEO pale Utd na kwamba wote wanapenda hela, lakini hebu tuangalie vyanzo vya mapato katika klabu hususani za uingereza (man u), kivyovyote vile Mafanikio uwanjani/pitch performance ndio kila kitu kwenye mapato, kwasababu Mafanikio uwanjani yanaleta vikombe na kuongeza Mashibiki/Trophies & widen fan base, ambayo pia hujangia kukuwa kwa jina la timu na taswira imara/Team or Club Brand & Image, hii inasadia kuvutia MIKATABA minono kutoka kwa makampuni/Business deals
Utajiri iliyonayo Man Utd Leo unatokana na Mafanikio makubwa sana iliyo yapata 1990-2010, imeshinda zaidi ya makombe 20 yakila aina na kuongeza Mashabiki wake kufika zaidi ya 180 milion, hii ilipekea Man Utd kuwa jina kubwa na taswira imara Sana, kitu kilicho vutia makampuni (Vodafone,sharp,Nike, aig, chezlorete,Adidas na n.k)kuingia Mikataba kwa ajiri ya matangazo nayo nakuifanya kutengeza milions of pounds. Man utd ilikuwa club tajiri zaidi duniani kwa miaka 10 mfululizo 2000-2010.
Glazer wanaweza wasiwe wanajua mpira Kama unavyosema, ila ni wafanyabiashara na wawekezaji/investors waliofanikiwa Sana ndio maana wameweza kuwa matajiri hivyo lazima waijua huu mringanyo wa biashara ya mpira(football business equation) kuwa Mafanikio uwanjani ndio yanayeleta hela au faida and vice versa
Woodward pia anaweza asiwe anajua mpira Sana Kama uvyosema ila anajua kufimamia biashara zikafanikiwa na ndio maana alipata hicho kibarua CEO wa man utd, lazima anajua biashara ya mpira kufanikiwa uwanjani ndo chanzo msingi Cha mapato kinachoamsha vyanzo vingine VYOTE
Man City Moto wao wa uwanjani si haba tangu 2009-2019, wameingia nne Bora nakuwa nakubakia humu msimu 8 mfululizo, wameshinda EPL 3, na vikombe vingine, wanafukuzia EPL ingine msimu huu, kwa takwimu za January mwaka huu City Ni club ya 5tajiri zaidi duniani (Madrid,Barca,Utd,Bayern) na ya pili uingereza, ikiwa inazidi kukusanya washabiki lukuki dunia nzima na kimarika kwa taswira yake/brand. Wiki chache zilizopita Man City Group ambayo Ni wamiliki wa man City na na nduguze wamesaini dili na ADIDAS litakayoiingizia City mamilion ya hela kuanzia June/July huku wakianza vaa nembo ya Adidas rasmi.Pia Adidas wambao walichukua dili ya Nike pale Man Utd baada ya mkataba wa Nike kuisha na Nike kushindwa kukubali matakwa ya man u kuatakuongezewa mkanja waliliwaionya man utd 2016 kuwa Kama wanataka kurenew dili hiyo itakapo expire hawana budi kuberesha matokeo yao uwanjani kitu ambocho wamekuwa wakisuasua tangu kustaafu kwa the great Sir A Ferguson.
Summary:
Matokeo uwanjani ndo msingi wa kuamsha vyo vingine VYOTE VYA mapato kwenye biashara ya mpira wa mguu,
Grazer na Woodward Ni wafanyabiashara kwao faida ndo wanachotaka, ndio maana wamewekeza pale OT, mfanyabishara mwenye akili huwa anataka aone hela anatoa Kama kweli inazalisha bahati mbaya msimu 4 timu imetumia zaidi ya 600 milion pounds Bado haonyeshi dalili yeyote ya kimarika kwa matokeo ya uhakika uwanjani na mamakocha wanaomba hell zaidi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usiongelee kijuu juu ongea kwa big picture nita round up pengine comments ya mwisho.
1. Mnasema wametumia 600m ila ni double counting, mchezaji ananunuliwa na kuuzwa na hela inayopatikana ananunuliwa mwengine, investment ni ile iliobaki, mikhi hayupo, di maria hayupo, depay hayupo, falcao hayupo, blind hayupo etc wote hao ni zaidi ya 100.
2. Tumetumia hela nyingi kipindi cha lvg si kuimprove kikosi bali kureplace wachezaji ambao tumewacha waondoke either kizembe ama kutokuwa na mipango thabiti, nikakupa mfano beki watatu world class wa kutegemea wameondoka pamoja, evra, vidic na Rio, si jambo la.mchezo same kwa idara nyengine.
3. Usajili wa Woodward mara nyingi upo motivated na potential ya mchezaji kuja kufanya vizuri kibiashara na sio kuziba pengo uwanjani mfano nimekupa wing ya kulia, LVG miaka anataka Robben au mchezaji mwenye kasi hakuletewa, same kwa mou alisema anataka winga/winga wa kulia kumtupia cross Lukaku, Ameshindwa hata kumleta perisic. Hadi leo kwa Ole dalot alicheza winga ya kulia unaona jinsi Lukaku anavyokuwa hatari, Na ole nae anataka wings ya kulia Vile vile. At same time tumesajili martial, di maria, depay, sanchez etc wote wapo comfortable kucheza kushoto. Mkuu huoni tatizo?.
Kifupi mkuu timu yetu haina identity hatujulikani tunataka nini hebu angalia hii list ya makocha 4
-Moyes
-LVG
-Mou
-Ole
Hakuna hata mmoja anaefanana na mwenzake na kila kocha anahitaji kuanza upya alipoishia mwenzake, huyu mid table mentality, huyu mwengine anataka pass fupi.fupi na speed, huyu ana defend sana, mwengine anashambulia sana na mpira wa kasi wa counter etc, identity yetu sisi ni ipi? Angalia timu kama Barcelona, wana identity yao na usajili wao unaendana na hio identity, hata wakichukua makocha ni nadra kuona wanafeli.
Timu kubwa zote ulaya na baadhi ndogo zina strong foundation ya watu wanaojua soccer angalia Bayern, Ajax, Barcelona, Man city, juve, etc huko utawakuta kina Van de sir, Olivier, Nedved, tixi etc wote wachezaji wakali wa zamani wanaojua mpira nini na wameprove kuwa waendesha timu wazuri. Sisi tunapoach watu kwenye mabenki na ukitoa Kocha uongozi mzima ni clueless wa mpira.
Tunapaswa kuwaoffload kwanza hao ndiyo tuseme kuwa tunahitaji defender tatizo la Mourinho alishindwa kuwatumia hata aliowasajili yeye mwenyewe kisha akahitaji pesa tena.Haya Mou kaondoka, mahitaji ya defender yapo au hayapo?
Kumbuka hao defender watano ni
Rojo-spana mkononi
Jones-
Smalling
Bailly
Lindelof
Sent using simu mbovu
Umeongea point defenders watano timu inafungwa na Newcastle na Brighton haifungi magoli bado tuendelee kutoa pesa.?Mkuu yapo, ila Mou alikuwa anaomba milion 70 pound ili asjili defender atakaye msaidia kulinda asifungwe na Newcastle,(siriasi timu zote zizomfunga man u zinamadeffender ghali kiasi hicho)
Lakini viongo na washambuliaji ambao hakuomba hela asajili,mbona walikuwa bure kabisa sare za 0-0 na timu zinazoshuka dajara zilikuwa ngapi?
Aliomba hela ya beki mmoja lakini hakuwa na first eleven wachezaji 10 wengine walifanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Woodward ana mwajiri Mourinho ambaye tunamfahamu ni kocha anayetaka ready made players ,anamuongezea mkataba na anagoma kumpa fedha za usajili then anamfukuza na kumlipa £20ma
Sent using Jamii Forums mobile app
Jose Mourinho:
"Paul Scholes criticised me when I was the manager at some of the biggest clubs in the world while he only lasted for 31 days at Oldham Athletic. Go back to the studio." Football Factly on Twitter
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya Mou kaondoka, mahitaji ya defender yapo au hayapo?
Kumbuka hao defender watano ni
Rojo-spana mkononi
Jones-
Smalling
Bailly
Lindelof
Sent using simu mbovu
Hilo jini aisee nina mida sijamsikia akiwa majeruhiHpo ni kupiga lamli hyu Messi aumie tu hyo siku![]()
Suarez tayari huko inaelezwa anaweza akakosa round ya kwanza OTHilo jini aisee nina mida sijamsikia akiwa majeruhi
.
Akiendelea kuhoji mitashangaaMkuu usiongelee kijuu juu ongea kwa big picture nita round up pengine comments ya mwisho.
1. Mnasema wametumia 600m ila ni double counting, mchezaji ananunuliwa na kuuzwa na hela inayopatikana ananunuliwa mwengine, investment ni ile iliobaki, mikhi hayupo, di maria hayupo, depay hayupo, falcao hayupo, blind hayupo etc wote hao ni zaidi ya 100.
2. Tumetumia hela nyingi kipindi cha lvg si kuimprove kikosi bali kureplace wachezaji ambao tumewacha waondoke either kizembe ama kutokuwa na mipango thabiti, nikakupa mfano beki watatu world class wa kutegemea wameondoka pamoja, evra, vidic na Rio, si jambo la.mchezo same kwa idara nyengine.
3. Usajili wa Woodward mara nyingi upo motivated na potential ya mchezaji kuja kufanya vizuri kibiashara na sio kuziba pengo uwanjani mfano nimekupa wing ya kulia, LVG miaka anataka Robben au mchezaji mwenye kasi hakuletewa, same kwa mou alisema anataka winga/winga wa kulia kumtupia cross Lukaku, Ameshindwa hata kumleta perisic. Hadi leo kwa Ole dalot alicheza winga ya kulia unaona jinsi Lukaku anavyokuwa hatari, Na ole nae anataka wings ya kulia Vile vile. At same time tumesajili martial, di maria, depay, sanchez etc wote wapo comfortable kucheza kushoto. Mkuu huoni tatizo?.
Kifupi mkuu timu yetu haina identity hatujulikani tunataka nini hebu angalia hii list ya makocha 4
-Moyes
-LVG
-Mou
-Ole
Hakuna hata mmoja anaefanana na mwenzake na kila kocha anahitaji kuanza upya alipoishia mwenzake, huyu mid table mentality, huyu mwengine anataka pass fupi.fupi na speed, huyu ana defend sana, mwengine anashambulia sana na mpira wa kasi wa counter etc, identity yetu sisi ni ipi? Angalia timu kama Barcelona, wana identity yao na usajili wao unaendana na hio identity, hata wakichukua makocha ni nadra kuona wanafeli.
Timu kubwa zote ulaya na baadhi ndogo zina strong foundation ya watu wanaojua soccer angalia Bayern, Ajax, Barcelona, Man city, juve, etc huko utawakuta kina Van de sir, Olivier, Nedved, tixi etc wote wachezaji wakali wa zamani wanaojua mpira nini na wameprove kuwa waendesha timu wazuri. Sisi tunapoach watu kwenye mabenki na ukitoa Kocha uongozi mzima ni clueless wa mpira.
Scholes ameondoka mwenyewe nadhani timu ilikuwa inamnyima ushirikiano plus labda kuna kupangiana kikosi.....Kwani Scholes kafukuzwa au kaondoka mwenyewe??
Pep ametumia paundi mil 200 kununua mabeki ,timu zilizomfunga Man City ni Newcastle,Crystal Palace,Leicester lakini owner still wanaendelea kumsapoti sababu wanajua project wanahitaji niniUmeongea point defenders watano timu inafungwa na Newcastle na Brighton haifungi magoli bado tuendelee kutoa pesa.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Chelsea, first leg. Man City alipigwa 2 nunge.timu zilizomfunga Man City ni Newcastle,Crystal Palace,Leicester
Lakini record zinambeba Ronaldo ambaye chances ya kuscore kwa free kick ni kubwa kuliko kwa Messi
Sent using Jamii Forums mobile app
Awepo tuAtakuwepo Yule..